Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

JF Prefixes:

Mamtoni Kuna ranking za verse Kali za Hip hop ambazo vesi kama zifuatazo zimepata kupewa hadhi ya juu mara nyingi, NY state of mind verse 1- Nas Shook one verse 1 - Prodigy - Mob Deep Loose your...
1 Reactions
12 Replies
616 Views
Mwaka 2021 nikiwa hapa home tz nilikua na pesa flani ambayo nilipanga niagize bidhaa Ali express nianze kuuza maana Nina uzoefu na kuagiza mizigo huko kutoka China through Ali express bahati mbaya...
21 Reactions
84 Replies
14K Views
SIMULIZI: KIJANA SHUJAA….. “Ilikua ndoto yangu kuja kufanya jambo kwaajili ya Taifa” SEHEMUYA KWANZA (01) Man Middo Kabla hajatimiza ndoto yake kijana shujaa alikua kapuku tu muuza dagaa katika...
0 Reactions
5 Replies
545 Views
"Sikiliza nikuambie wewe dataz mume wa mtu ni hatariiii...🎶" https://youtu.be/EPQiEXLzYY4?si=B60DDmFLAMapuPFh Siku hizi mna visabengo kwenye muziki sasa mnakaa kuhamasishwa alafu yakiwakuta ya...
0 Reactions
2 Replies
224 Views
Simulizi: JAMANI MCHUNGAJI !! Mwandishi: GEORGE IRON MOSENYA Imeletwa kwenu na: BURE SERIES SEHEMU YA 1 Masikio yake hayakuamini anachokisikia lakini ubongo wake uliamini kuwa mkewe alikuwa...
5 Reactions
146 Replies
61K Views
Nahitaji nitengeneze Gaming community, nani anaingiza pesa kupitia Gaming? And how? Binafsi naingiza kwa kuuza tz mod games, zinapendwa Hatari!
1 Reactions
4 Replies
211 Views
Msanii wa muziki wa kizazi kipya aliyewahi kutamba na ngoma yake ya Nilonge Nisilonge miaka kadhaa iliyopita, Hamis Juma Mbizo (H Mbizo) amefariki dunia. Msiba wa H- Mbizo umetokea katika...
3 Reactions
10 Replies
2K Views
Na James Mbotela. MUHTASARI WA MAISHA YA MWANDISHI Mwandishi wa kitabu hiki, ni mzaliwa wa Frere Town, Kisauni, Mombasa. Baba yake ni Myao, akiitwa Mbotela ambaye alikuwa mmoja wa vijana wale...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Ni siku nyingi kidogo, mwaka 1980, lakini ni tukio ambalo liliniuma sana. Ilikuwa vigumu sana kulisahau na lilinifanya nijiulize, inakuwaje Mungu anakuwa mkatili kiasi kile. Lakini bila shaka...
26 Reactions
60 Replies
2K Views
We did have a greatest love of all, but her Jolene come and destruct everything, she said that I believe in you. i said I still lost you ,I’m afraid to be coward of the country, she said no matter...
2 Reactions
162 Replies
24K Views
Nimeisikiliza hii ngoma ya Dizasta Vina. Inaitwa Mwanajua....nimeskiliza zaidi ya mara 20 Lakini hadi leo sijaelewa hii fasihi jamaa alilenga kitu gani, Kuna anaefahamu? Huyu...
6 Reactions
22 Replies
3K Views
Note; hii Ni story ya kweli kabisa imemkuta one of my close friends, nilimuomba kuipost kwa ahadi ya kuficha utambulisho wake na ameruhusu, kuna la kujifunza hapa. Twende kazi. Naitwa Bella (sio...
14 Reactions
229 Replies
26K Views
Habari zenu waheshimiwa. Kuna baadhi ya nyimbo nimekuwa nikizitafuta kwa takribani miaka kumi sasa. Nimejaribu kukomenti kwenye kurasa za mitandao ya kijamii ya wasanii husika lakini hawaonyeshi...
0 Reactions
12 Replies
479 Views
Habari wapendwa? Poleni na jukumu zito la ujenzi wa nchi yetu nzuri ya Tanzania. Ama baada ya salamu niende kwenye maada moja kwa moja. Leo nimeona nilete simulizi kumi kali nilizowahi kusoma hapa...
35 Reactions
200 Replies
149K Views
"Unamuona mlupo kisa ulimgonga kwa mshiko, Anakuomba madusko anahonga batonga anagonga vitu, Unamuita darling au wife mama mamito, Unapata habari za wanafiki kuna walafi wanamla hadi jicho...
1 Reactions
17 Replies
441 Views
Hadithi ya Uongozi na Mamlaka Katikati ya msitu mkubwa wa kijani kibichi, ambapo miti mirefu hufichua siri na mito hukata njia kupitia ardhi, kuna ufalme wa kipekee – ufalme wa wanyama. Dunia hii...
1 Reactions
1 Replies
399 Views
FINA MANGO NDANI YA POWER BREAK FAST CLOUDS FM. Fina Mango Mtangazaji wa Redio aliye Jipatia umaarufu mkubwa katika utangazaji kwa kupitia Kipindi cha Power Breakfast cha Clouds Fm.. Enzi hizo...
1 Reactions
6 Replies
744 Views
Riwaya ya Kijasusi: SAUTI YAKE MASIKIONI MWANGU Mwandishi: KELVIN KAGAMBO Imeletwa Kwenu na: BURE SERIES SEHEMU YA 1 “..... na sasa ni zamu yako. Sali sala za mwisho tufunge mkataba.” “Lakini...
6 Reactions
49 Replies
11K Views
Zingatia swali "Je ni mwimbaji gani wa kike ambaye anaweza kupamabanishwa na "Whitney Houston"?" na akaleta upinzani mkali. Unachotakiwa kufanya: - Taja jina la Mwimbaji husika na wimbo wake japo...
1 Reactions
3 Replies
209 Views
Habari za muda huu wadau wa JamiiForums!? Lengo la Uzi wangu nilikuwa nataka kusema kwamba kuna vitu huwezi kusema unavikubali ila nafsi yako itasema tu, Kuna wimbo Mmoja wa Ali kiba sijajua kama...
1 Reactions
1 Replies
304 Views
Back
Top Bottom