Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...
Kwa wale wadau wa game ya 8 ball poll tukutane hapa. Tuonyeshane uwezo
1 Reactions
2 Replies
869 Views
Nitajie nyimbo zako tatu za RnB za Muda wote. Mimi za kwangu 1. Stay - Rihana 2. New Flame - Chris Brown 3. Cry me a river - Justin Timberlake
2 Reactions
6 Replies
5K Views
XXL ni kipindi kinachorushwa na Clouds Fm kuanzia saa saba mchana hadi saa kumi, leo wameingia na msemo wao "Inaanza kitchen party, ikifuatiwa na harusi" mwenye kufahamu maana ya huo msemo naomba...
1 Reactions
23 Replies
3K Views
Nani katisha? Tiririsha maoni yako hapa
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Hizi ndizo nyimbo/muziki bora wa Injili nilipata kusikiliza ************************************ 1. Katika Viumbe Vyote 2. Mmoja wa Wanasheria 3. Mtu Ajaribiwapo 4. Mtu Mkubwa Mmoja 5. Neno...
25 Reactions
79 Replies
38K Views
Ali kiba video is out (mshumaa)
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wale wapenzi wa riwaya za Kudo. Mliokuwa mnanunua kila mara na mara ya mwisho, mliahidiwa ofa na hamkupata.. Tafadhalini, nitext whatsapp 0658564341. Simu yangu iliibwa, hivyo nimepoteza...
3 Reactions
6 Replies
2K Views
Mtunzi: Washawasha Mambo zenu,natumai muwazima wote,binafsi niko poa ila hapa nilipo ni joto la kufa mtu. Leo nimeamua niwahadithie kidogo kipindi niko kigoli,ni stori ambayo nimekaa nayo kwa...
0 Reactions
6 Replies
23K Views
Wadau Najiuliza ni mtangazaji gani aliyetafsiri filamu ya Yesu (Jesus Movie 1979) kwa lugha ya Kiswahili. Wengine wanamtaja Salim Kikeke,wengine wanadai ni mtangazaji kutoka Kenya. Mwenye uelewa...
1 Reactions
43 Replies
15K Views
Wachambuzi wa Soka Barani Ulaya wanasema hii comeback ambayo leo hii hawa vijana wa Lampard wameifanya toka 4-1 mpk 4-4 inaweza ikawa ndio comeback bora kabsa kuweza kutokea ktk kipindi hichi cha...
2 Reactions
43 Replies
3K Views
Wasalaam, Movie hii inaitwa THE DARK KNIGHT. Ilitoka mwaka 2008. Movie hii ili-gross USD 1 BILION (TSH TRILIONI 2.3). Kwa kweli Ni moja ya movie yenye SCRIPT Kali Sana. Hii Ni movie ya ACTION...
1 Reactions
46 Replies
8K Views
Nimeisikiliza hit mpya ya Diamond! Ni bonge la ngoma kwa club. Alichokosea ni kuwataja wanasiasa ambao leo au kesho wanaweza wakapotea kwenye ramani na tukawasahau kabisa Ingekuwa vizurii...
6 Reactions
33 Replies
5K Views
Wakuu amani iwe pamoja nanyi!! I hope wote tuwazima wa afya tele!! Kama heading inavyojieleza hapo juu Tanzania imejaariwa kuwa na media nyingi sana,na kuna baadhi ya media house zili-dominate...
8 Reactions
72 Replies
9K Views
Business as usual, but also data never lie! Ni taarifa ya mkanganyiko na jamii imejigawa katika pande mbili kubwa. Moja likisema ana huo uwezo ila anatafuta tu public sympathy. La pili ni kundi...
4 Reactions
38 Replies
4K Views
Jina la Movie: SALT Main Actress: Angelina Jolie Evalyne Salt (Highly Trained) A Russian spy working as CIA. Akiwa na Mission (DAY X) ya kufake kumuua Rais wa russia atakapokuja kuhudhulia...
17 Reactions
197 Replies
48K Views
O timbi na timbeli yo! Ukiniheshimu ntakuheshimu Yuma no kaka ts ( INNNOSS) Mpuuzi wako ( innos) Zoba no kaka ts Ujinga wako Hein yuma no kaka ts Kwa ujinga uliopitiliza Djizo! djizo O...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Mchezaji wa zamani wa Simba SC na pia mchezaji wa Genk jana alifanikiwa kuifungia bao pekee la timu yake dhidi ya liverpool ya akina salah, mane van djik, firminho, clopp etc. Mchezaji huyo...
2 Reactions
13 Replies
2K Views
NI Headlines za msanii kutoka Bongo Flevani, Juma Jux ambae kwasasa yuko nchini Kenya Nairobi kwaajili ya kuitambulisha album yake mpya.....habari kamili bonyeza link ===== NI Headlines za...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
GOBA DRC: Hali ya hewa ilikuwa metulia,si ndege wa usiku au wadudu waliokuwa wakisikika,haijulikani kwanini kulikuwa na hali Kama hiyo usiku mnene namna ile ambao ni lazima kuzisikia sauti zao...
12 Reactions
312 Replies
75K Views
Back
Top Bottom