Kama mfuatiliaji wa muziki wa bongo kuna vitu tunakubaliana kuwa Kiba na Harnonize kwa nyakati tofauti wamenufaika sana na uwepo wa Dai.
Alikiba amekuwa mshindanishwa wa Diamond kwa muda mrefu...
MUZIKI ni biashara kubwa sana katika karne hii ya 21 ambapo tumeshuhudia vijana wadogo wakitajirika kwa namna ya ajabu. MUZIKI umefanikiwa kukamata nyanja mbali mbali za uchumi, kupitia biashara...
Mambo vipi wadau, Wale wapenzi wa Pub G Mobile season 10 imepamba moto. Vipi tunaonaje game msimu huu. Server ya Africa iko mbioni kuwekwa.
Niambie unapenda sana server gani, Sanhok, Erangel au...
Hii ni thread maalum kwa wapenzi wa filamu za kiswahili hasa za kitanzania. hapa utapata nafasi ya kujua muvi gani ya kiswahili imeingia sokoni, muvi gani inafanya vizurri.
kila siku utapata...
Hii ni uzi maalum kwa wapenzi wa movie za ki-Nigeria. Utapata updates za movie kali zenye story nzuri, movie za kichawi, mapenzi ngumi nk. ungana na sisi kwa burudani kali kila siku.
1. Thriller - Michael Jackson (MJ)
2. Year of the Gentleman - Ne -Yo
3. Blue print 3 - Jay Z
4. Uwe Macho - Rose Mhando
5 Bad - Michael Jackson (MJ)
Je ni album zipi 5 ambazo unaamini ni kali...
Wadau mambo Vipi?
Nawasalimu wote na Poleni kwa Pilika za hapa na pale za kuusaka utamu wa Ugali na maisha Ahueni. Imekua kitambo sana tangu niondoke hapa Jf (Kiukweli nilipakumbuka Jf).
Leo...
Ukiangalia katika semina zake huyu mtumishi hua kuna tunyimbo tuzuri sana anatuimba twa kipekee, kama ''KWA IMANI TUTASHINDA'' ..''OHH SAYUNI SAYUNI'' N.K
Kama kuna mwenye hutu tunyimbo tuzuri...
Naomba kujuzwa ghalama ya chumba cha kupanga 'self contained room'.
Kodi ya Frem ya biashara mtaa wenye mzunguko wa fedha.
Nataka nihamie huko ko nategemea ushirikiano wa mnaojua hayo maombi...
Hallo,
How is everyone in here?
I hope mko poa ndugu zangu watanzania.
Leo nafuraha sana, maana ndio kwa mara ya kwanza kushuhudia concert za wasanii wa ndani. I'm enjoying for sure!
Kama kuna...
Nikiangalia hizi show wanazotoa hapa Wasafi Tv kwenye Wasafi Festival nachoka kabisa. Wanachoweza wao ni kupiga makelele, kuwasumbua watu wanyanyue mikono juu na kuuza sura na makalio.
Kuna nyimbo nyingi mno miaka ya karibuni ambazo ni maarufu kupita kiasi ingawa hazikuwahi kupewa airtime na Clouds FM. Inashangaza mno.
Hivi wimbo unawezaje kuwa maarufu bila kusikika kwenye...
Nashangaa watu wana-diss kwamba fulani katoa wimbo mbaya and blah blah! Kwa upande wangu kama wimbo siupendi siyo kigezo kwamba ni mbaya, kila mtu ana mapenzi yake ndiyo maana binadamu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.