Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...
RIWAYA; DOA LA VIPEPEO NA; BAHATI MWAMBA SIMU; 0758573660. -----1----- Ulikuwa ni muda sahihi kwa kila mmoja kurejea nyumbani, muda ambao jua lilikuwa limeanza kuiacha Mashariki yake...
9 Reactions
43 Replies
13K Views
RIWAYA; MTUMWA NA; BAHATI MWAMBA SIMU; 0758573660 RIWAYA ZILIZOTANGULIA.. • MPANGO WA CONGO • KIKOSI CHA PILI • URITHI WA GAIDI • DAKIKA ZA MWISHO • OPERESHENI KuKu • OPERESHENI JICHO...
7 Reactions
34 Replies
10K Views
Mbwana Samatta aliyewahi kuichezea Simba aweka historia ambayo haijawekwa Afrika Mashariki na Kati. Aifunga Liverpool. Liverpool ambayo kwa sasa ndio Club Bora Ulaya na Duniani. Yaani hata Club...
7 Reactions
18 Replies
2K Views
Jamani kuna zile nyimbo za kukaribisha sikukuu za Christimas na Mwaka mpya (Marry christimas and New year) yaani nazipenda sana na ukicheck mda wake ndo huu unaingia, mwaka upo ukingoni.. So...
2 Reactions
19 Replies
1K Views
Siku hizi mziki vijana kama hawafaidi kabisa. Tofauti na zamani miaka ya 2000's tunaenda disco, mnaburudika mwanzo, mwisho. Mnacheza kweli unarudi home umeburudika vya kutosha. Naangalia fiesta...
12 Reactions
55 Replies
5K Views
Hii Chelsea itakuja kuuwa watu jamani haya kipaji kingne hicho huyu dogo anaitwa Reece James sio yule James wa kule unyumbuni asiejuwa mpira huyu ni James mwenye kipaj chake ambae kazaliwa kucheza...
0 Reactions
0 Replies
571 Views
Yope! Uzi tayari
1 Reactions
0 Replies
491 Views
Tuimbe sote, hii hapa video
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ WANAOUCHEZEA muziki wa Bongo Fleva hawajui historia yake na hawawafahamu waliotoka jasho na damu kuufanya ukubalike na uwe biashara. Nasibu Abdul ‘Diamond...
1 Reactions
7 Replies
4K Views
Habari wanaJF leo August 13 ni siku ya kuzaliwa wa mwanamuziki Fid Q basi jamaa ameamua kuachia wimbo mpya unaoitwa "Bongo Hip Hop" ukipata nafasi itafute jamaa amechana kwa kiwango ba Majani...
0 Reactions
22 Replies
5K Views
Mashabiki wa burudani bongo,hapa mnasrmaje? wamepatia au chenga?
1 Reactions
11 Replies
3K Views
Mimi ni mshabiki wake lakini jamaa haeleweki kuwa kaacha mziki au bado anaimba. Inshort ni mvivu na hajitumi kazi kulialia tu kuwa anafanyiwa fitina na ngoma zenyewe anazotoa hazionekani yani yupo...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Za chini chini ya carpet ni kwamba ma presenter wafuatao soon wanakuwa ndani ya Wasafi FM na Wasafi TV 1. Meena Ally 2. Dina Marious 3. Dullah Ambua 4. Perfect Crispin 5. Barbara Hassani
0 Reactions
6 Replies
1K Views
New katun in town
1 Reactions
2 Replies
495 Views
Baada ya kuona harmonize kaiteka social media na uno, kama kawaida yao wakaenda mbembeleza Iyobo na Aunty warudiani ili kubadili upepo katika social media. Sasa ukiwa mhasimu wao nikuandaa kiki...
4 Reactions
29 Replies
3K Views
Wakuu kwa wale wapenzi wa aina hii ya muziki msaada tafadhali mwenye access ya hii nyimbo, ni naikubali sana kila mahali ninapojaribu kuitafuta ni kama vile wameifuta au kuiblock.. Msaada...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
NI SHIIDA! "Ha! Ha! Ha! Huyo binti yako anaitwa nani?" "Ah! Achana naye, naona hasira hata kulitaja jina lake," alisema mama Juliana huku akionesha hasira za waziwazi kwa binti yake huyo. Muda...
11 Reactions
256 Replies
171K Views
Alikiba kiukweli lazima awe na stress za hali ya juu maana ameshtuka toka usingizini amekuta he is not a King anymore yaani kijana Mondi atamuua kwa stress aisee. Ingekuwa kimarekani hawa jamaa...
4 Reactions
34 Replies
4K Views
Binafsi si mpenzi sana wa vipindi vya michezo ya kuigiza vya Tanzania. Nlijaribu miaka flan nikaona vimepoteza uelekeo na asilimia 85 hawajui kuigiza. Wanafanya mambo ya kitoto sana, michezo...
2 Reactions
24 Replies
4K Views
Back
Top Bottom