Habari wandugu, natafuta Album ya Kijitonyama Upendo Group inayoitwa Maisha yako, madame Hasa Kama kuna mpendwa anao wimbo huu wa Maisha yako nauhitaji kwa whatsapp 0717246284 Asante
I have been listening to this album over and over again, I saw some of threads talking about it in a very very positive way, appreciate that, this album has 31+ songs and none of them is below 3...
Aug 1 2013 mwigizaji staa Irene Uwoya alitangaza kupitia millardayo.com kwamba wiki ijayo Jumanne saa tatu na nusu usiku ataanza kuonekana kwenye show yake mpya ya TV.
Ni show ambayo Watanzania...
Tng squad imerudi tena katika tasnia ya muziki Tanzania, kama una kumbu kumbu nzuri walifanya vizuri na ngoma kaa ring on it baada ya bongo.com kabla ya kundi kuvunjika kwa sababu mbalimbali, kama...
Habari zenu humu,
WanaJF, kuna movie moja ya kitambo hivi kidogo imechezwa Marekani, kuna mtu mmoja mfupi alikua anafanya mauaji ya watu. Huyu mtu hata akipigwa risasi alikuwa hafi lakini baadaye...
Ngoma yenu ni Kali nimependa dullysykes unaonesha bado bado upo Sana kweny game na pia nimependa corus Kali ya lavalava.
Hadi sasa hiv ngoma zangu Kali za sasa ni hizi
1.mauasama niteke
2.mario...
Kuna Msanii anajiita Mwijaku amekuwa anaonekana sana Instagram, vipi mbona toka itokee skendo ya Menina ya kusambaa kwa picha za utupu haonekani? Nini kimemsibu Msanii Mwijaku?
Habari,
Kama heading inavyosema, naombeni kuujua huu wimbo ameuimba nani. Wimbo umeimbwa kwa lafudhi ya Kisukuma, wanaimba: "Kimone mwana masanja ntakununulia cheni gold hutaweka vyombo kwenye...
I remember I called mama
on the telephone,
I told mama am getting married
I could hear her voice on the other side
Of the telephone she was smiling....
And she asked me a question
That I...
[Verse 1]
What I fit do to get your love
Girl I don give you all I got but it’s not enough for you
Shey u fire me catapult of love
Na why be say I no fit get enough of you
[Hook/Chorus]
Wetin...
Mmoja anaitwa Bruno Mars, moja kati ya wataalamu wa muziki wa R&B na Pop. Ana uwezo mkubwa wa kuimba na kuandika mashairi na ngoma zilizoshiba kama The Lazy Song, Marry You, Just the Way You Are...
Msanii maarufu Harmonize leo amehojiwa na binafsi jamaa inaonesha amekua kimuziki maana ametema madini hatare pasipo kuonesha chuki kwa upande wowote ule, hata pale alipokulia kimuziki (WCB)...
Licha ya harmonize kujitoa katika label kubwa ya mziki nchini Tanzania WCB lakin bado nguri wa mziki Tanzania Diamond anaendelea kupiga pesa kupitia kondeboy kwani hata youtube channel bado...
“Harmonize ana nguo ameshanunua kwa gharama ya Tsh. Milioni 6-7 na zipo zimekaaa kabatini, kitu ambacho mimi katika maisha yangu yote sijawahi kukifanya na wala ujinga huo kwanza sina”
Hayo sio...
Ed Sheeran__Shape of you
Ed Sheeran__Perfect
Ed Sheeran__Thinking out loud
Ed Sheeran__Photograph
Ed Sheeran__How would you feel
Ed Sheeran ft Khalid_Beutiful people
Ed Sheeran__Give me...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.