Jamani natafuta wimbo ya Sam wa Ukweli mwezi wa pili siipati inaitwa maisha ni kupanda na kushuka kiitikio chake "hawakujua maisha ni kupanda nakushuka
"hawakujua pesa...
Ni manjonzi kwetu sisi wapenda haki ulijitahi kwa uwezo wako wote kadiri Mungu alivyokujalia tulipenda Sana kuendelea kua na wewe kwenye mapambano kamanda wangu umetutoka katikati ya kilima...
Ladies and Gents wapenzi na ma fanz wa Prison Break and Michael Scolfied, on April PrisonBreak Season 6 is out..!
Wentworth Miller as Mike scolfied ali announce kwenye page yake ya Fb mwezi mmoja...
Habari wanajukwaa, Kumekuwa na mjadala wa muda mrefu Kati ya FIFA na PES ni lipi gemu Bora kushinda lingine. Ningependa niulete mjadala huu kwenu wanajamii forum tujadiri hapa Kati ya FIFA na PES...
Inauma sana kwa hawa ndugu zetu maana baadhi ya ndugu wamekuwa wakipoteza maisha kwa ajili ya unazi wa hii club. Ivi Edwoord ward anaelewa kweli au kusikia haya. Wadau wa michezo mnaonaje mwenendo...
BINAMU YANGU-01
ROBIN MIHO
0776741545
Ni saa tatu usiku mvua ya wastani ilikuwa ikinyesha taratibu huku upepo ukivuma hapa na pale,nilifumbua macho kivivu na kugundua ya kwamba nilikuwa...
Ukiacha namna ya kutafuta series kupitia index/serial au torrent namna nyingine ya kupata tv series? maana nimekuwa nikitafuta tv series kwa kutumia google search index/serial au sometime episodes...
Ingawa kazi yake rasmi ilikuwa ni kusafisha na kutengeneza kucha mitaani, alifanya kila kazi iliyomjia mbele yake. Alibeba mizigo, alizoa taka majumbani mwa watu, alichota maji na kuwauzia wateja...
Mwandishi: RM the brave
faili namba 25
01
Hisia za kukumbatiwa na mtu pale kitandani zilinigutusha toka kwenye usingizi mzito,nilijigeuza kivivu na kukutana uso kwa uso na mpenzi wangu wa siku...
Habari wakuu
Kuna bongo fleva ya kitambo kidogo ilikua na maneno yasemayo
Fanani siku nikifa njooni wote,mnaonipenda msionipenda njooni wote×2
Mwenye anaeweza kuwa na hiyo nyimbo aipandishe...
Sio mbaya tujikumbushe enzi zetu sisi wahenga, nikijalibu kuangalia miserebuko na mapigo ya siku hizi za kalibuni tofauti ni kubwa sana, enzi zetu binti ilikuwa akivaa moka za kiume hata...
Mtunzi:Erick Shigongo
Mawingu yalikuwa yametanda katika anga lote la jiji la Dar es Salaam, haikuwa kawaida kwani jiji hilo lilisifika kwa joto kali. Manyunyu ya mvua yalikuwa yakidondoka...
KURUDI KWA MOZA :1
Moza alikuwa msichana mrembo ila aliishi maisha ya shida na kumfanya ajaribu kufanya kazi za ndani, na kwa bahati akapata kazi kwenye nyumba ya mama mmoja tajiri, aliyejulikana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.