Kama kichwa cha habari kinavyosomeka, Msanii aliyetamba miaka kadhaa ya nyuma Lawrence Malima (Marlaw) amerudi tena kwenye game baada ya kimya kirefu, kaachia wimbo" Taa" sasa kuna vijana...
Wadau wa JF.
Mheshimiwa Naibu Spika Dr Tulia Ackson amezindua Tamasha la Kiutamaduni - Tulia Traditional Dances Festival 2019 Mkoani Mbeya.
Hongera sana Mheshimiwa kwa kuenzi, kuendeleza na...
Tamasha la Utamaduni kwa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (JAMAFEST 2019) linaendelea Uwanja Wa Taiga jijini Dar es Salaam. Tembelea Tamasha hilo ujionee mambo mengi ya kiasili zikiwemo ngoma...
NYEMO CHILONGANI.
SHAMBULIO LA DAMU
0718069269.
Sehemu ya kwanza.
Dunia nzima ilikuwa kimya kwa muda, hakukuwa na mtu aliyeamini kile kilichokuwa kimetokea. Waliokuwa mbali na televisheni...
Vietnam War veteran John Rambo tries to find some semblance of peace by raising horses on a ranch in Arizona.
He's also developed a special familial bond with a woman named Maria and her teenage...
Mara ghafla nawai kwenye dala dala, Jstar1 mwenyewe, ile nakarbia tu kukaa kwenye seat, mara ghafla ety naunguza mboga, wakati kipindi naanza kupika nilijua kabisa mimi siwezi kucheza mpira.
Sasa...
Katika historia ya muziki wetu Tanzania kumekuwepo album nyingi mno hasa kipindi cha miaka 15 iliyopita ambapo bado album za wanamuziki zilikuwa na soko kubwa hapa Tanzania.
Nafahamu album...
ni kwa muda mrefu sana nimefatilia matamasha kama, Mziki Mnene, Komaa concert, Fiesta, Jembeka festival, Kili music, pamoja na Wasafi festival
matamasha haya yote yana wadhamini tofauti, ila...
Mambo vp wadau. Mara kwa mara nimekuwa nikisikia mivutano ya wasanii wetu hapa Bongo, Hasa Kiba na Chibu. Hii mivutano yao imenisukuma kuandika japo kidogo kuhusu beef ama ugomvi wa msanii nguli...
Baada ya kuweka misitari mbalimbali ya Nas kuwaacha wadau waseme kama yalikuwa ni utabiri ama ni coincidence tu (nilipata contribution ya watu 2 tu), nitaweka pieces zaidi pamoja hapa...
Hakuna aliyekuwa anadhani kundi la PSquare siku moja litakuja kuvunjika kwa sababu lilikuwa limeundwa na ndugu wa damu kuanzia wanamuziki mpaka meneja wake. Kaka yao (Jude Okoye) ndiyo alikuwa...
Heshima kwenu wakuu.
Kwa muda mrefu Sasa nimekuwa nikitafuta huu wimbo au hata jina la kwaya hi ya zamani iliimba wimbo wa PESA na albam yao ikiitwa hvo hivo PESA, na kasha lake lilikuwa na picha...
Intro
Ohh! ai say ai ai
Ohh! mama ei, oi ei ei ei
Say ei ei
Verse 1 - Dully Sykes
Nakupenda maa!
Basi njoo maa!
Nikila saa kabisa! uko kwa kichaa!
Girl just listen,tuishi kama
heaven
Nakuweka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.