Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...
Kuna ile tamthilia ya betrayal ambayo huonyeshwa na azam two kila siku za j3 hadi ijumaa saa 3:30,kuna ule wimbo uliotumika mle ndani nimeupenda sana ila tatizo siujui wa nani....kama kuna mtu...
0 Reactions
2 Replies
6K Views
Naitwa Patrick Ck mwandishi wa simulizi mbali mbali kama vile MISS TANZANIA SERENA BEYOND PAIN BEFORE I DIE PENIELA THE FOOTBALL QUEEN MONICA I DIED TO SAVE PRESIDENT I WAS WRONG TEN CHAPTERS...
7 Reactions
11 Replies
4K Views
Hakuna kitu napenda sana, kama duet songs Hizi chini ni baadhi ya nipendazo, Tupia nawew uzipendazo.
1 Reactions
1 Replies
923 Views
Wakuu kama kuna mtu hajaziona hizi movies basi kwenye ulimwengu wa movies bado sana
1 Reactions
81 Replies
8K Views
Jana NetFlix imetoa taarifa nzuri na mbaya kwa wapenzi wote wa huduma zao. Taarifa mbaya ni kwamba kuna baadhi ya filamu na Tv Shows zitashushwa kwenye tovuti yao na taarifa nzuri ni kwamba Muvi...
3 Reactions
20 Replies
3K Views
Wanaume tuongee ukweli tu! Kwa upande wangu mimi hapo Miss angenisamehe tu! Nitatafuta mwingine
0 Reactions
33 Replies
4K Views
Jaman wapenzi watazamaji wa vyombo vya habari (TV), Ni kwa nini nyimbo za DIAMOND PLATNUMZ hazipigwi kwenye EATV??. Kiukweli huwa nashindwa kuelewa. Hata kwenye vile vipindi vya "Top Ten na Bongo...
0 Reactions
27 Replies
6K Views
MBIO ZA SAKAFUNI HUISHIA UKINGONI 1 Ulikuwa ni wakati wa chakula cha usiku. Waziri Mkuu Dastan Lazaro na familia yake ya watoto watatu Vero, Monica na Sofia pamoja mke wake Vicky walikuwa katika...
3 Reactions
42 Replies
8K Views
Kama kuna wadau wa azam TV naomba kuuliza mbona local Chanel za hapa nchini hazipatikani na taarifa za habari hamuoneshi?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
TU SHARE WEBSITE ZA SERIES ZA ASIA
0 Reactions
5 Replies
996 Views
Ama main character aliyetumia akili sana kwenye series ni MICHAEL SCOLFIELD jamaa alicheza vizuri sana series hii ila hata kwa ujumla mtuzi wa hii series alitumia akili kubwa sana achana na haya...
3 Reactions
25 Replies
3K Views
Mchezaji wa PSG na taifa la Brazil atakuwepo kwenye series ya Kihispania ijulikano Kama 'La casa de papel' au (Money Heist) Ikiwa bado kuna mazungumzo ya kumhamisha Neymar kutoka PSG kurudi...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nimeona nilete huu Uzi hapa kutokana na movie nlio kua naiangalia sijaielewa kabisa Ati movie imeigizwa maabusu Kuna ubao wa chaki .. he hili Ni kweli?
8 Reactions
28 Replies
4K Views
I am in love with a girl for like two years now. I met her when I was in high school. It was love at first sight. I simply couldn't take my eyes off her. But I hid my feelings for her, since she...
4 Reactions
61 Replies
5K Views
simsikii classic fm wala mwenzie jimmy kabwe....vipi wapo wapi??
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Mimi Enzi hizo nilikuwa nawakubali sana 1. Mandojo na domokaya 2. MABAGA FRESH 3. DAZ NUNDAZ We mwenzangu uliwakubali kina nani enzi hizo?
3 Reactions
74 Replies
8K Views
Salaam wakuu, naombeni msaada wimbo wa extra bongo wa kitambo kidogo una maneno haya..."extra bongo wana bongo, sisi sote tuko fiti tunajinafaasi ooh ooh mama..." Nimeutafuta bila mafanikio...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom