Leo nimeamka tokea asubuhi nimekuwa nikisiliza nyimbo zilizo tamba enzi hizo napata masomo mengi sana na nyingine hata zina lenga maisha ya sasa tunayoishi
kikubwa tusikilize ujumbe pamoja...
Nimejaribu kusikiliza miziki inayopendwa sana na vijana wa kileo, inayojulikana kama Bongo fleva kwa makini,lakini sijaona kama zina ujumbe wowote kwa wasikilizaji
Ukilinganisha na miziki ya...
MKASA WA KWELI
NILIMUOA JINI PASINA KUJUA
NA ZUBERI MARUMA
Whatsupp no 0759527654
No 01
Mungu muumba,aliumba majini na binadamu hili wa muabudu,katika uumbaji wa majini kuna majini wema wanao...
Je, wajua Animation ya MOANA kwa Italy inajulikana kama OCEANIA, hii ni kutokana na kuwepo kwa mwanadada maarufu kwa kuigiza filamu za ngono aliejulikana kama Moana Pozzi.
Hii ilipelekea...
Dingi - Mandojo & Domokaya flow ya mashairi ni nzuri tena yanoyogusa na upande wa production ni 100% perfect. This song deserve to be the best song of bongo flava all the time.
Muda umeenda Sana ukilinganisha na kule mziki Wa Bongo fleva ulipotoka nafikiri mziki umekua kiasi kuelekea kule lengo linapoitajika.. Kwa wewe Ni nyimbo gani unazikumbuka na haziwezi potea...
Natafuta series zifuatazo kwa yeyote mwenye ako nayo yoyote kati ya hizi anisaidie..![emoji440]
24
Breaking bad
Homeland
The widow
Lost
Money heist
Narcos
House of Cards
Hanna na
The wire..!
Pia...
Leo interval ya kupata tiket na kuondoka ni lisaa lizima. Magari yakifika kituoni (gerezani) yanashusha abiria na kuondoka bila abiria. Huko ni kutuzoea kama hawawezi serve demand warudishe...
Nimegoogle sana bila mafanikio.
Msaada wakuu wa huu wimbo, napendaga beat na maghani yake.
"Leee leee, leee leee, leee leee, nikifanya mimi mwapiga kelele, mkifanya nyinyi imekuwa gere, mnaota...
2008 to 2019
Asante mungu wangu kwa mafanikio ulio tupa familia yangu leo baba angu ni mwalimu mkuu mama anamiliki kituo cha kulea watoto a.k.a DAY CARE yani kwa life ya kiafrica sikuzan kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.