Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...
SIMULIZI;NILIKUPENDA MTUNZI/MWANDISHI;RAJA SAIDY WHATSAPP;+255756920739 SMS/CALL;+255621047841 SEHEMU YA KWANZA ( 01 ) Jua na kiza viliambatana mfululizo na kuzifanya siku ziende kwa...
1 Reactions
1 Replies
3K Views
Sikubaliani na wote wanaobeza kile kilichofanywa na Taifa Starz katika mechi ya leo dhidi ya Senegal katika mashindano ya AFCON. Nasema hivyo si kwa kuwa sijui soka bali kwa kuwa kati ya milioni...
1 Reactions
29 Replies
2K Views
Koffi Olomide Amefutiwa matamasha yake Mawili Nchini Afrika Kusini kwa Sababu ya vitendo Vya ubakaji, niseme tu kwamba Papaa Mopao, kiukweli huyu jamaa anastahili sifa zake. Toka nimeanza...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
kwa wale wanaoujua ule wimbo maarufu wa kipindi cha zamani cha RTD Mtu ni afya. Hivi ule wimbo aliimba Mbaraka Mwinshehe au nani? na jina kamili la wimbo ni kipi? ahsante sana
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Habar, mwenye uelewa kuhusu hi software anisaidie in general zko ngap collection zake na unaweza ipatajee collection nzima
0 Reactions
0 Replies
363 Views
Diamond Platnumz - Kanyaga (Official Music Video) Diamond Platnumz has dropped his Official Video called "Kanyaga" Welcome to watch and Download Video ...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Jurko Murshid anapokuwa simba huonekana mchezaji wa kawaida sana lakini katika timu ya taifa uganda ni panga pangua je ni simba wanamkosea kumtumia au uganda hawana wachezaji wa kiwango kikubwa...
0 Reactions
1 Replies
894 Views
Wakuu habari zenu?, Hivi inakuwaje hapa radio ya kwangu mimi ,nimesota nimeianzisha mimi ,nikaweka utaratimu wa kuwa na piga nyimbo tu za wasanii ambao mimi kwa mtazamo wangu naona watanisaidia...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Izzo Bizness Ft Aslay - Midadi (Official Music Video) DOWNLOAD VIDEO Izzo Bizness Ft Aslay - Midadi - Official Music Video Dropped by Izzo Bizness ...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa wapenzi wa vitabu vya Ben Mtobwa, kwa mara nyingine napenda kuchukua fursa hii kuvitangaza vitabu vya marehemu Ben Mtobwa kwamba sasa vinapatika hapa jijini Dar es salaam, maeneo ya Posta...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Kwa wapenzi wa vitabu vya Ben Mtobwa, kwa mara nyingine napenda kuchukua fursa hii kuvitangaza vitabu vya marehemu Ben Mtobwa kwamba sasa vinapatika hapa jijini Dar es salaam, maeneo ya Posta...
0 Reactions
1 Replies
968 Views
Kwa wapenzi wa vitabu vya Ben Mtobwa, kwa mara nyingine napenda kuchukua fursa hii kuvitangaza vitabu vya marehemu Ben Mtobwa kwamba sasa vinapatika hapa jijini Dar es salaam, maeneo ya Posta...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Ukweli ni kwamba mnyonge mnyongeni asilimia zake mpeni...kijana Naseeb Abdul ametikisa muelekeo wa muziki nchini Tanzania kwa muongo mmoja sasa. Apongezwe kwani ameiweka ramani ya Tanzania...
6 Reactions
18 Replies
2K Views
Country Boy Ft Harmonize - Watoto (Official Music Video)
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Muda mfupi uliopita,Lundenga akiongea na waandishi wa habari amesema Miss TZ 2014-2015 ana miaka 23 na hana masters ana degree.Kwa maelezo hayo anafaa kuwa miss Tz na hatavuliwa taji. Mwaka 2005...
3 Reactions
353 Replies
50K Views
Hawa vijana wa kings music ya King kiba wametoa ngoma Kali inaitwa Rhumba,Vijana wana uwezo mkubwa sana ila naona wamekosa promo kutoka kwa boss wao. Alikiba jaribu kufanya mziki kisasa uwa-brand...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
alikuwa
2 Reactions
14 Replies
2K Views
Wakuu heshima kwenu . Kwa muda mref sana nimekuwa natafuta hiz nyimbo, 1 VAA VIATU wa Jangalason 2 PESA..huu sikumbuki kwaya iloimba. Na album ilkuwa inaitwa hivo ivo PESA Nawasilisha
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wanaforum tukutane hapa kuhabarishana vitu/matukio ya kuvutia katika fainali hizi za mwaka huu 2019 zinazotarajiwa kuanza Ijumaa hii ya tarehe 21/6. Tuanze kwa kushuhudia muonekano wa muonekano...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Kings music ya Alikiba wametoa ngoma Kali inaitwa Rhumba,Vijana wanaonekana wana Talent kubwa ila ajabu wamekosa mtu wa kuwabrand.
0 Reactions
38 Replies
4K Views
Back
Top Bottom