Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

JF Prefixes:

Jamboo! Wakuu kama kichwa cha mada kinavyo jieleza hapo juu naomba hiyo ikitokea mniambie nitakuwa hapa panapo majaliwa. Binafsi ni mpenzi wa kutizama na kufuatilia filamu na tamthilia mbali...
14 Reactions
46 Replies
2K Views
JINI WA DARAJA LA SALENDA.......EP.1 Majira ya saa nane za usiku msichana Suzana alikuwa akitoka kujirusha katika ukumbi wa Bilicanas. Kilichomshtua kilikuwa kutoweka kwa mpenzi wake Sammy ambaye...
7 Reactions
133 Replies
16K Views
Wimbo mpya wa kampeni za CCM huo tayari hongera https://youtu.be/LC71A3Lnnac?si=OhLTICbv5ofSA6_B
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Wakuu Tamasha maarufu la kitamaduni nchini Uganda, ‘Nyege Nyege’ sasa litafanyika baada ya awali Bunge la nchi hiyo kutaka kusitishwa kwa madai ya kuruhusu vitendo vya uasherati. Kwa mwaka huu...
2 Reactions
13 Replies
4K Views
MTUNZI : SELOPHEADY H. MAGEMBE HAKI ZOTE ZIMEHIFADHIWA Huruhusiwi kunakili au kutumia sehemu ya hadithi hii bila ruhusa ya mwandishi. Nilikua nimehitimu masomo ya shule ya upili na kuchaguliwa...
13 Reactions
311 Replies
45K Views
Riwaya hii ni ya kubuni, hivyo mfanano wa matukio wa ndani ya Riwaya na maisha halisi unayoyaishi ni shabaha tu ya fikra za Mtunzi. Karibuni nyote kwa wingi MABADUNI WA SERIKALI Utangulizi...
10 Reactions
196 Replies
30K Views
Kamati ya Tuzo za Muziki Tanzania (TMA) kwa kushirikiana na Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA), wametangaza kuwa sherehe ya utoaji wa tuzo hizo itafanyika rasmi tarehe 19 Oktoba 2024, kuanzia saa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Hivi ndo vipengele vya Tanzania music awards 2024 (TMZ) 1, wimbo bora wa taarab wa mwaka . Malkia Leyla Rashid(watu na viatu), Mwasiti Mbwana(sina wema), Salha (dsm sweetheart), Mwinyimkuu(bila...
0 Reactions
6 Replies
624 Views
Wakuu, Ila BASATA mmekuwa zaidi ya mizigo! Kwa hawa watu wote wanaotekwa na kuwataja polisi 🤣 🤣 au wenzetu hamjui Kiswahili. Mapana naona ndio utakuwa kiongozi kituko kuwahi kutokea tokea...
6 Reactions
69 Replies
3K Views
Hizo sauti za xxxtencion, juice world in Ai generated na ngoma kali https://www.youtube.com/watch?v=W41Zg2sxsOc Hata hiii ya xxtencion ni Ai generated https://www.youtube.com/watch?v=mvQBbPReWbo...
0 Reactions
3 Replies
288 Views
Wakuu hii ndo list ya wasanii wa hiphop waliokufa kwa kupigwa risasi [emoji419]Scott la rock 1987,age 25 [emoji419]Paul c 1989,age 24 [emoji419]Danny de boy 1990,age 22 [emoji419]Charizma...
15 Reactions
225 Replies
11K Views
Waziri wa Ulinzi wa Israel, bwana Yoav Galant, amesema kuwa shambulio la Iran la hivi karibuni lilikiwa kali lakini lilishindwa, kwa sababu hakuna radilimali za kijeshi za Israel zilizoharibiwa...
1 Reactions
12 Replies
461 Views
1. Ford v Ferrari (2019) 2. The Fast and the Furious (2001) 3. Rush (2013) 4. Days of Thunder (1990) 5. Cars (animation) (2006)
0 Reactions
1 Replies
183 Views
MAKABURI YA WASIO NA HATIA (GRAVES OF THE INNOCENTS)- 1 JINA langu naitwa Togolai Mahimba, ni mtoto wa mwisho kati ya watoto saba wa baba yetu, Sinai Mahimba ambaye kwa sasa ni marehemu. Baba...
15 Reactions
309 Replies
59K Views
Mhadhara - 40: Wakati ule tulikuwa tuna idadi kubwa ya wasanii waliopeleka ujumbe mzuri kwa jamii na serikali. Hakika walikuwa ni kioo cha jamii kweli kweli. Hawakupata hela lakini walituachia...
2 Reactions
6 Replies
285 Views
Sikusema nae nilipomuona ufukweni, Hakuniona nataka kumsuprise baby girl, Mtu mwingine akaja mshika bega kabla yangu, Kusimama Nashangaa Mara wanakiss na baby wangu, Ile ki-silencer nagubwikwa na...
5 Reactions
22 Replies
4K Views
Habari, Moja ya sanaa ambayo inanichanganya hapa bongo. Ni bongo movie. Najiuliza Hii Tasnia ya sanaa hawa wahusika wanapataje hela? Mabadiliko makubwa ya Technolojia kutoka vhs, cd, flash na...
8 Reactions
32 Replies
1K Views
Msanii maarufu wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz, amekuwa msanii wa kwanza kutoka Afrika Mashariki kuchaguliwa kuwania tuzo za MTV Europe Music Awards kwa mihula mitano, akiwania vipengele sita...
2 Reactions
21 Replies
1K Views
Ni vizuri wale wana ojua chimbuko la muziku wakatupatia historia yake fupi. Pia naiona ni kama modern zouk hivi (zouk iliyochangamka) Kwa wale wasiojua style ya kompa kibongo bongo wasikie wimbo...
0 Reactions
2 Replies
504 Views
Hollywood ni kitovu maarufu cha tasnia ya filamu nchini Marekani na duniani kote. Historia yake inaanza mwanzoni mwa karne ya 20. Hapa kuna muhtasari wa historia yake: 1. Mwanzo wa Karne ya 20...
0 Reactions
0 Replies
349 Views
Back
Top Bottom