Yaani kuna muda nikipitia nyimbo zake za zamani kama stimu zimelipiwa huwa naona kama watu wawili tofauti.
[emoji2398]troublemaker 2019. all right reserved.
Kuna huyu kijana anaitwa "YOUNG KILLER"
Nyimbo zake na mistari yake huwa naikubali sana.
Kama pale aliposema
Unaogopa nini toba,
We binti wacha uoga,
Ona unaguu la bia, halafu nguvu ni za soda...
Hii riwaya nmeisoma mda c mrefu na jina limenitoka ila ni kisa cha mdada jack na mumewe caros wakitaka kuiba benk naiomba hii mwenye nayo
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu kiukweli nimesikiliza bongo fleva nyingi sana ni kama zote....
Kuna nyimbo kali sana zimewahi kutokea/kuimbwa na wasanii wa hapa Nyumbani. Ila kwa upande wangu hakuna wimbo unaoweza...
Kwa Dunia ukizungumza ulimwengu wa mziki wa gospel hillsong united wako juu sna hawana mpinzani katika mziki wa gospel. nyimbo yao mtu yoyote anaskiiza atheists, muslims na Christians nyimbo zao...
NOTE: Tofautisha Kifungo cha Maisha na Kifungo cha Miaka.
Huyu ni Mwanamke Kutoka Nchini Thailand Anaitwa Chamoy Thipyaso Alihukumiwa Miaka 131,078 Gerezani na Hukumu hiyo Aliipata July 27, 1989...
Kwa Mujibu wa Jarida Maarufu Duniani la Forbes, Hii ndio Hotel ya Kwanza Duniani Kujengwa Chini ya Ardhi.. ina Ghorofa 18, lakini Ghrofa 16 Zote ziko Chini ya Ardhi na Mbili Zilizobaki ziko Chini...
Licha ya Kuwa Malkia Elizabeth II ni Mtawala wa Uingereza Lakini pia Ndiye Mtawala wa zaidi ya Nchi 30 Nyingine za
1. Australia.
2. Bahamas
3. Barbados.
4. Belize.
5. Canada.
6. Grenada.
7...
Inaitwa La Rosey
Shule hii ipo Rolle Kaskazini Mashariki mwa Switzerland Ilianzishwa Mwaka1880 na Mwanzikishi ni Paul-Emile Carnal, Ni shule yenye Wanafunzi 420 Kwasasa na Walimu Karibia 200...
HAKUNA watoto wa mitaani/
kwa mtaa ukimuona mtoto tambua Ni mtoto wa jirani/
hata akiokota makopo jalalani/
kumbuka changamoto maisha Ni msoto bila Imani/
HAKUNA siku bila mwanga/
usiku bila...
Ushindi wa Taifa Stars ni matokeo ya matumizi bora ya fedha pale TFF na vilabuni. Wenye akili wameshtuka kuwa bila matumizi bora ya fedha zilizopo wanaweza kushukiwa na mwewe bila huruma. Matokeo...
Dini Kubwa sana Huko Visiwa vya Fiji ni Ukiristo (70%), Kabla ya Kuja kwa Dini Walikua na Mila Ambapo Chief/ Kiongozi wa Kabila Akifa basi nawe Mke wa Chief Unanyongwa, Mbaya zaidi Aliyetakiwa...
KIJIJI cha Nangose kipo jirani na mji wa Masasi njiani kuelekea kijijini kuna mimea mingi sana iitwayo mianzi ambayo watu huikata kwa matumizi mbalimbali kama vile kujengea nyumba, kutengenezea...
Huwa napenda kusikiliza watu wazima from time to time ili kupata picha time yao walikuwa wanafikiria nini. Juzi ilikuwa zamu ya Babu KRS One. Kwenye album yake 'I Got Next' ana track inaitwa 'A...
Kwa Mujibu wa Mtandao wa africanglobe.net Adhabu hiyo Iliwahi Kutekelezwa Mara Kadhaa Nchini humo ikiwemo Mwezi May 2013 Kwa Vijana Wa3 Kutundikwa Msalabani na Kuteswa Hadharani Hadi Kufa Baada ya...
Majina yake Kamili anaitwa Bathsheba Spooner Mmarekani Aliyezaliwa February 15, 1746 Huko Massachusetts Nchini Marekani na Kufariki Dunia July 02, 1778 Kwa kunyongwa Akiwa na Umri wa Miaka 32...
Anaitwa John Francis, Watu Humwita Pia 'The Planet Walker' Kutokana na Uwezo wake wa Kutembea Kwa Mguu Kwani Amewahi Tembea Kwa Miguu Kuzunguka Sehemu Mbalimbali kwa Miaka 22.
Aliwahi Kukaa Kimya...
Huu ni Msitu wa Down hill, Unajulikana zaidi kwa Jina la 'The haunted Dow Hill of Kurseong' Uliopo Huko Darjeeling KM 30 Magharibi mwa Mji wa Bengal Katikati mwa India, Ndani ya Msitu huu kuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.