Hiki Kinaitwa Kisima cha Wachawi (Witch's Well), na Maji yanayotoka Hapa Muda Mwingine Huwa ni ya Moto, Kuna Historia Mbili Tofauti juu ya Kisima Hiki.
Kisima hiki Kipo Katika Nchi ya Jamhuri ya...
Anaitwa Amethyst Realm Mwanamke Kutoka Uingereza, Amewahi lalamika katika Kipindi cha Televisheni cha 'This Morning' cha ITV ya Uingereza kwamba Amefanya Mapenzi na zaidi ya Mizimu 20.
Anasema...
Eneo Hili Linaitwa 'Devil's Tramping Ground' Lipo Katikati ya Msitu Huko Greensboro, Takribani KM 80 Kaskazini Mwa Mji wa Carolina Nchini Marekani.
Jina la Eneo hili Linajieleza Kwamba ni Eneo la...
Juzi nilikua naskiliza redio CITIZEN majira ya sa tatu baada ya tarifa ya habari mara naskia mtangazaji anauliza swali na kuahidi Ksh5000 kwa atakaepatia swali lenyewe lilikua " jakaya mrisho...
Habarini wakuu kwa hisani ya taifa star
Hivi hawa ndugu zetu wajenya hua wanashida gani au ni hawajui kuhastle kutafuta pesa au pengine ni danganya toto,
Juzi nilikua naskiliza redio citizen...
Habari za asubuhi wajameni
Nimekuwa mpenzi msikilizaji wa kipindi gospel hapa wasafi fm ila leo naona huyu dj kaja kujifunza kupiga vyombo hadi radha ya mziki inapotea
Najua mpo humu ndani...
Nikikumbuka kipindi cha kizazi cha dhahabu katika mziki wa bongo fleva(kwa mtazamo wangu) kuna wasanii wengi walifanya vitu vikubwa na vya maana sana.
Moja kati ya wasanii waliowahi kutamba na...
Wadau wa ngumi kuelekea pambano la hassan mwakinyo huyu bondia toka kilimanjaro kimaru bruno, wamemuokotea wapi mbona kama wamemchukua kwenda kitudhalilisha tuu
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.