Siku kama ya leo mwaka 2007 mwanamuziki nguli wa miondoko ya Rege, Lucky Philip Dube maarufu kwa jina la Lucky Dube aliuawa kwa kupigwa risasi
> Tukio hilo lilitokea muda mfupi baada ya...
Lucky Philip Dube (tamka doo-bei) [1] (3 Agosti 1964 - 18 Oktoba 2007) alikuwa mwanamuziki wa reggae kutoka Afrika Kusini. Alirekodi albamu 22 katika lugha ya Kizulu, Kiingereza na Kiafrikaans...
Wakuu kuna huu wimbo wa bendi ya lucky dube wa CELEBRATING HIS LIFE nimeshindwa kujua kitu,hivi ile sauti inayosikika mbona ni ya lucky dube kabisa,na je yule jamaa anaeoneshwa kwenye video kama...
Wadau
kuna wimbo mmoja watiwa kesi ya khanga au monica uliimbwa na huyu nguli au bendi ambayi akiitumikia kama kuna mdau anao au link napoweza download please naomba.
Natanguliza shukrani
Buswelu
Naomba mwana jf yeyote aliye na audio ya wimbo wa dudu baya unaitwa Mwanangu huna nidhamu anisaidie.
Wimbo huu naupenda sana na unanikumbusha miaka ya 90.
Asanteni.
Shirikisho la soka barani ulaya limemaliza utata wa penalti ulitokea kwenye mechi ya mtoano kati ya Man United na PSG na kusema kwamba penalti ilikuwa stahiki.
Mpira ulipigwa na diego dolot na...
RIWAYA: URITHI WA GAIDI.
NA BAHATI MWAMBA.
SIMU: 0758573660
Vitabu vilivyopita.
• Kikosi cha pili
• Dakika za mwisho
• Mpango wa Congo
• Mbwa wa geti
• Operesheni jicho la...
Wakuu mko pow?
Nadhani nipo jukwaa sahihi
Wakuu nimeitafuta hii movie bila mafanikio tafadhali anaye ifahamu naomba aniambie hii movie inaitwaje jina tuu latosha mimi nitaifuta online...
Wadau
Kila mtu ana ladha yake ya movie l,akini itakuwa vizuri tukitajiana majina ya movie nzuri tulizowai kuona na kupendekeza tuzitzame.
Ni vema tusifuate kigezo cha mwaka bali kigezo cha...
ukipita hapa mchana au asubuhi ni frem tu iliyofungwa kama frem zingine za biashara...asubutuuuu
pita apo kuanzia saa moja jioni na kuendelea alafu uone iyo set-up yao utazimia na roho...
Guys!
Namshukuru Mungu kwa kufanikisha hili. Kitabu cha Dili la Dola Bilioni Nne nimekabidhiwa, kimeprintiwa vizuri mno, nitaanza kazi ya kuwafikishia wasomaji keaho. Nitaanzia Bunju, Tegeta...
Kwanini Mimi
Mtunzi : Daniel John Mtambo
SEHEMU YA KWANZA (I)
Kila Jambo linalokukuta ktk maisha Ni makusudi ya Mungu.
Kijana Moja Aliyeitwa Aizaki John alikua Na elimu ya uhasibu ngazi...
Poleni na mihangaiko wadau wa jukwaa hili.
Miaka ya nyuma TID aliwah kutoa wimbo kuhusu Ukimwi.Kuna mtu anaufahamu jina au mtu mwenye nao anaweza share na sisi hapa.
Umoja na mshikamano ndio nguzo. . . . Majizzo aahidi kuisaidia Clouds Media Group katika kuziba pengo la mkurugenzi wa vipindi marehemu Ruge Mutahaba kioparesheni mbaka pale watakapopata mtu...
Kwa wale ambao wanaona DSTV ni bei sana kwa mwezi njo uku abu dhabi tv network ambayo unanunua dikoda inaitwa Humax yenye kuchukua two smart cards ya barclays kwa ajili ya english premier league...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.