Siku Zote Mtu Anayefanya Mazoezi Katika Fani Yoyote Huishia Kuwa Bora Zaidi!. Sio siri hili kabila katka kuimba wanaimba, na wanafanya matamasha ambayo ni local, lakini kama mtu uko kwenye...
Naomba Niulize hili jambo la kuomba Saini kwa watu maarufu kama wasanii au wachezaji na watu wengine hua ni kwa maana gani au lengo gani naomba nijulishwe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Miaka yetu sisi tunasikiliza music pure, genuine not contaminated. Huwa nakumbuka mbali sana kiasi natamani nisikie na wenzangu kama walikuwa na zama kama hizi. Siku zote najiuliza. Wakati...
Kiufupi inahusu mwalimu wa chemistry alie na familia ya mke na watoto wawili gafla anagundulika ana kansa,,anajua amebakiwa na maisha mafupi, sasa anatafuta njia ya kuifanya familia yake ibaki na...
UTANGULIZI
Kila mafanikio yaonekanayo kwa kwa mtu kuna nyakati ngumu mtu huyo alizopitia mpaka kufikia hapo.
Katika nyakati hizo ngumu mtu anazopitia ili kufikia mafanikio yake, kuna changamoto...
Huwa nausikia sana ila nashindwa kuju ni wa nani nidownload.Ukiusikiliza huwezi sikia hata neno moja ,na utadhani ni beat tu ila background ni wtoto wanapiga kelele
Wazoefu walionielewa nautafuta...
Jirani msamaria mwema alipiga simu namba 116 Kituo cha Huduma ya Simu kwa Mtoto baada ya kushuhudia tendo la ulawiti katika kituo cha kulelea watoto kilichopo jirani na makazi yake. Aliendelea...
Imenibidi nikumbuke filamu hii ya FIMBO YA MNYONGE maarufu YOMBA YOMBA hasa nikiangalia sinema zetu hizi sasa za wanaojiita 'mastaa' wa bongo movie. ni sinema ya siku nyigi lakini ilikuwa maarufu...
Bongofleva kwa sasa imesheheni wasanii wengi na wakali, kila siku zinatoka nyimbo nzuri na kali zenye ujazo wa haja. Nyingi ya hizo nyimbo huwa na verse kuanzia 2 na kuendelea na huwa hazizidi 4...
SEHEMU YA 1.
Ndege kubwa toka shirika la ndege duniani Qutar ilionekana ikitafuta uelekeo mzuri wa kutua ndani ya uwanja wa kimataifa wa Hamid karzai international airport ndani ya mji wa kabul...
kwa wale wapenzi wa michano mnakumbuka mtambo? jos mtambo toka kigambo- nino? jamaa alikuwa anachana toka kitambo na wimbo wake wa kidhaa dhaa... mbona alikuwa anachana fesh sana? nini tatizo...
RIWAYA: KONSTEBO NGUZU
NA: George Iron Mosenya
"Nimekosa magoli zaidi ya 9000 katika maisha yangu, nimepoteza mechi zaidi ya 300 katika maisha yangu, niliaminiwa mara 26 kuwa nitaipatia timu...
SEHEMU YA 01-Nyemo Chilongani
“Unahitaji kuwa nani baadaye?” lilikuwa swali la kwanza mzee Jackson Gwamaka alimuuliza binti yake aliyeitwa Nandy aliyekuwa akisoma darasa la sita katika Shule ya...
Sikuwahi kuzipenda muvi za Kihindi ila baada ya kuona trela la muvi iitwayo I, nikaamua kuidownload, imeigizwa mwaka huu, nilitaka kuona inahusu nini. Kiukweli niliipenda mno, hebu ngoja...
Msichana Josie anatarajiwa kuolewa na jamaa aliyeitwa Liam, moyo wake una furaha sana, anapambwa, anajiandaa kwenda kufunga ndoa kanisani. Baada ya dakika kadhaa wanaingia marafiki wa mume...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.