Kwakeli niwe muwaz,napenda sana muziki a reggae, ni muziki ambao huuchoki kuusikiliza,kuanzia beats mpaka vocal ni namna gani hawa watu wanakipaji cha muziki.
Hata MTU asivutie kwenye kuimba lakin...
mi nakumbuka chorus tu na mara ya kwanza kuisikia ni kwenye kifo cha complex na viviani''mpenzi mi nakwenda safari mpenzi m na kwenda safari penzi letu ulilinde usiwe na hofu mpenzi penzi...
Mzuqa!
Huyu mzee hapana aiseee. Huu wimbo wake Loving you desperately ni mzuri mno.
Special dedication Valentines day 2019
Kuna kipande kaimba hivi:
Will I laugh, will i cry like, will I...
SIMULIZI;NAACHA UCHAWI.
MTUNZI;RAJA SADY.
WHATSAPP;0756920739.
SMS;0621047841.
SEHEMU YA KWANZA ( 01 )
ANZA NAYO....
Napenda kuwasimulia kisa hichi ili nanyinyi wenye mipango ya kuwa wachawi...
Nani alie na zile volume za Colombo,ni miziki ambayo ilikuwa ikitoka kwa volume kama kuna mwenye nayo ile volume 2 anisaidie.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyimbo mpya kabisa alikiba akishirikiana Timaya msanii kutoka Nigeria
To be honest alikiba anajua jamani, ngoja nikuache usikilize mwenyewe kwenye link hapo chini.
Sent using Jamii Forums...
Kwa wale wenzangu wapenzi wa miziki ya lingala,naomba view zenu.Mimi binafsi ninawakubali sana hawa wasanii wote wawili kiasi ninashindwa kuamua yupi zaidi.Naomba mtazamo wako,nani mkali zaidi...
tukumbushane zamani kidogo,dsm kukikuwa na kumbi za cinema kama,empress,empire,newchox,avalon,cameo,odeon na drive in,,empress ndo ulikuwa ukumbi wa wajanja,hasa watoto wa ilala,kila jmosi...
Niliona uzi humu kuwa mwanaume unaanzaje kuangalia Sultan kama sio tabia za kike, ikanibidi nicheke kwanza na kumuona yule aliyeleta ule uzi na waliokuwa wanamsupport hawana akili timamu na...
Kwa ambae hajui mkasa huu upo hivi:
Team inayoshiriki ligi kuu ya uingereza cardiff city ilikubaliana transfer ya mchezaji wa nantes ya ufaransa Emiliano Sala. Mazungumzo yote yalikamilika mpaka...
Kwa wale walowahi kuangalia kipindi cha straight talk Africa cha Shaka Ssali Ile soundtrack kipindi kinapoanza na kuisha ni ya nyimbo gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukisikiliza hii nyimbo kuanzia mpangilio wa sauti, ala zake zilivyopigwa humo ndani,namna walivyokuwa wanapishana humo ndan Bob Marley na Lauryn Hill na namna mashairi yalivyopangiliwa humo ndani...
habari ndugu kama kuna mtu anajua location sehem wanauza Cd movie or series latest hapa ambazo hazitafsiriwa na hawa madj kwa hapa dar es salaam
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.