Habari wakuu,
Nasikitika kusema kwamba BIKO SPORTS HAWAKO FAIR.
Mtu akijisajili kwao hakuna namna ya ku unsubscribe kupata notifications pale kwenye website yao. Wamekuwa wanatuma sana message...
Ukisikiliza mziki wa Lucky Dube vizuri utagundua kamshinda Bob Marley kwa vitu vingi,sauti,beats,ingawa kiujumbe wanafanana,ila mziki wa Lucky Dube unavutia zaidi ukisikiliza.
Nadhani Bob Marley...
NILIOLEWA NA JINI BILA YA KUTARAJIA 1:
Ilikuwa kwenye mida ya saa mbili usiku wakati tumekaaa kwaajili ya chakula cha usiku.
Wakati nakula simu yangu ikaita kuangalia mpigaji ni mpenzi wangu Sam...
Wakuu....ni channel gani ya startimes unaipenda?
mimi naipenda sana st plus (startimes plus nambari 119)
Hata wakiondoa channels zote hii wakiiacha sina tatizo.......naipenda sn maana ni series...
Mtunzi Juma hiza 01
Suzani alikuwa amejifungia chumbani kwake, wakati huo alikuwa akilia kwa uchungu. Hakutaka kuamini kile kilichokuwa kimetokea katika maisha yake.Mkononi mwake...
Tunalipia pesa nyingi ila tunaona channel chache,kwanini hamtaki kufanya utaratibu wa kuturudishia channel za nyumbani na pia muongeze channel za movie,music,wrestling badilikeni
Sent using Jamii...
Hizi movie
1.avengers infinity war 2018
2.captain america the winter soldier
Zimenivutia sana kama nyingne unafaham yenye maudhui kama yaliopo kweny movie hizo bandika hapa.
Msanii pendwa wa muziki aina ya afro pop toka pande za Naija Timaya ametuletea ngoma mpya akiwa amemshirikisha Kingkiba ngoma inaitwa Number one inapatikana kwenye EP inayoitwa Chulo vibes hapa...
Tumechelewa lakini bado hatujachelewa, mambo yanazini kunoga Otoman Empire, Basi hii ni Thread yetu maalum wa kupashana kinachoendelea kwenye Tamthilia hii inayorushwa na kituo cha Azam media kila...
1. Jack Ryan
> Kuipata nenda google andika Jack Ryan season 1 index (ukitumia operamin ni rahisi zaidi)
2. Ghoul
> Kuipata nenda google andika Ghoul season 1 index (operamini ni rahisi zaidi)
3...
Huu wimbo ameutoa siku kama sita zilizopita , full kumsifia mwanaume anayemkuna sawa sawa..
Wangapi wamemwelewa huyu kwenye hii staili mpya anayoimba
Wimbo Huo Huu Hapa:
Kuna wimbo mmoja wa Diamond Sound unaitwa nadhani Valentine. Nimeutafuta sana sijaupata wadau, mwenye link please anaweza kushare hapa. Nakumbuka baadhi ya lyrics kama:” Jumamosii eeeeeeh...
Hellow habari zenu
Nimeanza kujifunza kutengeneza beat miezi kama mitatu iliyopita nimetengeneza beat kadhaa zikiwemo hizi ebu nipeni ushauri wenu kitu gani kinamiss kufanya beat ikawa poa zaidi...
Habari wandugu.
kuna tamthilia flani ya kichina inarushwa tbc imetafsiriwa kwa kiswahili....please naomba alie na hii series tuwasiliane...niko tayari kuchangia gharama kidogo..akipenda.
Wapenzi wa muziki nadhani mnamkumbuka kijana wetu mwimbaji Wazir Sonyo .Ninaomba kujua yuko wapi na je anaendeleza kipaji chake cha uimbaji au ndio kapotea?
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.