Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...
Nani anaweza nisaidia nipate season II maana ni bonge moja la film.Wakorea wanakuja juu Hollywood wajiangalie. Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Hii nyimbo ni nzuri sana ni kijana kutoka kigoma kakonko tz..Silvester Faida Ila Jina la kiusanii anatumia JACK-SOLDIER :SINA RAHA huu wimbo nimeupenda haswa nimejaribu kuweka nusu ya kipengele...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
MOYO USINIDANGANYE NO :01 Mara yangu ya kwanza kuja Dar es Salaam, rafiki yangu Obey alinizungusha kariakoo. Zanzibar pamechangamka lakini mji huu ni hatari. Kuna kila aina ya bidhaa, na...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Habarini wana Jamii Forum,samahanini kama ntakuwa nmetumia lugha gongano hapo kwenye kichwa cha huu uzi..,ila naomba nijuzwe maana ya vifupisho vya Video Show.. Yaan Utakuta Kuna Kipindi...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
DTH/DTT Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
2 Replies
604 Views
Ngwair - Sikiliza [Ngwair & JD] kama ni demu sikiliza, niskize mi kama una swali uliza, niulize mi hata kama sijamaliza, ah sikiliza kama ni demu sikiliza, niskize mi kama una swali uliza...
0 Reactions
9 Replies
7K Views
Natafuta mtaalam wa draft (British) Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Wakuu natafuta kitabu cha masala kulangwa kwa lugha ya kisukuma. Naomba mnielekeza sehemu ninayoweza kukipata. Asanteni. Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
8 Replies
38K Views
Kwa mara ya kwanza amenishika na kumuelewa nini anafanya kiukweli I like this song
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Jamani wakuu nautafuta Sana ule wimbo kina sehemu anasema viroba tupa kule saivi mwendo wa Savannah pls mwenye nao naomba anitumie
1 Reactions
23 Replies
4K Views
Bada ya chari kimoko #Diamond Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
0 Replies
860 Views
Ni kampuni ipi ambayo inatoa odds za nyingi kwa hapa Tz Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
1K Views
habari wadau, Mwenye clip ya masimulizi ya hadithi zilizotungwa na George Iron Mosenya kama "usinililie mimi kawasimulia wanao" tafadhali naomba anisaidie
1 Reactions
12 Replies
97K Views
Published on 1 Nov 2013 Christian Bella & Malaika Band Nakuhitaji Dir: Meja & Osman Source: Bongofive ya youtube
1 Reactions
2 Replies
11K Views
Hiki ndio kikosi nataman kianze kesho kwenye mechi ya kombe la klabu bingwa baran afrika Kati ya Simba na Al ahly. Kwanza napenda kusema kwamba sina lengo la kumpinga kocha au kumpangia majukumu...
0 Reactions
9 Replies
5K Views
Salaaam wakuu....... Bila Shaka mu wazima na kheriiiii,Kama topic inavyojieleza natafuta wimbo wa tot/komba wa CCM NI ILE ILE mwenye nao au anajua link Tafadhali Shukrani Sent using Jamii Forums...
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Please mwenye nyimbo hizi za bongo flava naziomba 1. Mtani jirani - Juma Nature 2. Kicheko tu - BDP 3. Kula kona - Manzese Crew 4. Bosi - BWV (from mwanza kirumba) 5. Haki - Mr II Ft...
5 Reactions
30 Replies
18K Views
Back
Top Bottom