Jamani naomba kuuliza huku jukwaani, nina ps 4 yangu haijahackiwa, nataka kununua game online, lakini nchi ya Tanzania haiko kwenye listi. naomba wajuzi wa mambo haya wanisaidie, ukunipa idea mm...
Habari za siku nyingi wakuu wangu...Heri ya mwaka mpya....
Baada ya kipindi kirefu cha kutokuwa hewani leo nimeona tuanze awamu nyingine ya 'Enzi Hizo' ambapo tunapata fursa ya kuzikumbuka nyimbo...
Wakuu, heshima zenu...Naulizia chimbo ninaloweza kupata vinywaji na nyama choma DODOMA.
Chimbo lilipo mitaa ya kati mjini au na maeno ya karibu.
Lililochangamka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari zenu wakuu...
Michael Jackson enzi za uhai wake alipata kutoa vibao mbalimbali mojawapo kikiwa ni Liberian Girl ambacho ndani yake kuna maneno adhimu ya lugha ya Kiswahili, Nakutaka pia...
Mshambuliaji wa mabingwa wa kihistoria Tanzania @heritier_ebenezer ataukosa mchezo wa kesho dhidi ya Mwadui Fc kutokana na kuwa na kadi tatu za njano.
Tofauti na inavyosambaa kwenye mitandao ya...
Chikupe kuongeza nguvu Yanga dhidi ya Mwadui Fc kesho
Baada ya mapumziko ya takribani wiki mbili, vinara wa ligi kuu ya Tanzania Bara Yanga kesho wanarejea 'mzigoni' kwa kuumana na Mwadui fc...
KUTOKA NDONDO CUP HADI MAJARIBIO SOUTH AFRICA
.
Ukimuuliza Kelvin Sabato 'Kiduku' Kongwe (jezi namba 7 pichani) kuhusu safari yake ya soka lazima ataitaja Ndondo Cup. Ndio, ukipata fursa hiyo...
-Kamati ya Nidhamu ya shirikisho la soka Tanzania (TFF) imesema Beki wa kati wa klabu ya Yanga, Andrew Vicent Dante hana kesi ya kujibu kwenye kamati hiyo kuhusu kumpiga kichwa mwamuzi wa mchezo...
Wakuu,kwa mara nyingine nakuja mbele zenu nikitumai nyote mko salama,rejea kichwa cha habari hapo juu.Nimekuwa nikitumia jina langu halisi katika kuwasilisha mada/hoja na pia kuchangia nyuzi mbali...
Nakumbuka miaka ya 1989-93,nilizamia mbuguni now MERERANI kwenda kusaka TANZANITE, nilishawishika kwenda huko baada ya kuona rafiki zangu niliosoma nao wanaporudi mtaani wakifanya kufuru ya...
Kwa masikitiko makubwa leo sisikii kipindi cha Pachanga hapa TBC FM 90.0 MHz (Dsm)
Pachanga ni kipindi kinachopiga miziki ya dansi ya ndani ya nchi yetu Tanzania na kimekua msaada mkubwa katika...
Kwanza kabisa niwapongeze viongozi makocha na shukraaani za dhati kabisa ziwaendee wachezaji wote wa Simba sc
Pili Viongozi Tutengenezeeni sticka rasmi za magari nk zenye maandishi THIS IS SIMBA...
Najua wengi humu ni wadau wakubwa wa Clouds Media Group CMG, Hivyo nimeamua kuanzisha uzi huu uwe mahususi kwa ajili ya wadau waote wa Clouds popote walipo duniani, chochote kile ulichonacho...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.