Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...
Jamani naomba kuuliza huku jukwaani, nina ps 4 yangu haijahackiwa, nataka kununua game online, lakini nchi ya Tanzania haiko kwenye listi. naomba wajuzi wa mambo haya wanisaidie, ukunipa idea mm...
0 Reactions
4 Replies
760 Views
Habari za siku nyingi wakuu wangu...Heri ya mwaka mpya.... Baada ya kipindi kirefu cha kutokuwa hewani leo nimeona tuanze awamu nyingine ya 'Enzi Hizo' ambapo tunapata fursa ya kuzikumbuka nyimbo...
0 Reactions
81 Replies
35K Views
Wakuu, heshima zenu...Naulizia chimbo ninaloweza kupata vinywaji na nyama choma DODOMA. Chimbo lilipo mitaa ya kati mjini au na maeno ya karibu. Lililochangamka. Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
50 Replies
10K Views
Habari zenu wakuu... Michael Jackson enzi za uhai wake alipata kutoa vibao mbalimbali mojawapo kikiwa ni Liberian Girl ambacho ndani yake kuna maneno adhimu ya lugha ya Kiswahili, Nakutaka pia...
11 Reactions
15 Replies
4K Views
Kama heading inavyojieleza tangu kanumba afariki ni muigizaji yupi ni bora kuliko wengine TZ? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
31 Replies
4K Views
Mshambuliaji wa mabingwa wa kihistoria Tanzania @heritier_ebenezer ataukosa mchezo wa kesho dhidi ya Mwadui Fc kutokana na kuwa na kadi tatu za njano. Tofauti na inavyosambaa kwenye mitandao ya...
0 Reactions
0 Replies
665 Views
Chikupe kuongeza nguvu Yanga dhidi ya Mwadui Fc kesho Baada ya mapumziko ya takribani wiki mbili, vinara wa ligi kuu ya Tanzania Bara Yanga kesho wanarejea 'mzigoni' kwa kuumana na Mwadui fc...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
KUTOKA NDONDO CUP HADI MAJARIBIO SOUTH AFRICA . Ukimuuliza Kelvin Sabato 'Kiduku' Kongwe (jezi namba 7 pichani) kuhusu safari yake ya soka lazima ataitaja Ndondo Cup. Ndio, ukipata fursa hiyo...
0 Reactions
0 Replies
764 Views
-Kamati ya Nidhamu ya shirikisho la soka Tanzania (TFF) imesema Beki wa kati wa klabu ya Yanga, Andrew Vicent Dante hana kesi ya kujibu kwenye kamati hiyo kuhusu kumpiga kichwa mwamuzi wa mchezo...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wakuu,kwa mara nyingine nakuja mbele zenu nikitumai nyote mko salama,rejea kichwa cha habari hapo juu.Nimekuwa nikitumia jina langu halisi katika kuwasilisha mada/hoja na pia kuchangia nyuzi mbali...
1 Reactions
21 Replies
2K Views
Nakumbuka miaka ya 1989-93,nilizamia mbuguni now MERERANI kwenda kusaka TANZANITE, nilishawishika kwenda huko baada ya kuona rafiki zangu niliosoma nao wanaporudi mtaani wakifanya kufuru ya...
3 Reactions
13 Replies
2K Views
Kwa masikitiko makubwa leo sisikii kipindi cha Pachanga hapa TBC FM 90.0 MHz (Dsm) Pachanga ni kipindi kinachopiga miziki ya dansi ya ndani ya nchi yetu Tanzania na kimekua msaada mkubwa katika...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwanza kabisa niwapongeze viongozi makocha na shukraaani za dhati kabisa ziwaendee wachezaji wote wa Simba sc Pili Viongozi Tutengenezeeni sticka rasmi za magari nk zenye maandishi THIS IS SIMBA...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
I am posting this movie, thinking that it will teach, it has many lessons: mistakes, pride,trust, enemy, etc.,
3 Reactions
30 Replies
4K Views
Manara vs shafii Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Blind fold yourself .. The outside is beautiful but will kill you
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Najua wengi humu ni wadau wakubwa wa Clouds Media Group CMG, Hivyo nimeamua kuanzisha uzi huu uwe mahususi kwa ajili ya wadau waote wa Clouds popote walipo duniani, chochote kile ulichonacho...
1 Reactions
23 Replies
4K Views
Wakuu naombeni msaada wa kupewa links za kudownloads horror movies. nataka nidownload hii. The NUN Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom