Haya wadau tukiwa unakaribia mwaka mpya katika kusogeza wakati hebu tuwatambue waliofanya vema 2018.
Hapa specifically kwa wapenzi wa muziki, kwa mtazamo wako ni wimbo gani unastahili wimbo bora...
Hizi heshima wanazipata kina kanye west na wasanii wakubwa wa marekani na Nigeria, kwetu sisi hii ni mara ya kwanza kwa luninga ya kitaifa ya taifa jingine kuonyesha show nzima (yani mwanzo hadi...
Le band kutoka 254 Kenya wamerelease ngoma yao mpya inayokwenda kwa jina la "Number 1" na kumshirikisha msanii Suzziah. Ni bonge la ngoma lenye kichupa kikali, melody imesimama na ujumbe mzuri...
Huyu ni msanii mkali sana tena akimshirikisha mtu kama Davido au Mond album yake itauzwa kama njugu hana haja tena ya kuwa RC
Eee chikichi chikichi , Eee chikichi chikichi
Sukuma ndani...
NI, NINI KIMETOKEA KWENYE MUZIKI WA BONGO FLEVA?
NA NOEL NGUZO.
Mpaka sasa mjadala mkali unaendelea kuhusu nani hasa aliyeupa jina la "bongo fleva"muziki wa kizazi kipya.Wengine wanamtaja...
Nimewahi Kuhudhuria ' Shows ' za Mashujaa Band na Twanga Pepeta huko nyuma ambako ' interest ' yangu Kubwa ilikuwa ni kuona tu Kwanza jinsi wanavyofanya ' Maandalizi ' yao pale Jukwaani hasa kwa...
Nadhani hili sio neno geni kwa wengi ila nataka nilizingumzie kwa kina. Kwa nini ilianzishwa na ni yapi madhara yake.
Sent from my iPhone using JamiiForums
NI, NINI KIMETOKEA KWENYE MUZIKI WA BONGO FLEVA?
NA NOEL NGUZO.
Mpaka sasa mjadala mkali unaendelea kuhusu nani hasa aliyeupa jina la "bongo fleva"muziki wa kizazi kipya.Wengine wanamtaja...
Kwa wale wapenzi wa nyimbo za kikongo, hasa rhumba mtakuwa mnaujua huu wimbo, kila nikiusikiliza utafikiri umetoka jana, naurudia usiku, mchana, asubuhi n.k Jamaa alitulia sana kwenye hii nyimbo...
Mwanamuziki huyu alivuma sana Afrika Mashariki kwa sisi ambao ni wahenga kidogo, miaka ya mwanzoni mwa 2000.
Alikuwa akitusuuza nyoyo zetu kwa vibao vyake vikali kama "mama Mia" "acha kulia mambo...
BRING BACK OUR GIRLS
SEHEMU YA KWANZA
MTUNZI: PATRICK.CK
Mlango wa ikulu unafunguliwa na rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania anajitokeza mbele ya waandishi wa habari walioitwa kwa...
Mimi ni shabiki mkubwa na mpenz wa kuangalia na kusikiliza movie zilizotafsiriwa na CAPTAIN DERICK MKANDALA RUFUFU tu,
lakini sizipati siku hiz.
Naombeni msaada wenu yyt atakaeweza kunisaidia...
Kwa siku zisizopungua tano Azam TV kupitia channel yake ya sinema zetu imekuwa ikionyesha filamu za legendary Steven Kanumba kama kumbukumbu kwake.binafsi nimefurahi namna walivyompa hiyo heshima...
Wakuu namtafuta mwimbaji na mcheza ngoma za kienyeji maarufu miaka ya 1980 na 1990 aitwaye MWANAMITUMBA. Mara ya mwisho nilisikia yupo kijiji kimoja jina limenitoka huko BUKENE Tabora.
Mwenye...
Nimekuwa mchezaji mkubwa huu mchezo. Huwa nakula na naliwa pia. Kakini ninachokiona ni kwamba yapo majina yana appear sana kana unaweza dhani kuna kanuni fulani ya mzunguko wa mashine wanaufahamu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.