Hivi Mwenyezi Mungu aliwabariki na nini hawa Wanamuziki wote wa iliyokuwa inaunda Kundi zima la Bendi ya Wenge Musica BCBG ( zamani 4X4 ) kiasi kwamba huchoki Kusikiliza Nyimbo zao kutokana na...
Habarini wana JF, natafuta ule wimbo maarufu katika kipindi Hiki cha Christmas na mwakampya (tufurahi na mwakampya) by Hamza Kalala,..happy new year
Sent using Jamii Forums mobile app
Zijue sababu za Kings Music kuachia nyimbo mfululizo
Msanii wa muziki Bongo, Alikiba amefunguka sababu za Kings Music kuachia nyimbo mfululizo.
"Kutoa kwetu nyimbo mfululizo sisi kama Kings...
NDOA YANGU
EPISODE -01
Baada ya kufuta meza ya chakula na kuosha vyombo, nilienda chumbani, sikujisumbua kusema usiku mwema kwa Antony ambae alikuwa sebuleni akiangalia fainali ya ligi ya mpira...
Heri ya siku ya ukimwi duniani wadau, mm leo nmeamka tu ile npo kazn basi nkawa nacheck check channel mpya kwenye kisimbusi changu cha Azam. Mara paap kwese Tv hiyo hapo, kusogeza tena mara Tv10...
Huu ni uzi maalum kwa wanaJF kuweka Nyimbo Wanazohisi ni nzuri Ajabu na Zitaishi Milele. Mtu ukitaka kusikiliza Nyimbo zilizoenda Shule Huu uzi utakuwa unakuhusu sana. Maana Kila mtu ataweka sumu...
Hivi ule mtindo wa kuwa anafumba macho kwa mda kidogo wakati akitangaza ni pozi au ana ulemavu kidogo...manaake naona kama anapata shida kidogo na kuna mda unaweza kusema anasinzia hadi anakutoa...
Njooni tujulishane Film/ Movie/ Video yako ya kwanza kabisa kuanza kuangalia?
Mimi nakumbuka ilikuwa ni Filamu ya Yesu ( Video ya Yesu) ile ya Kiswahili, nakumbuka tulikusanyika kijiji kizima...
Wadau wa burudani kwa maoni yangu hizi ndio nyimbo bora za bongo flavour kwa mwaka 2018.
Weka nawewe ya kwako tuone.
10.TUNAENDANA-B2K.
9.NYEGEZI-RAYVANNY FT DIAMOND P.
8.KIDOGO-ALIKIBA...
Habari wakuu,
Tunapoeleka kufunga mwaka 2018 ningependa kutoa orodha ya nyimbo zilizonibamba kwa mwaka huu wa 2018....
No 1..ZeZe by Kodak black ft.Travis Scott & Offset
No 2-wake up in the sky by...
DISCLAIMER: Tamthiliya hii sio ya kimama kama wengi wanavyoichukulia. Ni historical fact so nikisikia watu wanawabeza wanaume kuitazama nabaki kusikitika tu. Nakumbuka niliisoma hii historia...
TBC wameanzisha channel mpya inaitwa safari Tv. Hili ni wazo jema na zuri sana. Tatizo ukiingia kwenye menu inaonekana kama safari tv ila Tv yenyewe inasoma au inaonekana kama Tanzania safari...
Wakuuu kwema..!!!Kuna huyu Presenter anaitwa lil ommy ana kipindo chake kinaitwa The play list kuna ile sound track ya mziki uwa unalia kwa mbali lile beat la ule mziki ile ni ngoma gani msaada...
Contrary to previous reports, Cardi B has asserted that her latest rendezvous with Offset in Puerto Rico was not the result of any reconciliation, but rather a transactional interaction when she...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.