KOFFI OLOMIDE": Kabla hata Group "QUARTIER LATIN" halijaanzishwa rasmi, nilikua nikifahamika Inchini kote kama "L'ETUDIANT LE PLUS CELEBRE DU ZAIRE" / MWANAFUNZI ALIE MAARUFU SANA INCHINI ZAIRE...
Habari zenu wakuu Mimi nashindwa kuelewa kweli kuhusu soudbrown na diamond platnumz mbona anamuwinda sana mtoto wa watu?
Ndo kutumwa na ruge mutahaba kiasi hiki kweli hakika kuna MTU mwisho wake...
Akiwa kashikilia nyaraka za kibenki mikononi mwake, kwa taratibu Johari alielekea chumba maalum cha maongezi cha benki yao. Chumba ambacho kilitengwa maalum kwa ajili ya kufanya maongezi na wateja...
Wakuu huu wimbo nimeubamba ndani siku mbili hizi. Naona umenikolea vibaya sana mpaka leo kutwa nzima nausikiliza
Do anybody is familiar with this very nice song?
Bila kupoteza Muda nitaeleza mapungufu na maboresho katika wimbo huu.
1.Wimbo huu umetumika kama tangazo pia la kinywaji cha Mofaya ambapo mwanzo alikiba anawasiliana na mpezi wake kumpa miadi ya...
Kwenye hii mnaita bongofleva alikiba ameitendea haki Sana kuna nyimbo Kama hii ya mwana
Alikiba
Mali ni nyingi nyumbani kipi kimekukimbiza
Ona babio mamio wote wanakulilia
Mtoto peke yako...
Samata ni mchezaji mwenye magoli 11 katika ligi ya ubelgiji akiwa anaongoza,amaekua faraja sana kwa watanzania.
siku chache zilizopita alitengeneza makala inayomusuhu maisha yake kiujumla
Habari za week end wakuu.
Jamani kama kuna mwenye audio ya zamani ya nyimbo ya diamond I miss you, ile ambayo verse ya pili ni tofauti na I miss you yenye video..... naomba mnitumie wakuuu.
Asante
Naamini kuna wana TBC huwa wanapita humu!
1, Jumamosi ya kesho (Tarehe 15 december) rasmi mtazindua chanel yenu mpya kwa ajili ya utalii itayoitwa TANZANIA SAFARI, hii ni hatua kubwa na nzuri na...
Mimi binafsi si mpenzi wa muziki wa taarabu lakini nimekuwa nikiufuatilia kwa muda sasa...Kitu kinachonivutia ni lugha ya picha ambayo inavutia sana endapo mtu unapata nafasi ya kuitafakari...
Habari wanajukwaa
Nimekuwa mfatiliaji wa muziki wa hiphop kwa mda mrefu, nyimbo nyingi zimetoka hivi karibuni,ila hii ya young killer imenifanya kuukumbuka mziki mzuri wa hiphop
baadhi ya...
Inasemekana hii imetokana na mafanikio yake kwenye biashara zake mbali na muziki ambapo ameingiza mkwanja mrefu sana kwenye DiamondKaranga,ChibuPafyum,Ubalozi wake kwenye kampuni kubwa kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.