Jana nlipata wasaa wa kuangalia mashindano ya Bongo Star Search (BSS). Nmeangalia perfomance ya wale washindani pamoja na ile band yao, aisee napenda kukiri wale jamaa wa band wanajua vibaya mno...
Habari wakuu
Mimi ni mpenzi sana wa muziki mzuri
na nitafurahi sana endapo kuna mtu anazo nyimbo zile original za choir ya vijana mabibo ile ulbum ya sauti ikatoka
Nimejaribu kuingia youtube...
Kwa sasa tamthilia inayoshikilia headlines kibongo bongo ni sultan..ukiingia instagram ndio habari ya mujini,ni tamthilia inayozungumzia historia ya kweli ya empire ya ottaman ambayo inasemekana...
Plz mwenye ujuz wa kudownlod drama za kiphilipino episode zote zkiwa kweny mfumo wa English language naomba anisaidie coz hata kwenye app ya startimes zpo nyng bt cwez kuzdownload
MODS naomba msiunganishe hii thread tafadhali
Soma lyrics halafu tafakari mwenyewe watu wazima na akili zao wakiimba na kucheza na kujirekodi na kutupia mtandaoni nyimbo iliyojaa matusi eti kisa...
KITANDA CHA KUWADI
LUCY aligonga mlango, na kabla hajajibiwa, akaingia moja kwa moja hadi ndani. Alipokwisha kuingia, ndipo macho yake yalipiga kwenye sofa. Akamwona Teddy akiendelea kusoma...
......For me, Hawa Ndo Majemedari WA Music Tz All Time.
Kila nikiangalia New songs za Mbunge wa Mikumi, navurugwa Sana, na naenda Mbali Sana mpaka Hard Blastars enzi Hizo Za Fanani.
Na Kuhusu...
Habari zenu viongozi.
Jamani mi nimefika jana dar je, nianzie wapi kutafuta ajira. Nina elimu ya darasa la saba na sina hata hiko cheti cha kumaliza shule. Msaada wenu tafadhali. Kwa anayeweza...
Shirikisho la Soka Afrika (CAF) limeamua kuwa, fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2019 zilizopangwa kufanyika #Cameroon, hazitofanyika tena nchini humo kutokana na sababu za kiusalama...
Hakuna anayebisha hii ndio ngoma Kali ya kufungia mwaka. Huu wimbo kiukweli ni mkali kutokana na jinsi walivyotambaa na beat, baada ya Harmonize kuingiza verse ya kwanza kisha Rayvanny kuingiza...
Habari zenu wananchi,
Kama kichwa kinavyosema ninahitaji msaada wenu katika kutengeneza orodha hiyo.
Nitakuwa ninaweka majina yote ambayo mtakuwa mkiiyapost hapa ili kujua kama unayetaka kumpost...
SIMULIZI;MAPENZI YA KICHAWI.
MTUNZI;RAJA SAIDY.
WHATSAPP;0756920739.
SMS;0621047841.
SEHEMU YA KWANZA ( 1 )
Mwezi wa pili huu bado sijapata suluhisho la jambo ili,yaweza kuwa ndio hukumu ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.