. Hivi ndio jinsi ilivyoanguka ndege iliyokuwa imembeba mmiliki wa club mabingwa 2016/2017 (Leicester city) ndani ya helicopter hiyo pia kulikuwa na jumla ya watu 5
[emoji120][emoji120][emoji120]
Kutokana na bwana MICHUZI tunaambiwa kuwa hawa ndio ma supastar wa BONGO
mimi kwa kweli i am still shocked na najua hii itakuwa controvesho lakini who cares
kwa sababu za UJINGA WAKE bwana...
Mtunzi Nyemo Chilongani SEHEMU YA 01
Sijui nianze kusema nini ili nieleweke, sijui kama ninatakiwa kucheka au kulia kwani kwa kile kilichotokea, ningependa Mungu anisemehe tu.
Kwa jina ninaitwa...
Habari wanajamvi. Nisiwe msemaji Sana niende moja kwa moja kwenye Mada. Naomba tushirikishane kutaja kolabo za wasanii wa muziki unaodhani mbele wakishirikiana kutoa kazi itashika Sana soko la...
Anayefahamu wimbo wenye maneno (nyie wote wake zangu mapenzi yangu kwenu ni sawa tupendane ndio heshima ya ndoa) naomba anijulishe band iliyoimba na jina la wimbo wenyewe maana naupenda na...
Kwa mlioiona. Nipo namaliziamalizia season 2. iko poa sana hii series. Huyu Teresita ananikosha sana. nili somaga kitabu El Narco basi nikatokea kupenda stori za hawa madrug dealers, nikacheki...
Wakuu nazani pesa zetu za vifurushi zinaenda tu especially cc wa azam maana tunalipia vifurushi lkn channel nyingi zimezuiliwa hadi sasa kwani tatzo ni nn na lini mwisho wake
Nianze kwa kusema wewe ni DJ unae heshimika sana.hapa jijiji DSM na.Tz kwa ujumla but kwa hili.nalizimika.kukumbusha ili usiendelee kujisahau.
Ni hivi kila.Siku ya Jumamos Dj Masoud Masoud huwa...
Kuna Tangazo linapiga sana wiki hii, Clauds fm, likitangaza Tamasha la Fiesta Musoma na Mwanza
Manzoni wakati nasikiliza hili tangazo la Tigo Fiesta 2018 Musoma na mwanza, niliposikia mtangazaji...
Mambo zenu JF...
Mwenye ako na series au movies za 2017 au 2018 please naomba....na animations pia[emoji7]....
Napenda za horror....mystery...sci-fi...thriller and the like....
Yaani kila sehemu tu unapigwa na nimetoka muda si mrefu Kujisaidia Haja Kubwa katika Choo cha Umma DJ kauweka tena. Sasa sijui baada labda ya Kuona nimeingia Chooni akaamua kuuweka kwa makusudi...
Habariii
Moja ya burudani yangu kubwa ni ubunifu wa watu hasa wachoraji.
Pamoja na kwamba kila mchoraji anaweza kufikisha ujumbe wake kwa namna tofauti lakini ndani yake mimi napata burudani sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.