Habari wote?
Lengo la uzi huu ni kuomba ushauri wa njia zipi zinaweza kutusaidia kufanikiwa katika muziki wa kizazi kipya.
Katika ushauri ningependa wadau muanzie katika ngazi ya baada ya kuandaa...
Naam,
Ni ile Bahati nasibu pekee na ya aina yake inayokuwezesha Mtanzania kuhamia MAREKANI,
Bila zengwe wala longolongo.
Itambulike,
Hii ni Bahati nasibu,
Inavyo vigezo na masharti maalumi vya...
Habari zenu wakuu,natumai weekend ilikuwa poa sana kwa upande wenu,kwangu ilikuwa ya kipekee msiniulize kwanini.
Wangapi wanafatilia bongo starsearch muda huu,tutete mawili matatu kwa ujio mpya...
Wanabodi habari zenu
Ninayo furaha tena kurudi duniani toka gizani kwa siku 14. Nakumbuka ilikuwa siku ya ijumaa ya tarehe 6/10/2017 majira ya saa sita mchana nilipo kuwa mahakamani kusikiliza...
Nimekusogezea hapa Wimbo Mpya wa Kwake MWL. KAMUSI Akiwa Kashilikiana na Darassa pamoja na MB DOG Wimbo Unaitwa SIO SAWA
BONYEZA HAPA KUSIKILIZA NEW AUDIO | MWL. KAMUSI Ft. DARASSA & MB DOG –...
Mimi nahis, tukitaka maendeleo ya nchi kutoka nchin mwetu bila kutegemea misaada ya nje, inatubidi tupange mikakati iliyo bora, watoto wadogo huwa na vipaji vikubwa lakin mfumo wa elimu uliopo...
JE, UNATAKA KUPATA NAKALA YA JOHN WISSE (BROKEN CAMPUS RULE) BURE KABISA?
Niambie nikuletee weekend hii, utanilipa nauli tu basi.
Kwa wakazi wa Dar es salaam pekee!!! Nakala zipo 10 tu!
Wadau, wapenda burudani wenzangu, Naomba mwenye wiimbo wa PASHA Nisoo REMIX, ule ambao una sauti ya mdada katika kiitikio, aniwekee hapa
Nitashukuru sana.
Mods naomba Uzi wangu muuache kama...
Wadau,
Naomba nichue fursa hili kumshauri ndugu ya MO dewji kuwa nasi katika kupaza sauti.
Serikali hili sio rafiki kwa kila mmoja lakini ni jambo njema kuwa na sisi katika matukio kama haya...
Kwa wale wataalam wa Danc Hall hii kitu ni Club benga moja hatari sana,unabambia hadi asubuhi,Mond is very flexible anafeat popote pale hata kwenye mdumange
Kuna huu wimbo unaitwa KITABU aliimba DARASA na kumshirikisha Diamond Platnumz.
Mimi mara ya kwanza kuusikiliza ilikuwa mwaka 2011 au 2012 kama sikosei. Sasa juzi nipitia vitu vyangu vya zamani...
Nina Amini music unanguvu kubwa zaidi ya risasi.
Asiweke Lugha matusi, Kuna MTU anahitaji BREAK za kutosha ikibidi vingingi.
Katika maisha Tunahitaji faraja na matumaini toka kwa BABA, Sio kauli...
Henry Pope
Henry Pope ni jina la kutaja uhusika wa katika kipindi cha televisheni cha Kimarekani, maarufu kama Prison Break. Uhusika huu ulichezwa na Stacy Keach. Katika mfululizo huu, alicheza...
SAMSUNG S6 EDGE PLUS ......
Ram 4GB
Internal Memory 32GB
Displacy Inch 5.7
Used for 4weeks
Its Gold
4G support
Haina tatizo lolote
Ni mpya kabisaaaaaa
600,000tsh TUNAONGEA
Habari,, Dancers wanawake wanatafutwa mkoa wa mbeya
Vigezo;
1) Awe umri wa miaka 23_26
2) asiwe mnene
3) awe anaweza kutwerk na kudance
Kama unahitaji nifate PM
N.b hela ni nzuri [emoji184]
MTUNZI: George Iron
SEHEMU YA KWANZA
Safari nzima hakutaka kuzungumza na mtu yeyote hivyo alikuwa amepachika �earphone� masikioni mwake ili hata asiweze kusikiliza watu walikuwa...
Unaweza kusema hii ni moja ya faida ya utandawazi ambapo lugha, tamaduni hadi nyimbo za nchi moja huweza kuwafikia wengi katika mataifa mengine yenye tamaduni tofauti. Hali hii husababisha hata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.