Habari Wana JF
Nilkuwa naomba kujua na kufahamu mtu yoyote amabe anajua process za kuweza kuahamia chuo cha serikali kutok chuo cha private
Je inakuaje na nini uwe navyo hadi kuamia cha serikali...
Naam,
Televisheni ya Taifa imemaliza kuuonyesha mchezo ama tamthilia ya "The Long wait". Ama kweli tamthilia hii imetugusa tulio wengi.
Yani imekaa vema sana. Binafsi niliipenda namna ilivyokuwa...
JULIANA-01....Gideon alitulia kwenye kochi lililokuwa sebuleni kwake katika jumba lake la kifahari lililokuwa Masaki jijini Dar es Salaam. Alikuwa akimwangalia mke wake, Juliana Marcel jinsi...
Chez Ntemba maarufu kwenye nyimbo za lingala hasa nyimbo za Defao na Koff, mjasiria mali wa mda mrefu wa vinywaji na baadae club za mziki.
Amezaliwa Lubumbashi na ndiko aliko anza na club kubwa...
SEHEMU YA 01...- NYEMO CHILONGANI
“Sijui atazaliwa mtoto gani.”
“Labda wa kiume.”
“Mmmh! Mimi napenda awe mtoto wa kike ili na sisi tujivunie kwa mara nyingine.”
“Ila yeye mwenyewe si alitaka wa...
Wana jf hilo ni jina la tamthilia ambayo naitafuta,kwa yyt mwenye ufaham nayo na anajua inapopatikana anijuze.tamthilia hiyo ilikuwa ikioneshwa TBC 1 Miaka ya 2008_2009. Na ilikuwa imetafsiriwa...
SIMULIZI: DUNIA DUARA.
KUTOKA KWA JOTO LA MOTO.
SEHEMU YA KWANZA.
KIJENGE JUU ARUSHA-MSURURU WA VYUMBA VYA KUPANGA-NJE-ASUBUHI.
Rose, Mwanadada mrembo wa miaka 20, yupo nje ya nyumba anapiga...
Audio Mpya ya Kwake RAYVANNY Akiwa Ameshirikiana na DIAMOND PLATNUMZ , Wimbo Unaitwa "MWANZA"
DOWNLOAD HAPA Rayvanny Ft Diamond Platnumz - Mwanza
KUWA KARIBU NASI NA KUHAKIKISHWA HUPITWI NA...
1. Lady Gaga & Bradley Cooper- Shallow
2. Calvin Harris ft Sam Smith- Promises
3. Marshmello ft Bastille- Happier
4. Rita Ora- Let you love me
5. Little Mix ft Nicki Minaj- Woman like me
6. Dua...
Only Club Legend unapata entertainment to the maximum. Serious music with serious Djs from oldies to new skool.
Nipo na enjoy kinoma hapa. Karibuni sana ukutane na Dj JD and Dj Richie Dillion...
Wakuu mtakumbuka yule muimbaji wa Uganda wa Radio and Weasel alifariki baada ya kushambuliwa na baunsa. Sasa naona mbadala wake umepatikana ambao ni chemistry moja hatari mno maana huu wimbo wao...
01
“Jamani leo natangaza rasmi….” alisikika jamaa mmoja akiwaambia wenzake.
“Tangaza…” wenzake walisema huku wakicheka.
“Kuanzia leo kwa hapa chuo, hakuna demu mkali kama yule Msukuma…” alisema...
Sikuhizi nimekuwa mpenzi sana wa "seasons" za vichekesho
Zinaniondolea sana Stress. Kuna za karibuni za zingine za zamani. Naomba tujuzane zile nzurinzuri ili tuendelee kutoa stress.
1.Orange is...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.