(verse 1:)
Chakwake chakwako,chakwako cha kwake
Pamoja wakati wote kama kidole na pete
Sio lazima awe ndugu hata mtu wa mbali
Ukiumia anaskia uchungu anajali kwa kila hali...
Christopher George Latore Wallace (anajulikana kama Biggie Smalls, jina la jambazi la kwenye filamu ya mwaka wa 1975 ya Let's Do It Again, "The Black Frank White", jina la mwuza madawa ya kulevya...
Jua ni moto
Tena ni mwangaza ya dunia
Jua, maji, mwezi, nyota, upepo na udongo
Ni uzima wa binadamu
Nadina yooo
Nadina yoyo
Nadina yooo
Nadina yoyo
Tuombe mungu baba yoyo
Atuhurumie...
Wanajukwaa leo ndio sikukuu ya Wapenda burudani wote ambapo wasanii mbalimbali wakiwemo manguli kadhaa kutoka Africa..
Kuna Jose Chameleon kutoka Uganda,Teknomiles na Yemi Alade kutoka...
Fiesta fursa kuanzia sokoni leo inafikia tamati katika viwanja vya CCM mjini Mtwara baada ya matamasha hayo kufanyika katika mikoa yote ya Tanzania bara kasoro Dsm. Msemaji wa wadhamini wenza wa...
Yawezekana Clouds Media Group yashinda hii vita baada ya taarifa kuwepo kuwa Tigo Fiesta Dar es salaam inaenda mpaka Asubuhi licha ya RC wa DSM kusema kuwa iishe saa 7 usiku ambayo iko ndani ya...
Kwanza naomba mods msiuunganishe huu uzi na uzi mwingine wowote.
Maana kwa kufanya hivyo, ntashindwa kuzipata hizi nyimbo.
Kuna kwaya fulani inaitwa Nioth Prophetical Singers, hawa wana Albam...
Waandaaji wa tamasha la kila mwaka la Fiesta, Clouds Media Group wamelazimika kuwarudisha wasanii wote waliotolewa kwenye 'list' ya watakaotumbuiza baada ya muda kuonekana kuwa kikwazo...
Wadau mnaojua haka kamchezo kanaendaje mtueleze baada hivi karibuni kumekuwepo kwa lawama nyingi sana kwa radio moja eti inanyonya ilikuwa inanyonya ni kweli kwamba kwingine kupo sawa au ni...
Wimbo huo hapo juu ulioimbwa na kundi maarufu LA Abba kama sikosei ndio wimbo mzuri kuliko yote niliyowahi kuisikia duniani kama Kuna mwenye mashairi yake na maudhui auchambue kidogo roho yangu...
Hivi ni lini mtawafanya wateja wenu waelewe kuwa kuna juhudi mnafanya kurudisha local chanels kwenye kisimbuzi chenu?
Au mmeona hakuna namna namna mnaweza kurudi tena tuambieni wateja wenu...
Wakuu,
Mimi ni mdokezaji tu, ni kama mjumbe wa nyumba 10.
Ni hivi, Wasafi Festival inakuja kuifuta kwenye Ramani FIESTA, Fiesta ambayo imelea wengi, imeibua wengi tangu mwaka 2000 wakati...
Waungwana mko salama? Aisee siamini nilichoshuhudia yani ni media yetu hii hii au kuna lengine limewakumba?
CLOUDS FM imefikia hatua inatembea na magari mabarabarani kutangaza Fiesta?? Kweli...
TUKIWA TUNAKARIBIA KUFUNGA MWAKA NIMEONA KUSHARE NANYIE WANA JAMVI KUHUSU ALBUM BORA ZA MWAKA HUU UPANDE WA HIP HOP NA R&B
KWA UPANDE WANGU ALBUM NAZOSIKILIZA NZURI MDA WOTE
BEERBOBGS&BENTLEY...
Kitabu hiki kinaanza katika nchi ya Guinea ya Kihispania(Spanish Guinea) ambayo ni nchi ya Guinea ya sasa raia wawili wa Kifaransa wakiwa katika likizo nchini humo, ambapo walifanikiwa kumpata...
Habarini Wakuu!
Eneo lote lilikuwa kimya. Ukimya ule hata ni panya angekuwa akitembea basi sauti yake ingesikika. Giza totoro lilikuwa limetawala. Ukungu mwepesi ulikuwa ukikimbia kwa mwendo wa...
Tupac Shakur
Tupac Amaru Shakur (16 Juni 1971 - 13 Septemba 1996) alikuwa mwigizaji, mwanaharakati wa haki za binadamu, na pia mwanamuziki maarufu wa muziki wa hip hop kutoka nchini Marekani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.