Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...
Naona watu wamekuja na style ya kuanguka na kunyanyuka na umetrend sana. Huu wimbo unaitwaje?
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari wadau, naomba msaada kwa anaejua link nitakayoweza kudownload season OG ya Alladin maana za kutafsiriwa zina kero zake. Natanguliza shukrani.
1 Reactions
0 Replies
4K Views
Battling is the basis for all rap music. The battle is the truest essence of rap and where rap music started. The object of a rap battle is to come up with insulting rap lyrics on the spot (not...
2 Reactions
398 Replies
39K Views
Kuna baadhi ya watu wanapata shida wanapokutana na baadh movies au series ambazo zimetumia lugha ambazo hawako familiar nazo mf. french spanish kihind and things of the kind lkn pia kuna baadh ya...
2 Reactions
17 Replies
4K Views
The weekend ft Kendrick Lamar "Pray for me" Ni nyimbo ambayo inafikirisha sana, kwa mtazamo wangu... I'm always ready for a war again Go down that road again It's all the same I'm always ready...
2 Reactions
2 Replies
579 Views
Anti-blackness in Brazil's media How is Brazil's diversity represented in the media? Clue: it's not. Programme about race representation and the media in Brazil Source Why is Brazilian...
0 Reactions
0 Replies
409 Views
[Intro] Lala salama Matatizo, chuki, lawama [Chorus] Ukilala lala salama, kumbatia picha yangu Na kama ukinikumbuka sana nipigie simu yangu Uki-ukilala lala salama, kumbatia picha yangu Matatizo...
0 Reactions
7 Replies
5K Views
WanaJF wenzangu naomba kwa wale ambao hamjawahi kuitazama filamu hii kwa jina la “THE ANIMAL FARM, toleo la mwaka 1999. Tumia mda wako kidogo weekend hii kuitazama then, kwa wale wachambuzi wa...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Naomba mnielekeze sehemu ya kudawnload kolean movie zilizotafsiliwa kwa kiswahili
0 Reactions
1 Replies
3K Views
James Bond: Movie Series Zenye Ubunifu wa Hali ya Juu, Ipi Ilikuwa Kali Zaidi Kwako? Huu ni mkusanyiko wa movie series zilioanza kuigizwa zamani sana tangu mwaka 1962, kila movie ina jina lake...
5 Reactions
48 Replies
6K Views
Jambo ambalo wameligundua wasanii hivi karibuni ni kwamba kuimba nyimbo ambayo maudhui yake yanaleta ukakasi na kupelekea kuifungia basi hoyo ni kiki tosha sana ambayo itapelekea watu kuifatilia...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Utamu wa ushindi Na Ahmed Rajab KUNA vitu vitamu. Na kuna mambo matamu. Kila utamu una ladha yake na kila ladha ina utamu wake. Ladha ndio huo utamu na huo utamu ndio ladha yenyewe. Na huwa...
0 Reactions
3 Replies
927 Views
Eti wadau hivi Dj khaled anafanyaje shows zake maana nikicheki nyimbo zake nyingi sana anawaachia wanaimba wengine tu ye haimbi chochote sasa shows inakuaje?
0 Reactions
2 Replies
735 Views
Katika ukurasa wa msanii diamond platinumz nimeona kaandika kwamba msanii wa hip hop Nikki Mbishi atakuwepo kwenye wasafi festival 2018...... Nikupongeze sana mdogo wangu kwa kukumbuka...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Wakuu , labda sijaelewa mi naona kuna double standards katika kufungia nyimbo zenye utata wa kimaudhui ya kimaadili.Naona hawa jamaa wa BASATA kwenye hili la nyimbo ya Nyegezi ya Rayvanny(mimi...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wasafi fm ni radio station inayokuja kwa kasi sana apa nchini kwa burudani.. Wanapga nyimbo konki sana alafu wanajua kupangilia na wanaenda na ratiba leo j,pili zinapigwa gospal za hatari apa...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari zenu jamani? Naitwa Chuse , me ni msanii chipukizi ambae nafanya mziki wa hip hop. Nahtaj msaada wenu ili kufikia malengo ndg zangu! Video yangu ipo YOUTUBE tayari naomba ridhaa yenu ili...
1 Reactions
2 Replies
731 Views
Back
Top Bottom