Haya sasa kuna wale wapenzi wa moves mbalimbali lakini wamekuwa wakipata utata kupata movie hizo sasa hapa unaweza kuomba na ku download movie yoyote unayohitaji kwa mtu kukupatia link ya movie ilipo
Sina lengo la kuharibu biashara yako au kukuanika lengo langu ni kukupa pongezi kwa ujasiria mali unaoufanya .
Hakika unauza saana CD za zilizozitafsiri kwa Lugha ya kiswahili na sasa unaonekana...
Muda wa kusubiri ujio wa album ya mnyama, lil wayne 'The carter V' umefikia ukomo..
Je ataweza kututeka tena mashabiki kama enzi zake alivyokua hot? Swali hili litapata jibu 21st September 2018...
Miaka ile kama hujapata sh 20 ya kuingia banda la video basi siku yako haijatimia..! Sie wengine tuliokuwa hatuna pesa hivyo tulikuwa tunaresolve kuchungulia kwenye madirisha or vitundu...
Nautafuta sana ule wimbo wa Soundtrack katika kipindi cha Mwanadada Loveness Love DIVA wa Clouds Fm unaitwaje?
Mwenye nao anitumie au aniTagg jina la wimbo niuDownload.
Hellow bosess.
Kwa wale wapenzi wa raggae tukutana hapa tushirikishane 'Best rock raggae'
LETS START
Lucky dube -
..reggae in the bathroom
Reggae in the bedroom
Reggae everywhere
Reggae in jail...
Habari zenu wana fb. TANGAZO KWA WAKAZI WA DAR ES SALAAM, JANA NILIDONDOSHA WALET NDANI INA DRIVING LICENCE MBILI (2), KITAMBULISHO CHA TAIFA PAMOJA NA KITAMBULISHO CHANGU CHA KAZI (TECHNICIAN)...
Mojawapo ya kazi zangu, zinazotarajiwa kutiririka hapa jukwaani hadi kufikia mwisho wake, kwa siku zitatoka sehemu mbili hadi inafikia tamati humu ndani. Karibuni
Uzi huu nitakuwa nakuwekea hadithi mbali mbali zinazopatikana katika kitabu cha Hadithi za Esopo hivyo kama ni mpenz wa hadithi itakuwa vyema kama ukiusubscribe mapema ili usipitwe na hadithi ata...
DJ Maphorisa & Porryland – Gqom Wave II. Blaqboy Music chief, DJ Maphorisa has released a follow up to his highly successful and well received Gqom Wave album. The new one is titled Gqom Wave II...
Wanandugu naomba mnisaidie. Wapi naweza kudowload hizi nyimbo za miaka ya 90, moja inaimbwa "Shambani,shambani,shambani shambanii mazao bora shambaaani. Tushike jembe shambaaani,wananchi...
Jamani kuna huu wimbo wa malaika, uliotungwa enzi hizo, malaika nakupenda malaika, wakenya eti wanadai ni wa kwao , wakati miriam makeba aliaknowledge kuwa wimbo huo ni wa tanzania, Inasemekana...
Mae Levibe. South African Hip Hop Artist, Mae returns with a new song titled Levibefollowing up the release of his previous single “Bulldozer” which dropped weeks back.
Levibe is the latest from...
Labda nianze tu kwa pongezi nyingi kwa uyu kijana hakika amekuja kuleta mapinduzi makubwa kwenye sekta ya burudani hususani muziki,ni kwamba uyu jamaa juzkati alifungua television yake na sasa pia...
Nimekuwa nikifuatilia huu mdahalo wa mange kimambi na dudubaya lakini nilichokiona ni kwamba mange kaishiwa points Mr konk anapangua Kama Ana bullet proof yaan hyu binti Leo kapata mpinzani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.