Habar wana jamvi
Kwanza niende moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu.Nchi hii naona ina promote ushoga kupitia tamthiliya zake kama THE PROMISE,kuna jamaa anaitwa Takong linavaa nguo za...
Maiko Zulu is a Zambian musician, human rights activist and a recognized International labour organisation child ambassador to Zambia. His work both in the music industry and human rights arena is...
Wakuu, hawa vijana ni hazina ya Taifa, hivi mshawahi kuwasilikiliza na michano yao ya hatari? Mimi binafsi nawafananisha na MaMc walipita kama Kwanza Unit (Kwanzania), Imam Abas, Traveller mtoto...
Salam wakuu,
Katika mziki unaonipa comfort na peace of mind ni mziki aina ya riddim au sweet reggae. Ngoma kama comfort zone ya busy signal, wakali wakina morgan heritage, tittus riley, etc hua...
SIMULIZI HII IMEKAMILIKA
IMEANDIKWA NA : NYEMO CHILONGANI
CHANZO : BURE SERIES
SEHEMU YA KWANZA
Msichana mrembo mwenye asili ya Kihindi, Nahra Patel alikuwa akilia huku akikimbia kwa kasi...
kuna muvi zifuatazo nataman kuzipata hapa mwanza mtu anaefahamu maduka yanayouza muvi hizi hapo mjini anielekeze tafadhal... (1)jigsaw (2)final destination...
Huyu mama Mbilia Bell staili yake ya uimbaji, sauti, mwonekano wake (sura na shepu), huwa ananiacha hoi kweli.
Hasa vibao vyake vya Boyaye, Nadina, Nakeyi Nairobi na Ekoswai wapi huwa navihusudu...
Habari wakuu[emoji113]
Naomba mwenye nyimbo za David Dengo ziitwazo
umejawa na rehema na Who is greater than jehova Anitumie
Pia naomba nyimbo ya kinondoni revival choir iitwayo Maombi ya Yabesi...
Assalam alaykum watanzania wenzangu
Nimekuwa mfuatiliaji wa muziki. Kwangu muziki una thamani yake ya kipekee. Kwani naelewa wazi kuwa una nguvu kubwa sana katika kufikisha ujumbe. Ikiwa una...
enzi hizo ule wimbo wa Mb-dog "LATIFA" ukichezwa radion, mwenzenu nilikuwa napelekwa dunia nyingine kihisia, nakumbuka pia ule wimbo wa Prof. Jay "ZALI LA MENTALI" ulinibamba pia. Zipo nyimbo...
Niliusikia wimbo huu zamani ila leo nimeusikia tena, aisee humo ndani jamaa analikun'guta gitaa hatari sijui ni Diblo au Dally ila kuna sehemu kibwagizo kinaimba "tengalala tengalala..."...
Wazima wote humu?
Karibuni mjipatie vitabu vya joram kiango vilivyoandikwa na marehemu ben r. Mtobwa. Mpaka sasa aina nne ya vitabu vya joram kiango vinapatikana kati ya kumi na moja. Vitabu...
Baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu Kwa mara nyingine tena yule mwanadada mwenye sauti nyororo na ya kuvutia ameachia Jisong lake jipya linaloenda kwa jina la Haachi.
Kwa harakaharaka tu toka...
Baada ya watu kusema nyimbo za diamond anazoproduce laizer zinakua na ubora mdogo kulingana na level yake naona kaamua kubadirisha producer kwenye African beauty ft omarion!!
Diamond sasa hao...
jaman ebu nisaidieni yani nipo kwenye familia toka nimeolewa cjawah chepuka walai nife kesho....lakini huyo mwenzangu anawivu mpaka naumwa nakonda yan nikiwa kazini anataka kila baada ya saa...
Kwa wapenzi wa simulizi jiandaeni kupokea ujio mpya wa riwaya ya KOMBORA KIOTANI
Kuyajua maisha ya rais bi Kilua mpenda kuchepuka anavyoweweseka akiwa madarakani itaanza rasmi jumatatu.Safiri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.