Habari wanajamvi. Kuna wimbo huu nimeufanya Home Studio. Nipo mbele yenu kuomba ushauri wenu kama naweza kuimba au siwezi nirudi kijijini nikalime.
Kama utatokea kupenda nilichofanya usisahau...
My LIFE MY HISTORY SHORT FILM STORY.
1. 1992-1995 Kwa kipindi hiki nilipendwa sana na Mzazi wangu kila nilipokuwa nikilia alinibembeleza na kuninyamazisha na kunipa vitu vizurii na vya kuvutia...
Habari za asubuhi,wakuu wiki iliyopita jumanne huku porini nikiwa nachimbua visiki kwa ajili ya maandalizi ya kuchoma mkaa kwa bahati mbaya sururu iliteleza na kukita kwa juu kidogo ya vidole vya...
Jaman waimbaji wote wa taarab wa kiume pamoja na wapenzi na mashabiki wao wa muziki huo, naombeni saaaaaana mnisamehe kwa hili.
Zamani nilikuwa najua kwamba wanaume wote wanoimba aina hiyo ya ni...
Habari wanajf?
Mm ni mfanyabiashara ninajihusisha pia na biashara za burudani na mambo yanayohusiana, Ninahitaji mpiga picha wa kisasa na mwenye taaluma ya graphics design kdg ili afanye Kazi...
Roger Moore amefariki baada ya kuugua saratani
Katika taarifa ya familia yake marehemu iliochapishwa katika mtandao wake wa Twitter, walisema ''ni vigumu kutangaza kifo cha baba yetu Roger Moore...
Wanajf habari za wakati huu,
Filamu za kitanzania 'bongo movie' zimepoteza mvuto kwa asilimia kubwa sana
Kabla ya kutatua tatizo ni vema kujua chanzo cha tatizo. Ni muhimu kujua tuliteleza Wapi...
Nimeucopy huu wimbo sababu nilipoteza ndugu watano siku moja na ikawa chanzo cha wazazi wangu kuugua mpaka vifo vyao. Inahitaji misuri ya imani. Nimekumbuka sana leo siku kama hii.
Kwa kipindi kirefu nimekua nikifuatilia sanaa ya uchekeshaji, nimeamua kuwaletea Wachekeshaji bora wanaofaa kuigwa.
1 King Majuto
2 Senga
3 Joti
4 Ringo
hawa ni Wachekeshaji wa jukwaani, Nani unamkubali zaidi
Kwa upande wangu Dogo Pepe alimpiku Mc Pilipili siku ya mkesha wa mwaka mpya "new year's eve comedy gala"
Habari za kutwa
Kwanza Kabisa Mimi binafsi ni mpenzi mkubwa wa hizi mambo. Leo napenda nikushirikishe Season tamu ya kikorea iitwayo INNOCENT DEFENDANT, mazingira yake ni mjini...
Habari wanajamvi, Leo nimependa kuwaletea uzi huu unaohusu Media zenye ushindani kwa sasa hapa nchini.
Binafsi natabiri anguko la mmoja wao kati ya clouds na tve. Kama ilivotokea kwa clouds...
Ndugu wanajamvi naomba kuuliza Hyu mc wa kijenge juu anaitwa JCB ambaye ashawahi toa single Kali kama ukisikia paa,ishakua mbaya, yuko wapi mbona hasikiki kabisa kama swahiba wake Chindo...
Kulingana na historia ya mechi ya chelsea na barcelona inakua ngumu kutabiri moja kwa moja nani anapita kati ya hizo timu mbili...
Barcelona amekua na msimu mzuri sana na hii inatokana na Magician...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.