Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

JF Prefixes:

Habari zenu wapendwa katika mimi! Kuna wakati fulani unaweza ukaskiliza wimbo mmoja hata wiki nzima. Hii huwa inatokana na aina ya wimbo, pia huo wimbo umeutafuta kwa muda gani. Myself nina...
15 Reactions
375 Replies
37K Views
Nimeona nizungumze hili kwa vile kwa kweli katika walio ktk game ya stand up comedy. Kuna watu wanajaribu sana kumkuza Mc pilipili ambaye mimi namwona ni mmoja ya watu wasiojua kuchekesha hapa...
14 Reactions
68 Replies
7K Views
Kuna hizi ngoma za harmonize ambazo hazitokuja kuzidiwa na ngoma yeyote atakayoitoa Kwa upande wangu ni mpaka kesho,nishapona,Utanikumbuka,wote,sijui, Mtaje
2 Reactions
33 Replies
1K Views
Mmmh, Haleluya Huwaapia moyo Nitakulinda Maana najua kwamba kuna chemichemi Nitakujengea boma uwe salama Adui akija asikuweze Usiruhusu maneno yakuvuruge Usiruhusu hasira ikae kwako Namuweka...
0 Reactions
3 Replies
313 Views
kaeni mkao wa kula story nyingine toka kwa mtunzi yule yule aliyetunga peniela now kaja na kitu kiitwacho queen monica. kutana na kijana AUSTIN JANUARY mtanashati na jasusi hatari anafanya mambo...
52 Reactions
4K Replies
1M Views
Teddy alimuibia Franklin pesa zote kwenye account Dola milioni 73 bila kuacha senti Franklin aliweza kumkamata na kumtesa mpaka akakubali kumlipa nusu ya pesa aliyoiba dola milioni 37 bad luck...
1 Reactions
10 Replies
343 Views
Kamuacha Chawa aendeleze vichekesho peke yake.
7 Reactions
18 Replies
2K Views
Kwenye movie za Marvel nimeona Villains wa bad wengi sana kama vile Loki , Dr Doom Kang the conqueror na wengine kibao. Ila hawa wote wachumba tu kwa Thanos, mwamba aliwapa shughuli pevu...
1 Reactions
1 Replies
190 Views
I believe mtu anayekufa anajua dhahiri juu ya kifo chake, Hivyo kuna uwezekano mkubwa wa kusema kitu fulani kabla ya kifo kumpata. Undoubtedly true we've seen that several times. Majira ya saa...
3 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari, wanajamvi/wapwa. Leo Nimekuja na mada Kama inavojieleza, Mie Ni mmoja wa wanaopenda kujisomea vitabu na movie pia. Ila KWA Sasa naomba tujuzane VITABU /NOVELS Kali Kali na zenye...
1 Reactions
14 Replies
1K Views
Habari ndugu zanguni. Naomba kwa anayejua process yakuanzisha festival Tanzania. Nilazima niwe Na kampuni au nikupata vibali vya halmashaur tu Ya sehemu husika unapotaka kuweka Tamasha? Naomba...
0 Reactions
0 Replies
149 Views
Filamu za bongo movie zimekosa mvuto kabisa hii ni kutokana na kutawaliwa na watu wanaoona kipaji ndo kila kitu. In fact kipaji bila maarifa ni kazi bure, Huwezi kuwa na idea za kuteka maskio na...
1 Reactions
0 Replies
237 Views
Heshima kwenu wadau wa jukwaa hili, Najitokeza kuulizia wimbo wa zamani kidogo jina lake limenitoka ila nakumbuka baadhi ya mistari yake ilikuwa 'samahani mama usiitoe mimba yangu naomba uinusuru...
0 Reactions
5 Replies
5K Views
MY BOSS MY LOVE [emoji3589] NO:01 MTUNZI....... RITHA STORIES WHATSAPP.........0763836152 Kwa majina natwa Lilian Adrian jina la tatu mliache nitawatajia siku nyingine Mimi ni Binti wa miaka...
2 Reactions
18 Replies
12K Views
Nimechek series nyingi sana za mablack America ila mpaka sasa sijakutana na series kali kama hii kuanzia stori mpaka wahusika wake ni balaa. Itafute kama hujaichek
7 Reactions
35 Replies
2K Views
Ambwene Mwasongwe anafanya kazi nzuri za nyimbo za gospel. Uimbaji wake unakonga moyo wangu natumahi pia kundi kubwa la watu kama mimi huvutiwi na uimbaji wake. Ombi langu Ni nyimbo gani za...
4 Reactions
34 Replies
916 Views
Hii ni list ya movies ambazo watu wenye uelewa fulani ndio wanavutiwa nazo zaidi 1. SHERLOCK HOLMES 2. INFERNO 3. INCEPTION 4. TENET 5. THE EXAM 6. THE BIG SHORT 7. INTERSTELLAR 8. THE...
10 Reactions
77 Replies
8K Views
Tazama video hii ukaone kadada kenyewe. Aisee nimekaelewa kinoma noma. Kwa sababu ndio aina ya mademu ninao tokaga nao. Unaposikia Likud kaenda sijui Lindi, Mtwara, wherever kutafuta mademu...
6 Reactions
28 Replies
2K Views
Habarini wakuu! Nina App yangu nahitaji kuitangaza hivyo wale ambao wameshatumia ma influencer wa tz, nilikua naomba mnisanue bei zao nijipange. sihitaji wabashiriji🤣. Naanza mimi kusanua "Mr...
1 Reactions
11 Replies
272 Views
Back
Top Bottom