Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

JF Prefixes:

Miriam Thomas Chirwa, anayejulikana kwa jina la "Mwinjilisti Miriam," alizaliwa tarehe 15 Septemba 1998, akiwa na ulemavu wa macho Alianza safari yake ya muziki akiwa na umri wa miaka 6, ambapo...
2 Reactions
4 Replies
824 Views
Bonge la ngoma soon linakuja
0 Reactions
10 Replies
563 Views
Vipaji vimejaa Arabuni. Karibuni.
1 Reactions
1 Replies
158 Views
BEFORE I DIE SEHEMU YA KWANZA Ni Edson Benard pekee ambaye hakuungana na familia yao jioni hii ya katika mapokezi ya mdogo wake Innocent anayerejea nyumbani baada ya kuhitimu shahada ya kwanza...
22 Reactions
209 Replies
90K Views
Uzi huu utakuwa mahususi kwa ajili ya kutuma simulizi hizi mbili kwa wapenzi wasomaji wangu. Simulizi hizo nazo ni: ANGA LA WASHENZI na JOANA ANAONA KITU USIKU mpaka vikomo vyake. Karibu tufurahie.
30 Reactions
4K Replies
1M Views
Wakuu karibuni katika riwaya hii inayoitwa 'Kijijini kwa Bibi', au 'mnyonya damu', kama ambavyo wengine hupenda kuiita. Mtunzi wa riwaya hii ni yule yule wa 'Mkono wa Chuma' na 'Sala ya Sarah'...
22 Reactions
444 Replies
118K Views
Katika wasanii ambao nikisikiliza ngoma zao nazielewa namba Moja duniani ni rod wave nataka nijue Kuna msanii anaemzidi kipaji huyu jamaa duniani Sasa hivi nazungumzia kipaji a.k.a mziki mzuri sio...
3 Reactions
40 Replies
937 Views
Zee ni mwanamke maarufu anayeishi Paris ambaye huajiriwa mara kwa mara na Finn, raia wa Ireland anayefanya kazi kwa bwana wa uhalifu Jules Gobert, ili kuwaondoa wapinzani wa Gobert katika biashara...
0 Reactions
0 Replies
314 Views
Habari za wakati huu ndugu. Kwa wale wapenzi wa movie kali. Kuna dini hapa. "The Lair" ni filamu ya kutisha ya kijasusi iliyotolewa mwaka 2022 na kuongozwa na Neil Marshall. Hii hapa ni...
2 Reactions
1 Replies
566 Views
Episode 1: Introduction. Hii episode ya mwanzo itakua zaidi ni utangulizi (introduction) ya kujua watu na maana ya maneno yalivyotumika. Tutajitahidi ziwe ni posts fupi fupi ili isiwe tabu kwa...
11 Reactions
193 Replies
54K Views
Hello guys Ni wimbo wa old school, moja ya mashairi yake yanaimbwa hivi, "Tumeumbwa tupendane na tuishi kwa usawa, baba muumba...yatima ni binadamu anaehitaji kusaidiwa" Kwa kusikiliza sauti...
0 Reactions
9 Replies
6K Views
WACHUJA NAFAKA Tusisubiri Wapotee wote.....ndiyo tuseme waliwahi kutoa Moja ya Albamu kali, Narudia Tena Albam kali kuwahi kutokea Tanzania. Fatilia Uzi Huu utajua kwanini nakuambia Ilikuwa moja...
6 Reactions
31 Replies
3K Views
Wakuu habari za muda huu, natumai mnaendelea vema na majukumu ya kujenga Taifa. Kama uzi unavyojieleza hapo juu, kuna wakati inatokea tuu kuna wimbo wowote ule uwe wa dini, qaswida, au nyimbo za...
4 Reactions
12 Replies
939 Views
Wanajukwaa naomba kuuliza ile kwaya ilioimba wimbo wa BWANA WAMABWANA ambayo ROSTAM wametumia sehemu ya wimbo huo kama kiitikio kwenye wimbo wa Kaka Tuchati, kwaya ile inaitwaje? Au msanii anaitwaje!?
1 Reactions
4 Replies
712 Views
1. Changes ya Tupac https://youtu.be/eXvBjCO19QY?si=Fwtyece1Ac7kPCkH Origina yake https://youtu.be/GlRQjzltaMQ?si=ZwPSmhk-4Vx8__Ku 2. Forever Young ya Jay Z...
1 Reactions
1 Replies
281 Views
Nahisi 2pac is back, Sasa hii ndo pure hip hop na wakati inahitajika kama ukiipinga lazima ukapimwe akili,Sio Roma wa kibamia ama Dem uyu au dem uyu. Hii ni HIP HOP YA MWAKA
18 Reactions
79 Replies
16K Views
  • Poll Poll
Ni muda sasa tumepata kuona mabadiliko makubwa sana kwenye nyimbo za dini (gospel) haswa katika upande wa lugha ya kiswahili, Kuna kwaya kadhaa zimepata kuondoka na upepo mkubwa sana ndani ya...
0 Reactions
8 Replies
454 Views
KIKUNDI cha Uimbaji cha Zabron Singers wamevunja rekodi kwa Afrika Mashariki kutazamwa na watu zaidi ya milioni 10, jambo ambalo halijawahi kutokea kwa wimbo wowote ya dini. Kikundi hicho chenye...
6 Reactions
34 Replies
10K Views
Back
Top Bottom