Mwenye hili game la fifa 17 linaloweza kuchezeka kwenye pc au laptop tafadhali saaaaaana naomba anisaidie.... Nipo dar kwa leo tuuu kesho narud kijijini uko... Naomben msaada wenu jamani hata kama...
Wadau,
Miaka hiyo Bongo Flava inaanza nlikua mpenzi na mfuatiliaji sana wa hii miziki. Ilifikia mpaka nikawa natoroka Shule ili niwahi kusit near Radio Cassette ya Mshua na Cassette yangu...
Salam zenu,
Ilikuwa siku Jumamosi kama saa 10:00 asubuhi hivi. Kwa kawaida kazini kwetu huwa siku za weekend tunafanya kazi asubuh hadi mchana tu.
Mkuu wangu wa kazi alikuja nilipo na kunipa...
Nimesikiliza mistari ya humu ndani nikasema Joyner Lucas ni kiwango kingine kabisaaa.
Alichoimba na jinsi alivyowatumia wahusika na kuwianisha tabia zao ambazo zipo ndicho kimeniacha hoi...
Swalama,
Miaka nenda miaka rudi nje ya jengo la Simba lililopo msimbazi kariakoo halikosi vigenge vikijadili Simba yao ilokosa makombe asubuhi asubuhi,Niwaulize wana simba hamna kazi za kufanya...
Nimevutiwa na siasa za Kenya japo kwa hili...mgeni rasmi katika uzinduzi wa mashindano ya CECAFA yanayoanza leo nchini Kenya ni bwana Odinga mpinzani wa Kenyatta katika uchaguzi uliopita!je...
Hayawi hayawi sasa yamekuwa...
Binafsi nimefurahi sana Mohamed Dweji (MO) kukabidhiwa klabu ya Simba. Hakika hii ni habari njema kwa wana Msimbazi.
Natumaini umoja na mshikamano wa viongozi wa...
Lugha za kigeni wenyewe mnaita 'Branding' lakini kumbe hizi Brand pia zina gharama zake kuzi-mantain kama ambavyo huyu kijana wa 'Shilawadu' Soudy Brown anavyohakikisha brand yake haiteteleki...
TBC 2 LIVE:
Tamasha linaendelea, kwa kweli limefanikiwa kwa kiwango kikubwa sana japo idara ya usalama imepwaya kiasi hasa katika uthibiti wa wapi wasimame na wapi wasisimame:
21:00 Update..
Paul...
Wiki ijayo nitarajia kuwa na safari kwenda nyumbani Musoma mkoani Mara.Kutoka Dar hadi Musoma si mchezo na nitalazimika kupumzika Mwanza kwa siku moja.Kwa wakazi wa Mwanza ni sehemu gani nzuri kwa...
Natumai mkoa poa.naomba kujulishwa kwa anaefahamu,Kama mtu anataka kutoa singo anatakiwa kuwa na pesa kiasi gani? Pili studio ipi hapa dar ambayo ni Bora kabisa ambayo inaweza kumtoa underground...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.