Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...
" Hallelujah" Kijana wa tandale kaleta nyingine akiwa na Morgan Heritage chini ya director Moe Mussa. Kamaliza au kazingua? Diamond Platnumz "Hallelujah" (ft Morgan Heritage) Verse 1 - Diamond...
22 Reactions
411 Replies
68K Views
Nimeusikiliza huu wimbo clouds sasa hivi, sijaona hata mstari mmoja Wa maana nnaoweza kuuweka kichwani, una flow tongue twister, unang'ata maneno!+ quote za kimombo!, rudi enzi za MWANZA MWANZA...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
** Mdada mmoja alitaka kujua kiasi gani anapendwa na mume wake, hivyo akataka kujua mumewe atafanya nini endapo ataamua kuondoka na kumuacha! Mwanamke huyo akaamua kuandika barua inayosema...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Kiukweli kwa sasa mayoung wanaotamba mjini wamebaki wawili tu kwa hii game ya hiphop, hapo awali dogo janja alijumuishwa pia lakini kwa sasa ametupwa nje na hawa madogo wanaotamba Young dee...
0 Reactions
23 Replies
8K Views
Habari zenu wana jf Kama kichwa hapo juu kinavyosema kutokana na kauli ya rais jpm NANUKUU "Kama kuna vyama vingine navyo vinataka kuja kufanyia mikutano yao hapa (Ikulu) waombe, hapa ni pa...
1 Reactions
22 Replies
2K Views
Wakuu habari! Binafsi sio mpenzi wa hizi zinazoitwa singeli, ziite mnanda ukitaka au ukipendezwa ita mchiriku au muziki wa hovyo, yaani wewe tu. Ila Sasa Kuna hii ngoma ya Mataluma inayoitwa...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
'Hallelujah" Ni wimbo mpyaa kutoka kwa Diamond platnumz, wimbo huu umekuja kuvunja record na kuweka record mpyaa kwenye mtandao wa Youtube.. 1. Kabla hata haujafikisha Masaa 12, Ukawa ndio wimbo...
6 Reactions
58 Replies
13K Views
habarini wakuu mwenye link ya movie tajwa hapo juu naomba anisaidie iwe kwenye format ya 720p. mana nimehangaika had nimechoka
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mwaka huu 2016 kuna Movies kali sana zimetoka mwenzenu sichoki kuziangalia kutokana na uzuri wa story ya Movie au Mishe mishe zilizopo ndani ya Movies hizo baadhi ya Movies hizo ni hizi:- Mission...
6 Reactions
36 Replies
6K Views
Nice weekend kwa wala bata, Bata la leo ni batani Tabata kinyerezi yaani WCB wanajaza watu hatari na bonge la stange aisey..... Tuacheni team Dimond ni muha alisi anaejua namna ya kutafuta hela...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Haijalishi ulisoma enzi za mwalimu, mzee ruksa, ben au braza jk sote tumesoma vitabu vya riwaya/tamthiliya mbalimbali za waandishi wetu wa nyumbani. katika kusoma huko naamini ipo...
1 Reactions
62 Replies
25K Views
Miongoni mwa nyimbo ambazo hua zinaniamsha pale napohisi kukata tamaa: 1.Darasa-weka ngoma 2.Eminem ft Nate dog- till I collapse 3.Damian Marley ft nas escober- Strong will continue 4.The...
0 Reactions
26 Replies
5K Views
Mwanzo wa usajili wa wasanii wanaopaswa kuperform kwenye stage ya Fiesta 2017, walisema kigezo cha kwanza lazima uwe na hit song kwa wakati huu.. Moja ya wasanii wanaofanya vizur kwenye game hii...
1 Reactions
27 Replies
3K Views
List majina ya love story nzuri ulizo ziona
0 Reactions
27 Replies
12K Views
UPEPO WA USIKU-25 BONIFACE BIRAGE “Ni shushushu wa wapI?” “Bado hatujajua lakini hii tattoo ni maalum kwa mashushushu wanaopandikizwa...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Hakika kila mpenda nchi Wa zama zetu aliupenda wimbo huu Wa Atomic Jazz, lakini kwa sasa, hasa baada ya awamu hii ya tano kuingia madarakani umepoteza maana umepoteza maana. Kwa nini lakini? Hivi...
6 Reactions
24 Replies
3K Views
1. Feels by Calvin Harris feat. Pharrell Williams, Katy Perry & Big Sean 2. Despacito (Remix) by Luis Fonsi & Daddy Yankee feat. Justin Bieber 3.Galway Girl by Ed Sheeran
1 Reactions
22 Replies
6K Views
NI UBAGUZI, UBAGUZI WA KUTISHA ! - Hawa Fiesta kila mkoa wanakoenda huwa wanachukua baadhi ya wasanii wa mkoa husika lakini kwa Mara imekuwa tofauti kabisa, licha ya Musoma kuwa na wasanii wazuri...
5 Reactions
71 Replies
17K Views
Jaman wale wapenzi wa mziki, Empire season 4 gland premier imekaribia so stay tuned uone lucios lion akitoka Hospital,, September 27 kitu on air,
4 Reactions
5 Replies
967 Views
Back
Top Bottom