kuna wimbo unaitwa kitu na box wa abdul misaambano na ule wa issa matona anaimba nilidhani mimi chanda na wewe pete yangu...
Naombeni mnisaidie tafadhali manake nimezitafuta muda mrefu sijazipata
Wakuu kwa mimi hawa ndio wabaya wa chorus bongo kuanzia wa kwanza mpaka wa 5
1. Sir Nature - msitu wa vina
2. Belle 9
3. Chege Chigunda
4. TID
5. Q Chilla/ Q Chief
Nakumbuka nilikuwa chuo nasoma sikukaa mabibo hostel nilipanga room mtaani, siku moja jumapili a msichana toka mzumbe university alikuja home kipindi hicho alikuwa mpenzi wangu. Akaniambia huna...
Habari za jioni
wakuu kwa wale wapenzi wa tamthilia ya queen of the south leo usiku inaendelea tena hivyo msikose kufuatilia......camila ataweza kumpiku mumewe kwa kumiliki genge kubwa la madawa...
Amefariki leo hii katika hospitali ya Muhimbili DSM alikopelekwa jana kwa ajili ya Matibabu akitokea Newala.(Mtwara) Atakumbukwa sana hasa kwa Wimbo wake “Kila Munu avena kwao” Kila mtu ana kwao.
Wadau nasikiliza kituo kimoja cha dini ya kikristo wanapiga nyimbo za Bongo Flavour zenye meseji za Gospel ndani yake.Hakika huyu DJ ni mbunifu sijapata kuona .
Baadhi nilizozisikia hadi sasa ni...
Toka muziki wa kizazi kipya ushike chart hapa nchini kumetokea wasanii lukuki waliojitahidi kuonesha uwezo wao!!
Chorus nyingi zimeimbwa iwe katika nyimbo za wasanii husika ama zile za...
Habari za weekend Jf
Mimi ni mfuatiliaji wa movies hizi
The blacklist
Into the Badlands
Blindspot
Sasa zote zimefika season finale, wakati nasubiri next seasons naombeni masaada wa movies...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.