Wanajamvi heshima kwenu.Naomba kujuzwa kwenye fani ya muziki hasa TAARABU kwa wamama/dada zetu.Mbona wengi wao wana maumbo makubwa makubwa,je ma-modal hawaruhusiwi?Kinackokera wengi wao kuwa na...
Right before we left for London, I was sitting in my office, looking at a picture on my desk of a beautiful woman. I kept staring at it. It's been on my desk since my first day in office. And I...
Mwimbaji Shakira ameingia kwenye rekodi ya Dunia ya kuwa na marafiki/fans wengi zaidi katika Facebook, kuliko mtu yoyote hapa duniani. Jana aliweka rekodi hiyo kwa kufikisha fans milioni 100!
Mimi nimpenzi wa nyimbo za kizazi kipya ila napata shida sana kila kitu Diamond kweli jamani wana jf nikweli hakuna waimbaji wakali ila diamond?
Tuseme ukweli some body there anauwa vipaji...
Wadau habarini za jioni' mm nina mzuka sana na Music, napenda sana kupiga drumz, Guitar na kinanda.
Lakini katika vyote' nachoweza kidogo ni drumz tu. Sasa nataka nijifunze kupiga kinanda na...
Shot through the heart
and you are to blame
you give a bad name
I played my part and you play your game
You give love a bad name...
Bon Jovi - You Give Love A Bad Name - YouTube
Chorus Yaa shahar ramadhan khair min alfu shahar ooh!
shahar ramadhan khair min Alfu shahar×2
Verse1
Mwezi ulojaa amani
utulivu wa duniani
huzidi za waja imani
ufikapo yaa...
Mzee wetu Muhidini Maalim Gurumo (r.i.p) nguli wa Muziki wa dansi nchini alikufa na kuzikwa kijijini kwao kule Masaki, kata ya Masaki, tarafa ya Sungwi, wilaya ya Kisarawe, mkoa wa Pwani kilometa...
Wakuu huyu coldplay namkubali balaa... hili song lake jipya linaitwa a sky full of stars kama hujabahatika kuuskia utafute.... ukija kwenye video ndo balaa... huwezi choka kuiangalia
Kwafujo Djs ni kundi la madj lililotamba miaka ya nyuma na kuwa maarufu lakini siku hizi halisikiki tena. nini chanzo cha kutokusikika kwa kundi hili tena?
Nahitaji kudownload hii movie lakini kila nikijaribu kudownload kwa kutumia youtube downloader inakataa,nani anaweza kunipa link nzuri ambayo nitai download kwa kutumia youtube downloader au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.