Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

JF Prefixes:

1. Brothers 2. Lone Survivor 3. The Outpost 4. Zero Dark Thirty 5. Hyena Road 6. Combat Obscura 7. The Covenant 8. Armadillo 9. Red Sands 10. Lions For Lambs 11. The Old Guard 12. Charlie Wilson's...
1 Reactions
14 Replies
906 Views
Series tamu sana, mapenzi, hustles, mahusiano. Marafiki wanne wa chuo kikuu, ambao uhusiano wao mkubwa umewaweka pamoja japo safari zao za maisha zimewapeleka katika njia tofauti sana. Follows...
2 Reactions
4 Replies
854 Views
Ningependa kujua ilipo bendi moja ya mchiriku ambayo ili-modernize muziki wa mchiriku (kwa kuweka vinanda na magitaa) mwanzoni mwa miaka ya 1990 ambayo iliitwa Hisani Musical Club ambyo ilitoa...
5 Reactions
176 Replies
51K Views
Miongoni mwa vipaji ambavyo Tanzania imetunukiwa, ni pamoja na orodha kubwa ya waandishi wa hadithi za Kiswahili. Waandishi wengi wamechomoza kwa uhodari na umahiri wao kila mmoja katika kona...
12 Reactions
106 Replies
39K Views
Ningependa kupata taarifa za makundi ya bongo fleva.... Yaliundwa na wasanii gani, yalianzishwa mwaka gani, na walitoa ngoma gani na pia kupata picha zao 1: Living with Purpose (LWP) 2: Big Dog...
4 Reactions
7 Replies
1K Views
Nimeanza kusikiliza Gengetone. Naburudika, nacheka na kushangaa. Msaada wa gengetone kali kali. Natanguliza shukrani. https://youtu.be/kfzc-JOotH0?si=UrWSjEj8YvAph9lE
0 Reactions
1 Replies
416 Views
Hawa wajinga wa Monty Python sijui walikuwa wanawaza nini. Watu wengi wamejikuta wamepata matatizo ya kiafya kwa kucheka sana baada ya kuangalia movie hii...
2 Reactions
1 Replies
497 Views
Wanangu wa Hip hop naweka mtanange hapa, kati ya hizi collabo mbili zilizo umiza kipindi hicho. ipi ni collabo kali ? Ukisikia paah ya JCB original + Remix VS Mchizi wangu ya Nako2Nako...
3 Reactions
25 Replies
1K Views
Ilikuwa kwenye mida ya saa mbili usiku wakati tumekaaa kwaajili ya chakula cha usiku. Wakati nakula simu yangu ikaita kuangalia mpigaji ni mpenzi wangu Sam ila nikashindwa kunyanyuka kwenda...
9 Reactions
180 Replies
80K Views
Niende moja kwa moja kwenye point. Kwasasa hapa Tanzania nyimbo mbili toka wasanii wa Mbeya ndio zinazotakiwa kupewa Tuzo. Pia Midundi hii inastahili kuwa muziki unaoitambilisha Tanzania. 1...
1 Reactions
4 Replies
636 Views
Mimi naitwa Emmanuel Vicent Natokea Mwanza mimi ni video director natafuta watu ambao wapo vizuri kwenye kuandaa story hasa za kutengenezea filamu. Kama story kali tunaweza fanya biashara ila...
2 Reactions
2 Replies
368 Views
Harmonize kumpiga beat shabiki ni kitendo cha kuonesha kutokuheshimu mashabiki waliouzulia show yako. Shabiki katenda wajibu wake wa kuja kwenye show yako, alafu kisa tu kazengua mahala fulani...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Hii ni special thread Kwa wapenzi wa muziki wa mwambao wa Pwani. Natoa nafasi - Zuhura shaabani
3 Reactions
55 Replies
3K Views
SIZONJE ndio jina la wimbo wake mpya Mrisho Mpoto alieyeshirikiana na Banana Zoro. Nimeusikiliza kwa makini lakini bado sijajua maana halisi ya huu wimbo. Huwa napenda sana nyimbo zake Mpoto...
6 Reactions
151 Replies
133K Views
Hawa jamaa walikua TBC FM sasa wanajiita Bongo FM. Kuanzia leo ila niwashauri wabadilike katika content zao wajikite kuburdani zaidi waachane na vipindi vinavyofanywa na TBC Taifa kama ukulima...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Waungwana, kuna nyimbo ya zamani kidogo yenye baadhi ya lyrics hizi "Niwe nawe, Niwe nawee, penzi lako la thamani, lenye wingi wa nahau" Anayeufahamu au details za jina la msanii na jina la...
1 Reactions
4 Replies
3K Views
RIWAYA; OPERESHENI KUKU (KUFA KUPONA) NA; BAHATI MWAMBA SIMU; 0758573660 VITABU VILIVYOTANGULIA • KIKOSI CHA PILI • MPANGO WA CONGO • URITHI WA GAIDI • SAUTI YA MTUTU • DAKIKA ZA MWISHO...
11 Reactions
104 Replies
34K Views
Salam, Hii chanel ipo kwenye other channel Azam no 1023. Hawa jamaa sio Siri wanapiga miziki mchanganyiko sana. Dstv Hip Tv wanajitahidi ila miziki mingi wanapiga ya kinajeria. Hongereni sana...
0 Reactions
4 Replies
391 Views
Nipo hapa nasikiliza nyimbo ya mkali kutoka USA Lil Wayne inaitwa Mirror Hii nyimbo kaelezea kwa kutumia neno mirror akimaanisha kioo kuwa katika haya Maisha tunaishi huwa Kuna nyakati tunapitia...
20 Reactions
47 Replies
5K Views
Kama shabiki mkubwa wa muziki nimeona leo niandike kitu tujikumbushe watu walionogesha sana muziki wa Congo... Marapa... hawa jamaa walikuwa wanafanya sebene zinoge. Ninaandika huku nikiusikitikia...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Back
Top Bottom