Hello JF especially wadau wa muziki. Here's my new track; inastahili marks ngapi kati ya hizo kumi?
Elements zipi niziadapt/nizibadili/niziongeze kwenye mix zijazo?
Natumia Fl Studio + Ableton...
Miaka hiyo muziki ambao ulikuwa ukitamba sana bongo ulikuwa ni lingala. enzi za akina kanda bongo man, bozi boziana, diblo dibala, lokassa ya mbongo,akina yondo sister, gatho,madilu system, defao...
Hii Channel imenishika sana. Kila jumatano na jumapili lazima niitizame. Ndiyo Jua kai yangu. Channel gani yako pendwa zaidi ya you tube kwa sasa?
https://youtu.be/WEQOhC-kRAE?si=sDEs7bW1MdsxNJmh
Best Female Lead Action MOVIES
1. The Mother (2023)
2. Jolt (2021)
3. Ava (IV) (2020)
4. Lucy (I) (2014)
5. Anna (II) (2019)
6. Kate (I) (2021)
7. Kite (2014)
8. Lou (I) (2022)
9. Scarlett (2020)...
Leo nime Kumbuka cartoon hizi, moja Ina theme ya Soka.
👉 Nyingine ni action cartoon, kwa upande wangu zote Kali.
Vipi kwako ???
Dragon Ball z
Super strikers
Season 2 sehemu ya 1
Basi baada ya kuwa nimekutana kimwili na tatu, babu aliniuliza eti sikuona mabadiliko mwilini mwangu? Nilibaki kuwaza nisikumbuke jambo lolote lililonitokea wakati tunafanya...
Habarini wapendwa,natumaini mnaendelea vyema.Samahani mimi ni kijana wa miaka 22,naishi Buguruni,Dar es salaam.Nina ujuzi katika kutengezneza beat,mimi sio professional sana ila ninajua na...
Apple Music pays the NFL $50 million annually to sponsor the Super Bowl halftime show.
But Usher won't get any of that money.
Instead, he'll perform for free, leveraging the exposure to gain...
Hizi ndizo katuni ambazo unaweza kurudia kuangalia na hazichoshi.
1.vivo 2021
2. Strange magic 2015
3. Ivan the incredible 2012
4. Ice age 3 dawn of dinosaur 2009
Mwaka 2016 ndio mwaka...
Kwenye simu yangu sina mix hata moja ya dj wa kitanzania,sijawahi kupata.
Madj maarufu wa kenya na wakali hawa hapa.
1. Dj Prince
2. Dj Perez
3. Dj Shinsk
4. Dj Layta
Huwezi kukuta mtanzania...
Throwback hii hapa kwaju wa demu wangu wa Mchizi Mox ft Ngwair nani alipiga verses kali na aliflow kinyamwezi
For me naenda na mwanangu Ngwair aliumiza sana humu ndani hasa kile kipande cha...
Inaonekana ni 'Clip' ya karibuni ndani ya Onyesho la kimataifa la SAUTI ZA BUSARA, Zanzibar.
TUKIO:
Mtangazaji anamsogolea mkongwe, Mwana-HIPHOP-Mahiri, 'Mweusiiii' Lord Eyez. Huku onyesho likiwa...
NILIKUWA na uwezo mkubwa sana wa kiakili na nilikuwa naongoza darasani kwa kushika nafasi ya kwanza tangu nikiwa darasa la pili shule ya Bronx English Medium Primary School.
Nilikuwa nazijua nchi...
Habari Wakuu, leo nimeona ni vyema nikawashirikisha kidogo kuhusu bendi moja ya zamani kidogo ambayo ilitupatia burudani sana miaka ya 1990 enzi hizo wakati ambao tulikuwa tunaonesha ujuzi wetu wa...
Ever had a great day? Here's what you need for a day out
1. Lemon tree - Fools Garden
2. Talk - Coldplay
3. Amigo- Black Slate
4.Lazy Afternoon - Rebelution
5. Hot hot hot- Bryon Lee and the...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.