Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

JF Prefixes:

Muendelezo wa john wick bado ni moja ya movie nazozipenda sana sio mamilion ya watu wanavutiwa na hii movie. Kilichonivutia kwenye hii jamaa sio insane wala tributal martial art lakin anapiga kwa...
4 Reactions
12 Replies
2K Views
Mwandishi: J.K.kiimbila MFALME BINTA NA RAIA ZAKE _1 Hadithi hii inaanza Zama za Giza _ jina la kukebehi katika Afrika. Wakati wanadamu walipoabudu miungu wengi lakini wakaendelea kuamini juu ya...
2 Reactions
2 Replies
3K Views
Lawyer wa kimexico ambae familia yake iliuliwa na boss wa kundi la madawa ya kulevya na uharifu anaamua kuungana na task force moja ya marekani huku yeye akiwasaidia intel za kuangusha drug...
5 Reactions
17 Replies
2K Views
Harmonize ametoa wimbo mkali, lakini bado beat na production za Tanzania hazipo kwenye kiwango sahihi na Wala haziendi na wakati, beat ni ya kizamani na production ni low quality. Harmonize...
0 Reactions
3 Replies
504 Views
Nyie watu wapenzi wa movie aloangalie hii achambue ni kama inatisha hivii na ina code kibao hivi wachambuzi mkuje tuchambue hii movie sio mpira tu [emoji12]
4 Reactions
38 Replies
2K Views
Kwa utoto huu anaofanya Konde Boy ndio tuendelee kumuweka kwenye mizani sawa na la Masimba Dangote [emoji3063]? Konde Boy anakipaji kikubwa sana akiacha kukurupuka kwa stress za wasanii wengine...
1 Reactions
10 Replies
614 Views
Kama wewe ni mtumiaji wa mtandao wa Tik Tok basi tambua kuwa Kuanzia sasa muziki wowote unaomilikiwa na Universal Music Group hautakuwepo kwenye orodha ya nyimbo za kutumia TikTok. Video za zamani...
2 Reactions
8 Replies
681 Views
RAFIKI WA KWELI; LYRICAL AND NATURALLY GIFTED AFRICAN (LANGA) MENGISENI KILEO 1. "HAKUNA MC ANAYENISHINDA KWA HIP HOP " 2. " HIP HOP NI UKWELI NA UWAZI, KUKU KAPANDA BAISKELI HAIKUSHANGAZI" 3...
1 Reactions
6 Replies
3K Views
JUMA MCHOPANGA,JAY MOE Habari nyingine, Cheki hapa SOLO THANG Anvyokimbizwa kwenye WERE ARE FAMILY.[emoji91][emoji119] Tatoo sio Nyingi kama P FUNK ila mi mpenzi wa MAJANI/ JAY ndio mimi MASTER...
4 Reactions
2 Replies
610 Views
Rose Muhando? Bahati Bukuku? Christina Shusho? Bonny Mwaitege? Upendo Nkone? Jennifer Mgendi? Beatrice Muhone? Ambwene Mwasongwe? Martha Mwaipaja? Flora Mbasha?.............
3 Reactions
153 Replies
37K Views
Mwaka jana 2023 niliamua pia kusoma vitabu vya riwaya za kiswahili ambapo niliegemea zaidi kwenye zile za ujajusi. Katika hizi niliamua kusoma riwaya za waandishi watatu 1. Calvin Mponda 2...
3 Reactions
13 Replies
2K Views
movie ambayo inamuonesha jason mzee wa ngumi za kutosha ambaye ni mtandao wa siri wasio julikana ndani ya serikali nyingi duniani. tuje kwenye mada: kiufupi ukiangalia hii movie iliyotoka 2024...
0 Reactions
1 Replies
565 Views
Finally Msanii Harmonize ameuachia wimbo wake wa "I made it" ambao kawashirikisha wasanii Bien wa kenya na Bobby Shmurda toka States. Huu wimbo ulikuwa unasogezwa siku mbele kuachiwa, sio mara...
2 Reactions
2 Replies
671 Views
Wakuu Kitambo Fulani pale Kenya ulihit sana wimbo kwa jina la Stella .. Wimbo huo ulioimbwa na mtu aitwaye freshley mwamburi ni kisa cha msichana aliyeitwa Stella , ambaye alipelekwa japan na...
0 Reactions
0 Replies
536 Views
SIMULIZI YA MAISHA : Mzigo wa Bosi uliharibu maisha yangu. MWANDISHI: Gilbert Evarist Mushi PHONE: +255621249611 SEHEMU YA 01 Kwa Majina Naitwa Gilbert Mwaitika, Nina umri wa miaka 25...
4 Reactions
116 Replies
32K Views
Nimekaa kwenye ofisi na siyo ofisi ndogo,ofisi kubwa sana,Tena ninaimiliki mwenyewe iliyosheheni furniture za thamani na kila kitu nilichokuwa nakitamani muda wote wa maisha yangu,ninayo Amani ya...
2 Reactions
10 Replies
3K Views
Sehemu ya kwanza Habari za wakati huu, Niite Mark ni mtu mzima nilikuwa na mke na watoto 6. Nimzaliwa wa mkoani Kilimanjaro, moshi mjini Njoro. Elimu yangu ilikuwa ya kulenga kwa manati...
13 Reactions
86 Replies
12K Views
Kwa wapenzi wakuangalia Movies, ni Kampuni gani kati ya hizi ukiiona kwenye movie unakuwa na hamu ya kuangalia hiyo Movie. Mimi ni WB (Warner Bros) Boqin Naomba ubadilishe Thread Title...
2 Reactions
35 Replies
2K Views
Hi guys nyimbo Kali nyingi zilitungwa kipindi hicho kama vile 1)Dynamite ya taio Cruz 2)International love ya pitbull ft Chris brown 3)Coconut tree ya mohombi 4)Bumpy ride ya mohombi 5)Moves like...
3 Reactions
6 Replies
859 Views
LANGA alikuwa Msanii wa Hip-hop hapa Bongo,Alijulikana sana kupitia mashindano ya Coca-cola Pop Star akiwa na wenzie,1.Sarah Kaisi - Shaa2. Witnes Mwaijage - Witness3.Langa Kileo - LangaNgoma yao...
12 Reactions
22 Replies
3K Views
Back
Top Bottom