Bimkubwa Sintah, anajitapa sana kwenye blogu yake kuhusu kile anacho ita " ELIMU YAKE KUBWA". But taarifa za kiintelijensia kutoka kwa Mange Kimambi, zinasema kuwa Sintah...
Sintah leo kaja na haya : jisomee mwenyewe
"Ukifungua gazeti la babu kubwa toleo jipya ,kurasa ya katikati shurti utakutana na kichwa cha habari MASTAA Ambao shule imelala kichwani, seriously...
Kulingana na shirika linaloitwa BSS Corporate Psychology Services kutoka Australia, kulala usingizi masaa manane kila siku ni muhimu mno kwa afya ya mwanadamu. Utafiti wa muda mrefu unaonyesha...
AMINI usiamini, kuna taarifa kwamba gwiji la sanaa za vichekesho nchini, Amri Athumani King Majuto almaarufu mzee Majuto amefunga ndoa ya siri ndani ya Mfungo wa Mwezi wa Ramadhani, Risasi...
To me ''LOST'' serves as the best tv series of all the time
ningependa kujua wale wapenzi wa series mna maoni gani and whats u're favourite?
LOST:The survivors of a plane crash are forced to...
Wachina wakija tunaangaika kuongea Kiingereza kwa kigugumizi, tunadai Kiswahili hakikubaliki na wala hakiuziki. Tuendelee kuamini hivyo hivyo wakati Wakenya wakizidi kulamba mikataba minono nje ya...
MALKIA wa Mipasho Afrika Mashariki, Khadija Kopa amesema baada ya kufiwa na mumewe kipenzi,
Jafari Ally, amegundua kuwa anapendwa na watu wengi tofauti na alivyokuwa akifikiria.
Akistorisha na...
MSANII wa Kundi la Green Masage, linalorusha michezo yake kupitia Televisheni ya TBC, Daniel Mmasi Face Brown amefunguka kuwa redio ya marehemu Ramadhan Mkiety Sharo Milionea aliyoinunua...
Ulisha wahi kutamani kupata wimbo fulani na hujui nani kaimba au huwezi labda kwa sababu ya lugha?
Kwa wale wa nyimbo za ki Congo au za kenya...kwa kiswahili pia tutasaidiana.
Weka Mashairi...
HATIMAYE ALIYEKUWA MSHIRIKI WA BBA TOKA TANZANIA NANDO APOKELEWA NA MAMA YAKE CALIFONIA,ANGALIA PICHA...
Army Nando awasili Los Angeles, California
Mpiganaji Davis Mosha, Edgar D. Mosha...
Komandoo, Anaconda, Lady Jadee
Ebu kionee huruma kizazi cha vijana wanaoangamia kwa biashara ya hao jamaa unaowajua kwa majina na tena una ushahidi wao,
Tuonee huruma wazazi tunaoharibikiwa na...
Siku za hivi karibuni mwigizaji anayefanya vizuri kwasasa katika filamu nchini Niva Zubery amekuwa akiweka status zikimhusu mwigizaji mwenzake Wema Sepetu na baadhi ya mashabiki wa mastaa hao na...
Yule mwakilishi wa Tz Nando ametolewa kwa kosa la kutaka kumchoma kisu mshiriki toka Ghana! hii ilitokea juzi baada yakutofautiana! Dogo alisema mtu kama huyu hasitahili kuishi! na kuamua kuenda...
"SASA NIMEOKOKA.....UJINGA SITAKI TENA"...LULU MICHAEL
MUIGIZAJI machachari wa filamu nchini, Elizabeth Michael Lulu amesema baada ya kupata misukosuko ya kimaisha, sasa maisha yake...
Bondia Evander kupigana Tanzania
Oprah Winfrey kuitembelea Tanzania
R Kelly kuja Tanzania
By Millard Ayo | Wed, 17 Jul 2013
Mwimbaji staa wa dunia Robert Kelly au R. Kelly amethibitisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.