Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...
Someni hapa http://www.ifeas.uni-mainz.de/workingpapers/AP127.pdf kuhusu "The Bongo Flava industry in Tanzania and artists’ strategies for success".
0 Reactions
0 Replies
946 Views
Kuanzia leo 1st Oct DStv wamebadilisha arrangement ya channels zao. Superb arrangement. Movies channels mpya. Sasa kazi ni kutafuta pesa kulipia package 2 burudani za kutosha. 2Thumbs Up DStv...
0 Reactions
14 Replies
4K Views
wadau mwenye kujua jinsi ya kupata Album za hawa vijana wa M-Lab,(Stereo,One,mix tape ya Duke,Songa na Nash Mc) anaisaidie tafadhali..coz hwa jamaa huwa nawakubali kinyama yani..!!!
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ndugu zangu kwa muda sasa toka niusikie ule wimbo wa diamond nimpende nani nimekuwa na hakika kuwa ameiba mapingo ya nyimbo ile kutoka kwa mpiga tarumbeta yami sax. Naomba muusikilize huu muziki...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Wadau, Kituo cha Televisheni cha DTV kimeamua kuja upya kama kituo cha kisasa. Katika kuja upya huko kimeamua kupita mitaa mbalimbali ya jijini Dar es Salaam na kupigiga style kama ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mambo vipi wapendwa, Natumaini sisi sote ni wazima ninaombi kwa mwenye nyimbo hizi za Tanzania ambazo ni Tazama Ramani utaona nchi nzuri. Na Tanzania Tanzania nakupenda kwa moyo wote Naomba kwa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
wako wapi extra musica jamani?? hawa ndo wamenifanya nipende mziki wa bolingo
0 Reactions
2 Replies
3K Views
kuna mtanzania anaefanya mziki wake mbele,amewahi imba wimbo hu''WHY DON'T U CHAA...NGE YOUR LOVE ON MEE..WHY DONT U CHA...NGE YOUR LOVE ON MEEE...ulikua unarushwa sana na kituo cha ITV Miaka ya...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Napenda sana kwenda kukaa pale breakpoint ya mjini siku za ijumaa kusikikilza muziki wa asili. Lakini sifaidi nakereka sana na sauti yao ya juu wanayofungulia, ni kero tupu kwani licha ya kuharibu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Imethibitika kuwa mmoja kati ya hao anaweza kudondoka kwenye kilele cha Fiesta mwisho wa mwezi huu DSM. Narudia tena, mmoja kati ya Rick Ross na Nick Minaj atadondoka kupiga show ya mwisho ya...
0 Reactions
25 Replies
4K Views
Hongera EBSS- 2012 Tunawapongeza kwa maandalizi mazuri na walimu wazuri kama Banana tunamwaminia. Kazi iko kwa majaji: Ule mchezo wa kubeba baadhi ya watu bila sababu tafadhali sana...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
An upbeat African reality TV show grabs a rare but well induced backups from an International Development Organisation - Oxfam, and Tanzanian leading banking firm NMB!Whatch out and see our...
0 Reactions
0 Replies
835 Views
Wana jf,jumba la kifahari la ebss 2012 la nani?lipo wapi?mwenye picha atuweke hapa
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kichwa cha habari kina utata kwani sikuweka alama ya kuuliza hivyo kisomeke. '' Bill Cosy afariki dunia?'' Every once in a while pranksters decide to declare someone – usually a popular...
0 Reactions
24 Replies
4K Views
wazazi tuwawezeshe watoto wanaweza bonyeza baby1 au baby2 uone wanavyoimbaa!!! baby1 baby2
0 Reactions
0 Replies
804 Views
Wapenzi wa filamu za marehemu Steven Kanumba watakuwa na uhakika wa kumuona tena staa huyo aliyefariki April mwaka huu kwenye filamu mpya. Filamu hiyo inaitwa Ndoa Yangu ambapo Kanumba aliigiza...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wana Iringa, wapi nawezakukaa na kusukuma w'end yangu hapa Iringa tawn? Nimefika nikauliza wenyeji wakaniambia niende New Life bar. Nipo hapa ila cjapapenda. Wapi pamechangamka na pazuri?
0 Reactions
13 Replies
6K Views
kuch kuch hota hai Kal ho naa ho
0 Reactions
27 Replies
4K Views
Tujulicheni tunaotumia vingamuzi vya TING(agape tv) ni wiki ya tatu sasa hatuoni channel za ITV NA STAR TV .kuna tatizo gani,na huu sio ungwana tujulisheni mbona ada yenu tunalipa pia channel...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Baada ya kuchoka kuangalia ma-Cadillac, na AK-47 na Movie ambazo hazina uhalisia na Bongo, na kuwakumbuka watunzi mashuhuri kama Agoro Anduru (Temptations, Bed of Roses na This is Living..) na...
2 Reactions
12 Replies
3K Views
Back
Top Bottom