Jamani kuna mwana JF yeyote huwa anaangaria love in the wild kupitia e tv, kiukweli kwa couple za tanzania na mapenzi yetu hata kama mmekaa zaidi ya miaka 2 sijui kama mkitenganishwa na kuulizwa...
Timu ya warembo ya Miss redd 2012 ; ambayo hipo ziara ya kanda ya kaskazini wamemtembelea mh lowassa ili kupamba baraka zake katika mashindano ya miss Redd 2012 ; ambayo atafanyika hivi karibuni...
Kumbe Muke ya Mudhungu ilikuwa imesomeshwa na Hassan Bichuka?
Mamaa alipopelekwa Ulaya akachukua Bwana mwingine na kujitangaza kuwa sasa yeye ni MUKE YA MUDHUNGU.
Pole sana Hassan...
Jioni hii Adam Malima ameharibu kabisa ufunguzi rasmi wa shindano la Maisha Plus baada ya kutaja wazi eneo kilipo kijiji cha Maisha Plus kuwa ni Bagamoyo na kwamba si mbali kutoka...
Jameni naombeni radhi kwanza kwa hili ninalotaka kuzungumza. Kuna huyu Jaji wa Tikisa dance hapa ITV, mimi simuelewi kama ni ME au KE kwa swaga zake. Anaitwa JOET, ukimuangalia mienendo yake na...
Wakuu naomba samahani kama uzi huu ushapita hapa jamvini.Ni kuhusu maudhui ya filamu zao mbili ambazo naweza kuziita PACHA,yaani imekera ni baina ya filamu ya NDOA YANGU na filamu ya WOMAN OF...
Jamani,nimesikia tetesi zimezagaa huku uswahilini kwetu kwamba kiasi cha hela alicholipwa Rick Ross ni milion 460 wakati wasanii wetu wa bongo walioshiriki kwenye show hiyo ya Fiesta walilipwa...
Kwenye Nyimbo yako ya kabwela ulio mshirika Rich Mavoko...kuna misemo ifuatayo...
>Nimepigwa msumari wa
kichwa mwili unangoja
kaburi maisha yamenipiga picha nega zimetoka vivuli
dunia...
Oprah Winfrey says she won't judge Rihanna and Chris Brown if they rekindle their romance
Winfrey says she won't be surprised if Rihanna gives Brown another chance...
Ni kisa kilichosimuliwa vizuri na kwa ubunifu mkubwa na mwanadada ajulikanaye kwa jina la BAHATI BUKUKU.
Ni kibao kilichopigwa kwa hadhi ya kama charanga fulani,kina ujumbe ambao kwa dunia ya...
The African Voice Newspaper UK has now released nominees for the 17th African Film Awards 2012 better known as Hollywood Awards. Winners of each category will be announced at a special ceremony in...
Ijumaa hii ni fiesta mbeya
Sio kawaida kwa mbeya fiesta kuja kirahisi hivi sugu alikuwa msatali wa mbele kutetea wasanii
wachanga na wale wanaochipukia lakini cha kushangaza sasa hivi baada ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.