Hivi karibuni nimekuwa nikiangalia dvd ya prison break niko namba 4
je ktk prison break ni kina nani unadhani wana akili sana?
Mi orodha yangu ni hii
1. Michael scofield
2. Alexander Mahone
3...
A drama set centered around the war between Russia and Georgia, and focused on an American journalist, his cameraman, and a Georgian native who become caught in the crossfire.
DOWLOAD...
Bongo Movie Club wanajiandaa kwenda Dodoma kwa ajili ya mechi yao na Wabunge
hapo Ijumaa, lakini tayari kuna kashfa imeikumba club hiyo na viongozi wanajitahidi kuzima
kashfa isijulikane kwenye...
Kill the Irishman HIii mpya released 2011 download hapa http://www.kat.ph/kill-the-irishman-2011-dvdrip-ac3-xvid-cm8-t5417367.html
GET SHORTY released 1995 imechezwa na Travolta
Be Cool...
Wimbo wa yekeyeke uliwahi kuwa maarufu sana mwishoni mwa miaka ya 80, kipindi hicho mie bado kijana mdogo. Kwa wanaoukumbuka wimbo huu, napenda ku-share taarifa zifauatazo:
Mwimbaji:
Jina la...
Tayari washachakakua kwa yule Michuzi ambaye leo kaamua kuhifadhi jina lao...sie huku kama kwa tuna namna zetu za kupata habari JF style
Anyway Jana Masekela aligoma kutumbuiza pale Southern Sun...
YouTube - ‪Evans Bukuku s Comedy Club (Michuzi Blog)‬‏
Sijawahi kuhudhulia show yake zaidi ya kuangalia kwenye mtandao, naweza kusema ni wazo zuri sana alilokuja nalo Evans...
MSANII wa Bongo Fleva, Godfrey Tumaini Dudubaya (pichani) hivi karibuni alitupwa selo baada ya kukamatwa na polisi wilayani Geita kwa kudaiwa kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu, Ijumaa...
Wakuu heshima zenu. Naomba msaada nipate nyimbo zote za Lucky Dube na msisitizo ni kwenye wimbo "Usizi". Ikiwa katika mfumo wa MP3 nitafurahi zaidi.
Asanteni
Makala hii imeandikwa na Bishop J. Hiluka kwenye gazeti la KULIKONI
leo JUNI 3, 2011
SIKU zote naamini kuwa penye ukweli uongo hujitenga. Jumamosi iliyopita,
katika kipindi cha Baragumu...
I once heard a Swahili version of Hold yuh, and I was wondering if there is anyone who knows the singer(s) and if have a copy of that or can direct me where I could get it, I'd really appreciate!!
Miaka na zama zilizopita zina raha yake ambayo katu hatuwezi kuipata tena leo.
Gazeti kama Motomoto lilikuwa motomoto kweli, kwani ndilo pekee lililokuwa likiandika habari za vyama pinzani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.