Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

JF Prefixes:

Wadau kama nilivyoahidi leo naanza kuishusha riwaya ya tai kwenye mzoga mpaka mtunzi atakavyonielekeza tofauti. Mtunzi wa riwaya hii ni yule yule KELVIN e. MPONDA. Wasiliana naye kwa namba...
7 Reactions
354 Replies
197K Views
(Majina na matukio katika hadithi hii ni yakubuni. Mfanano wowote na watu, mahali au matukio halisi ni wa kinasibu na si kusudio la mwandishi. Haki zote za kunakili na kuchapisha zimehifadhiwa -...
4 Reactions
32 Replies
50K Views
Hapa tutatiririka na nyimbo kali na albums kali za kwaya kutoka R.C Unazo ona zimetikisa kweli iwe katika jimbo au mkoa wako au Tanzania nzima. Mimi bwana nitaanza na hawa kwaya ya mtakatifu...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Naomba nikwambie kitu kimoja. Wanasayansi hawapendi sana muvi kwa kuwa zinatoa siri zao nyingi sana. Yaani ni bora hata vitabu kuliko muvi, hawazipendi mno. Wakati watu wanatengeneza muvi. Sisi...
8 Reactions
20 Replies
1K Views
Ep 01 Sikuwahi kufikiria wala kuwaza kama kuna siku nitakuja kumchukia kwango cha kumlaani marehemu kaka yangu na Mkewe. Kiufupi, nawachukia sana, yeye marehemu kaka na bibi harusi wake...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Moja ya aina ya mziki niliokuwa nautafsiri kama wa kihuni ni pamoja na aina ya huu mziki toka pwani Singeli. Ila huu wimbo wa Mfalme Ninja uitwao Sio Mwizi kidogo umebadili fikra zangu kwa ujumbe...
3 Reactions
5 Replies
1K Views
Mbali na namba yao kuwa na members saba lakini WANNE ndiyo wamesikika zaidi na nitawalezea kinamba, kwa namna ninavyowakubali; A. KUMI ZA JUMA MOHAMMED MCHOPANGA (MBAKIAJI, X MAN, BISHOO...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
acha tamaa za paka, kuparamia majirani. roho ikakutoka, vya watu kuvitamani. mchana umeokoka, usiku hayawani. kila mtu wamtaka, umtupe kitandani. hebu punguza mizuka, na uache uhuni.
2 Reactions
11 Replies
480 Views
Ua langu limechumwa- bila mimi kujua.. Moyo wangu unauma- natamani kujiua.. Amekosa huruma- ua langu kunyakua.. Hivi nan kamtuma- leo hii naugua.... Ua lilinawairi- kila mtu alidata.. Haikua tena...
0 Reactions
0 Replies
345 Views
Hela mwanaharamu, zinanunua mapenzi Utapata mautamu, bila hata ya hirizi Shingoni atakuchumu na tabasamu la kiwizi Atasema bby tamu, na yatamtoka machozi Bby wew mtaalam, tena anamwaga radhi Bby...
2 Reactions
3 Replies
343 Views
Digital product ni vitu kama mziki, video, movie, games, documents au file lolote lile ambalo lina access Mtandaoni tu. Nataka nisakue watu 1000 wakununua Digital product ya 10k niingize hiyo 10M...
1 Reactions
8 Replies
302 Views
List iko hivi, 1. 100 kilos - Ferre Gola 2. Ya Jean - Madilu 3. MayDay - Fally Ipupa 4. Kwangaru - Harmonize 5. Teacher Konde - Harmonize 6. Tetema - Rayvany 7. Vita Imana - Ferre Gola 8. Mario -...
6 Reactions
28 Replies
2K Views
Wengi walisoma hizi hadithi zamani. Ngoja tujikumbushe humu. Pia unaweza kusioma ndani ya maktaba app na vingine zaidi ya 60. Tupm au namba 0715278384 ukitaka kuungwa. HEKAYA ZA ABUNUWASI NA...
4 Reactions
47 Replies
12K Views
Habari zenu Wana JF, Muda mrefu nimekuwa naitafuta hii muvi ya REROUNI, ni App gani nayoweza ipakua au kuna mtu anayo anistue wandewa.
0 Reactions
5 Replies
271 Views
Kabla ya CCM kuzaliwa Chama cha TANU kilikuwa kinamiliki bendi kupitia twai lake la TANU Yough League ilijulika kama Vijana Jazz. Mwanzoni bendi ilianzishwa na John Ondoro Chacha mwaka 1971 ikiwa...
3 Reactions
5 Replies
465 Views
Hii ngoma nasikia harufu ni nyimbo ya kawaida sana...kuanzia content flow hata beat ila nasikia wana kitaaani wanasema ni ngoma kali sanaaa Mbaya zaidi wanasema chid benz kamfunika Roma lakini...
1 Reactions
9 Replies
675 Views
Pasi na shaka kwa waliobahatika kuitazama series ya GAME OF THRONES mpaka mwisho watakiri kua kwa upande wa mpnagilio wa matukio wahusika mzingara story..... ile series haina mpinzani Ni series...
12 Reactions
39 Replies
4K Views
Naombeni ushauri, mke gani nichague! Niangalie uzuri, mtaani wanijue? Au anaeweza shughuli, kitandani nitulie. Au alietulia tuli, pekeangu nitanue. Ebu nipeni ushauri, leo hii nijue. Nichukue...
5 Reactions
13 Replies
591 Views
Leo utahonga laki, kesho atataka dola. ukimnunulia mishkaki, atadai na kijora. yani hawasomeki, ni nyingi zao hila. michekupo hawaridhiki, zitaisha zako hela. Utampeleka samakisamaki, ila...
4 Reactions
9 Replies
254 Views
6 Reactions
158 Replies
13K Views
Back
Top Bottom