Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
SERIKALI imesema haitowalipa fidia wakazi wa eneo la Mradi wa Mji Mpya Kigamboni jijini Dar es Salaam. Tamko hilo, lilitolewa bungeni jana na Naibu waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Baada ya vurugu za wamachinga wakidai haki zao za msingi na wakitoa shinikizo kuwa hawataki kuongea na mtu mwingine yoyote zaidi ya rais wao sugu.wakidai kuwa hali itarejea ikiwa haya yafuatayo...
6 Reactions
94 Replies
8K Views
wakuu habar. muda mref hawa wanaharakat fek wananichefua sana, eti tupige kura, tuwape chakula. wahunituu. rasilimali ngapi hatujatumia? madini, mbuga, ardh.....mpaka tunatukanwa na cameroon...
0 Reactions
68 Replies
5K Views
Katika kile kilichoonekana kama ni muendelezo wa wananchi wa Arusha kuikataa serikali, muda mfupi uliopita dereva wa daladala iliyokuwa imesimamishwa na polisi pamoja na gari nyingine eneo la Aicc...
2 Reactions
43 Replies
5K Views
Mjini Mbeya matukio ya upigaji Nondo yameibuka tena, askari wawili wa FFU wamepigwa nondo na mmoja amefariki dunia na mwingine yupo hospitali. Sasa ni mshikemshike maana shughuli zote za...
0 Reactions
34 Replies
5K Views
Ni mpambano mkali Polisi, wanafunzi UDSM, Wamachinga 13 wajeruhiwa, walazwa, 46 watiwa mbaroni Polisi akimpiga mmoja wa wanafunzi wa Chuo...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Jamani kila siku napakua michuzi blog lakini sijawahi kukutana na taarifa za mapambano ya kuiokoa nchi yetu. Kila siku yeye na wasanii, kama ni habari za siasa utakuta ni chama cha ccm tu. JE YEYE...
0 Reactions
55 Replies
6K Views
Ni waliokosoa Muswada wa Ununuzi Waziri wa Uchukuzi, Omar Nundu Waziri wa Uchukuzi, Omar Nundu, amewajia juu wabunge...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ndio A.y anaimba, anasindikiza usiku wa kumtafuta mshindi wa Tikisa
0 Reactions
3 Replies
2K Views
anzania has been spared the internal strife that has blighted many African states. Though it remains one of the poorest countries in the world, with many of its people living below the World Bank...
0 Reactions
0 Replies
690 Views
VYOMBO vya habari vimepigwa marufuku kurusha matangazo yanayohusiana na biashara ya waganga wa kienyeji wakiwemo na wanajimu. Yameazimiwa hayo katika mkutano uliowakutanisha wadau wa vyombo hivyo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
umevaa jeans la mtumba; used. Unaendesha gari 'used'. Na hata hii post unaisoma kwa kutumia laptop 'used'. Iweje sasa upinge serikali kununua vitu 'used?'
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Naam niko huku kanda ya kaskazini. Niko ofisi fulani hivi! Nashangaa wingi wa vijana nikajiuliza kulikoni! Eti wanajiandikisha kuwa waigizaji! Loh tena wanalipa ada ya kujiandikisha! Shs kila...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Ndugu watanzania mliopo hapa Jf ninadhani kitendo cha wakuu wa mikoa naJeshi la Polisi na Mahakama kudhulumu haki za watanzania ni kitendo cha kulaani mpaka kufa. Huu ubaguzi wa aliye nacho na...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wana jf jana nimebahatika kuingia kwenye ofisi za barrick north mara lakini nilisikitishwa sana kuona kanga yenye picha ya mwl j.k nyerere ikiwa na ma maandishi TUMUENZI NYERERE 1922-1999.kimsingi...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Leo nilipita kwenye hili tawi la M-pesa kujaza akaunti yangu, baada ya kuhesabiwa kwenye kimashine chao ambacho mteja hukioni nikaambiwa eti zimepungua alfu 10 wakati hela nimetoa benki, Sitaki...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Man arrested for having sex with goat A thirty five year old man is currently admitted in Soroti hospital after an angry mob beat him up for allegedly having sex with a goat that later on died...
0 Reactions
38 Replies
6K Views
Dah! kila nikimwangalia ongea yake na vtendo vyake nikimweka group la wakaka hafananii, la wadada haelekei yani yuko kama gia 1 hakai 2 hakai 3 anafyetuka ndo mana nimeuliza naye anakameruniwa...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
hivi channel gani ya Television ni nzuri for our local news? ITV wananiboa. bila kumwonesha Mengi kwa nusu saa, taarifa haijakamilika, TBCCM ndo huwa siiangaliagi, utadhani haina wawakilishi...
0 Reactions
4 Replies
678 Views
kandoro kila anapoenda anakumbwa na maandamano na ya wamachinga kwanzia mwanza na sasa mbeya kulikoni!kuna matatizo meng sana ya kudili with kama upigaji wa nondo na kuungua kwa masoko!wachen...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom