Wawili mbaroni kwa kuwa na noti bandia zenye thamani ya sh. milioni 1.7/-
Ivi hela ya bandia inakuaje na thamani?
Kama zinathamani,,kwanini zinakamatwa? au kwanini serikali isizihalalishe?
Je wajua meya wa kichina katika zama hizi? Meya wa kichina alianza kuuvuruga mji wa Arusha mara baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka jana ambapo taratibu na kanuni za uchaguzi wa mayor...
Tulipo taka kuandamana kupinga malipo kwa Dowans mlitupinga kwa kisingizio cha tishio la kushambuliwa na Al Shabab.
Siku ya mechi ya Simba na Yanga mlikuwepo wengi tu pale uwanja wa Taifa.
Sasa...
Yanayoendelea sasa katika nchi yetu, mwasisi wa Taifa hili alishayaona na ili kunusuru nchi pamoja na kizazi hiki alichukua hatua ya kutoa WOSIA kwa watanzania katika kitabu chake cha Hatima ya...
Wadau mwishoni mwa wiki(ijumaa hadi jumapili)nilikua safarini,nilikwenda Ifakara ambako ni makao makuu ya wilaya ya KILOMBERO,safari hii ilikua ni ya kibinafsi!
NILIYOYA0NA HUKO
-Jimbo la...
MWANAUME mmoja ambaye jina lake linaendelea kuhifadhiwa, ameonyesha kitendo cha ukatili cha kumfukuza usiku wa manane mkewe akiwa na kichanga baada ya kumkuta na boksi la mipira ya kiume...
Askofu wa KKKT dayosisi ya kaskazini Dr Laizer anamtambua Mheshimiwa Gaudence Lyimo kama meya halali wa jiji la Arusha.Uthibitisho nimehushuhudia mwenyewe kwenye kadi ya mwaliko toka kwa Askofu Dr...
wazee, nimegundua watu huanza maandamano na ari na moral kubwa sana lakini hutawanywa na kikund kidogo cha 4m4 failiers. Watu waangalie SARAFINA kujenga ari na kupata skills za ukombozi.
albaba...
Taarifa kutoka Jijini Mwanza ni kuwa Mvua kubwa inaendelea kunyesha na maji yamefunika uwanja wa ndege ,UMEFUNGWA
Kwa video clip tazama Star TV saa 7:00 mchana dhk 15 kutoka sasa
Byabato
Wana JF Nawasalimu na kuwatakia siku Njema yenye mafanikio.
Kuna mengi niliyo jifunza kutokana na matatizo yaliyo tokea Mbeya baina ya serkali na Machinga. Machache kati ya mafundisho ni haya...
Wana JF,Nimekuwa nikifuatilia vipindi mbalimbali juu ya mswada wa katiba mpya katika television vinavyowakutanisha makundi mbalimbali ya jamii kama vijana,wazee,wanawake ,watoto wenye umri na...
Ongezeko la vijana wanaojulikana kama flycatchers hapa Arusha linaonekana ni tishio kwa utalii wa mji wetu na kwa nchi yetu kwa ujumla.Mwanzo walianza kama njia yakusaidia watalii kuwafahamisha...
Miongoni mwa vitu ambavyo watanzania tumabaki navyo ni lugha yetu ya kiswahili lkn tunakoelekea tunaiua sisi wenyewe, ebu cheki haya makosa tufanyayo kila kuitwapo leo kwa kuiondoa herufi 'h'...
Wakati kasi ya uingizaji magari nchini ikiongezeka na namba za usajili zinaenda pia kwa kasi hiyohiyo;Mimi ni mwana mageuzi sasa nawaza hapo mwaka 2015 nategemea kununua gari yangu, je iwapo namba...
Habari JF,
Yule jamaa aliyejitambulisha jana kwamba ni mpemba alidanganya umma,mimi ni mfuatiliaji mzuri sana wa habari na midahalo,yule jamaa mara nyingi huwa anaudhuria kipindi cha mpambano wa...
Habari za j2 wana jamvi ktk tafakari yangu ya leo nimejiuliza ili mwanaume kufika aumuzi wa kuoa ni bora angeenda kijijini kuoa au ni bora aoe mjini nikidhani either upande mmoja kati ya mjini au...
Aliyekuwa Mshauri wa Uvuvi Mkoa wa Kagera hadi 2007 Japhet M. Kayungi (1947-2011) amefariki leo katika hospitali ya Mugana Bukoba(V) alikokuwa anapatiwa matibabu. Kayungi atakumbukwa kwa mchango...
Wanabodi,
Nikifuatilia Bunge live on TBC, matangazo yalikatika na TBC wakaanza kurun promo zao na matangazo mbalimbali. Nimeona Tangazo kuwa wiki hii, TBC itafanya mkutano mkubwa kwa...
Tumesikia sehemu mbali mbali chadema wakiitwa wahuni au chama cha kihuni pia kumekuwa na shutuma sehemu mbalimbali hapa nchini kuwa ccm wanatesa wanachi na kuua napenda kuuliza swali mhuni na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.