Nimesikia kutoka kipindi cha maswali na majibu cha bunge kuwa shule za al-Muntazir inayomilikiwa na WASHIA ina upendeleo kwa wanafunzi wenye imani hiyo.. Hii imekaaje?!
Hii ni good news
ndugu zanguni nimepokea hii msg ni vyema niwashirikishe wenzangu
""kampuni ya ndege ya rwandair inapenda kuwatangazia kuanzia tar 21 mwezi huu
unaweza kwenda darkgldxbdar direct...
Tangu juzi watu wanaonipigia simu yangu ya kiganjani wanakumbana na ring tone ya Mizengo Pinda akijitambulisha na kisha kunadai kuwa watu wapigie kura Mlima kilimanjaro eti uwe ni moja ya maajabu...
Ninamkubali sana sokoine, aliamini mtu akiharibu lazima asimamishwe kwani ufanisi wake hauwezi kuonekana tena manake ashaonesha kushindwa kazi. Miaka ya mbele zaidi walikuja wapuuzi wanaojiona...
naleta kwenu jamvini wana jf naomba tujadili suala hili la viongozi wa kiafrika kutokuwa na utamaduni wa kukubali makosa wanayofanya na kuomba radhi na kama nchi za ulaya...nawasilisha
kesho nitapiga ruti kimara mpaka manzese. kuanzia saa tatu. anayetaka aniunge mkono. serikali haiwez kunifanya mimi tahira. haki na wajibu wangu nafahamu. hoja ninayoitangaza kesho mtafahamu...
Mmeanza kikao kwa posho na maslahi zaidi,je hivi vitu vilikua kwenye ILANI ZA VYAMA WAKAT WA KAMPEN?NA SASA MNATEKELEZA HZO ILANI?kwa bahat mbaya mnadai mishahara minono kwa kutumia kigezo cha...
Wadau tumeshuhudia hzo nchi mbili zikiunga mkono maandamano yanayolenga kuleta mabadiliko ktk mataifa mbalimbali hapa duniani lakini cha kushangaza kwa tanzania wamekaa kimya kabisa,yani hawatoi...
Katika kile kinachoelezwa kuwa ni kuimarisha ulinzi katika jiji na kujihami na machafuko yoyote yanayoweza kuhatarisha amani, polisi wameweka doria katika maeneo ya Kikatiti na Kia kwenye barabara...
Naombeni kujuzwa ndugu wanajamvi juu ya wataalamu hawa huko mkoani Kgr..ni nini kinapelekea kuwepo kwa 'flow' ndogo ya habari kutoka kwa waandishi wa habari mlioko mkoani Kgr?mbona kuna vipindi...
The one who makes cows cry': Prince Charles gets Maasai title as he visits Tanzanian tribe with CamillaThe Prince of Wales, Duke of Cornwall, Prince and Great Steward of Scotland Charles...
Habari wadau,naomba mwenye kuelewa hili anisaidie kuelewa,ni kawaida vyombo vya vya bara(Tanganyika)magazeti,redio na televisheni kurusha matangazo yake visiwani zanzibar na pia magazeti kuuzwa...
Hii nchi bwana inakoelekea mi sipaelewi kabisa...Majuzi mkulu wa nchi yaani JK alikuwa anaendelea kuwashawishi watz watumie zile mashine za TRA ili kuongeza kodi, sasa imekuwa ni zamu ya Pinda na...
Mi nahisi hawa polisi wa Arusha wamechoka na manyanyaso wanayofanyiwa na wakuu kwa kucheleweshewa mishahara yao, mishahara midogo na kutumikishwa kama mbwa kwa maslai ya kisiasa ya watu wachache...
My mom carried me in her womb for nine months... She felt sick for months with nausea, then she watched her feet swell & her skin stretch & tear; she struggled to climb stairs, she got breathless...
Vitabu vingi vya Historia na Fasihi viwe vimeandikwa na waafrika wenyewe au watu wa kutoka nje ya bara la Afrika, mara zote vinawataja Wareno,Waitaliano, Wajerumani, waingereza, Wadachi, na...
PRESS RELEASE
Tanzania Professionals Summit to Celebrate 50 Years of Independence
the Theme is 50 years of Independence, what have you done as a professional?
Tanzania Professionals Network...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.