Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Ni siku chache zimepita tangu uchaguzi wa igunga umalizike ambapo ccm ilitangazwa kuwa mshindi wa kinyang,anyilo hicho huyu jamaa alionekana akigawa sana hela na ndipo nikajiuliza je huyu ndio mtu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kuna haja ofisi ya CAG kuwa na wajibu kuwa na register kujua wabunge walizitumia ofisi zao wilayani na mkoni kwa siku ngapi katika mwaka Ukioadoa wale wabunge wa mijini na Dar Hivi...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Unazungumziaje kuporomoka kwa CCM Igunga na kupanda kwa upinzani, hususan CDM huko Igunga, achilia mbali Tanzania kwa ujumla. Tuache blahblah, tujadili ukweli
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Ukimchukia mtu kwa mapungufu yake, usingependa kuona anapata hata sifa kidogo kwani katika siasa mafanikio kidogo ya mtu ni kona ya maficho kujisahaulisha na ubaya wa utendaji wa mwanasiasa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Jamani nadhani tunakosea sana kuua dhaana halisi ya maadhimisho ya kusherehekea miaka 50 ya uhuru. Utakuta kuongozi wa ngazi ya juu anautoa matamko yasiyo sahihi kuwa eti mwaka huu tutaadhimisha...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Waua ndugu wao wakimtuhumu kwa uchawi POLISI mkoani Rukwa, wanawashikilia watu sita wa familia moja, katika Kijiji cha Kalumbaleza, wilayani Sumbawanga, kwa tuhuma za kumuua kwa kumpiga kwa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hii ni hari ya kusikitisha ndani ya nchi baada ya kuona chama tawala ambacho kimekuweko tangu enzi kinatumia kiasi kikubwa ambacho kingeweza kutumiwa siku za nyuma na kuwaletea wana igunga...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wanajamii, Kuna jamaa kaja ofisini asubuhi hii kuorodhesha watu wanaohitaji stika za usalama barabarani. Ukihitaji unaandikisha jina lako na kumpatia Tshs. 5000/ = then yeye anakuletea...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Juzi nimefurahi na kusikitika, hii ni baada ya TBC1 kutangaza kuwa mara baada ya taarifa ya habari Rais atahutubia taifa kufuatana na utaratibu wake wa "kuhutubia Taifa kila mwezi". Nilianza...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Nimetembelea miji mingi ya tanzania lakini watu wake wana tabia ya Kuenzi uchafu.Dar-es-Salaam mtu mtanashati anaendesha gari anakunywa maji anatupa chupa barabarani.Mtu haoni aibu anatupa...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
A woman is an occasional pleasure but a cigar is always a smoke.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wadau, Mchkato ndo huo! umeanza tar 4 October hadi tar 5 November. Ni rahisi sana, unachotakiwa ni kujaza form tu naku submit then unasubiria.KITU CHA KUZINGATIA NI KWENYE...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nawashauri ndugu zangu wa CDM waizoee nafasi yao ya kuwa wapinzani, kwani ndiyo inayowafaa. Hawatafanya vizuri wakiwa watawala, sababu ni kwamba hawaoni mazuri ya wenzao na siyo wavumilivu, kwa...
0 Reactions
0 Replies
993 Views
Mambo mengine wanayofanya ccm ni ya unyanyasaji na dharau kwa Watanzania, haiwezekani ushindi uwe kwa jimbo la Igunga wao wafanye sherehe Kila kona ya nchi. Kusherekea si kosa japo hakuna ulazima...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari zenu wana JF, Hivi naomba tusaidiane hili jambo, limenikera sana mpk sasa nimejiuliza kisa cha kufanya hivyo sijajua . Wakati wengine wanalia ajira maisha ,magumu mbona wengine kama vile...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
KITENDO TULICHOKILAANI KUTENDEWA MKUU WA WILAYA IGUNGA CHAJIRUDIA TENA, NANI WA KULAUMIWA. Mwanamke mmoja jana aliyesadikiwa ni mwanachama wa CHADEMA alibebwa mzobe mzobe na Askari wa...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Ninayo hesabu ya uhakika kwa wanaozihitaji nyumba za NHC - Posta. Pango kwa mwezi ni Tshs. 350,000.00 VAT 18% = 63,000.00 Huduma za maji (yenye chumvi kibao),ulinzi, nk. approx 200,000.00 maegesho...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Ndugu zangu wana JF, juzi nilipatwa na tatizo la kuuguliwa na mtoto wangu mchanga wa miezi sita. Ugonjwa unaomsumbua hadi saa ni kuharisha na kutapika. Siku hiyo mtoto alikumbwa na tatizo kuanzia...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Natamani siku Moja wan CCM watoe hatuba kama hii. President Rupiah Banda I HAVE CALLED THIS PRESS CONFERENCE TO SAY A FEW WORDS. THE ELECTION CAMPAIGN OF 2011 IS OVER. THE PEOPLE OF ZAMBIA HAVE...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Hiyo system yao waliyoianzisha ya vifurush vya channel 35 na channel 45 mbona siyo?,eti ukitaka channel 35 ulipe 9000 ukitaka ya 45 ulipe 18000 kwa mwezi,channel 10 tu wameweka hela hiyo kwa nini...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Back
Top Bottom