Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Askari wa kikosi cha kutuliza ghasia(FFU) bwana Meshack Urasa amefariki baada ya kupigwa nondo kichwani na vibaka mjini Mbeya.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
tanganyika nchi yangu nzuri wamekugeuza shamba la bibi nilikuwa chunya wiki jana wageni wanajibebea dhahabu kama zao bila usimamizi wowote.....wachina waliokuwa wanatengeneza barabara...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ndugu zng wana IGUNGA kutokana na kashfa za wizi wa fedha za umma zinazomkabili aliyekua mbunge wenu R.A (CCM) na kumpelekea kujiuzulu,ss zimebaki siku chache mpige kura kumchagua kiongozi wn...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Jana kwenye kampeni mwananchi anamuuliza kafumu mbona unayoahidi yashaahidiwa na watangulizi wako wa chama chako na hawakutekeleza na wewe utayatekelza vp?lilikuwa swali gumu sana na alibaki mdomo...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Mbunge Ismail Aden Rage amepigwa faini ya sh.100000 na kamati ya maadili ya uchaguzi mdogo wa Igunga.Msemaji wa kamati hiyo bwana Protas Magayane amesema faini hii ni kutokana na Rage kupanda...
0 Reactions
0 Replies
809 Views
Sijawahi kusikia maajabu kama haya yanayotokea tanzania, kuna balozi alikutwa na shahada za kupigia kura zaidi ya arobani alafu mimtu iliyopewa dhamana inasema sio kosa!nakumbuka mwaka jana kuna...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Maendeleo "ili tuendeleee tunahitaji vitu vinne watu, ardhi, siasa safi na uongozi bora. Tanzania tunakosa nini hapa? Watu, hapana. Siasa safi, hapana na UONGOZI BORA sidhani. Wana JF hebu...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hivi kweli sisiemu bado ina mwelekeo au imekosa mwelekeo? Kama imekosa mwelekeo basi Kolimba yawezekana alikuwa mtume.
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Dr Shein amuapisha shekhe Kabhi kuwa Muft mkuu Zanzibar.Written by 27/09/2011 Na Talib Ussi RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein leo amewaapisha...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
kila Kampeni zinavyoendelea ndio afya yake inazidi kuzorota tokea kuanza kwa kampeni, je kashindye anaumwa au nl mawazo? wana CHADEMAMA mtujuze.
0 Reactions
55 Replies
5K Views
haya yanaashiria siku za mwisho za uhai wako ewe CcM mtoka pabaya 1.mnapopeleka msaada wa chakula kwenye uchaguzi baada ya maji kuzidi unga kwa lengo la kurubuni wapigakura 2.Siku chache zijazo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
mpaka leo najiuliza hivi wapiga kura wa C.C.M ni akina nani hasa,kwa mfano kwa sasa kuna uchaguzi mdogo wa Igunga na kuna watanzania wana Igunga wataipigia kura C.C.M na mgombea wake!! swali...
1 Reactions
28 Replies
3K Views
Kampuni ya Kibo Seed au Kibo Seed company ni kampuni ya mbegu kutoka nchini Kenya na ina ofisi yake kubwa mita kama hamsini kaskazini mwa stend ya hiace opposite na Annex Hotel hapa mjini Arusha...
0 Reactions
0 Replies
12K Views
Habari zenu members. Sijui hili kama limeshawahi kuongelewa humu. kwa wale madereva mtaniambia hili. Kuna wakati mtu unaweza ukafanya kosa barabarani, inaweza ikawa hata ni kwa bahati mbaya au...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wana JF. Kila siku kukicha shilingi yetu inazidi kuporomoka kwa kasi ya ajabu. Leo Dola moja ya Marekani imefika Sh1750 ya Tanzania, mwenye majukumu ya Uchumi wetu ni Waziri wa Fedha, Mustafa...
1 Reactions
29 Replies
3K Views
Wadau nipo Utete huku kuna bonge la bwawa ambalo wenyeji wanasema kuna mamba kama samaki,pia kuna viboko wengi sana nasikia wanalia sana kwenye maji ila sijamuona hata mmoja,hv wanauwezo wa kukaa...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Wakuu,mara ya mwisho kuckia habari za huyo mheshimiwa,nlickia yuko anahudhuria kikao cha UNO huko new york nchini marekani..hiv aliisha rudi nchini au ameamua kuendelea na ziara nyingne ya kikazi...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
hi jf. Nimepokea habari za kusikitisha kutoka sengerema inayoeleza kama ifuatavyo:- huko kambi ya bugombe kata maisome tarafa kahunda (w) sengerema (m) mwanza.majambazi wapatao zaidi ya wawili...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Tangu aanze kuifanya kazi yake kama waziri mkuu pinda ameonyesha uwezo mkubwa wa kusimamia kilimo, ningekuwa Rais ningemteua awe waziri wa kilimo, hii inatokana na sababu kuwa mtu hufanyavizuri...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
leo nimefika ktk ATM ya AZANIA MASDO HOUSE - Samora Avenue na kutka kutoa Pesa. kwa bahati baada ya kuingiza data zangu na kutaka kutoa pesa system ilikataa kutoa. lkn tayari system hiyo...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom